Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Hugo injury recordBaada ya kumkosa ndio unajua kama majeruhi ukweli ni kwamba huyo ekitike ni Nunez namba 2
YNWA
Hugo injury recordBaada ya kumkosa ndio unajua kama majeruhi ukweli ni kwamba huyo ekitike ni Nunez namba 2
Tunaleta mchezajj sasa hivi ili aingie kwenye tuition ya Teacher Slot mapema, asije kushindwa kujibu maswali ya akina Saliba na wenzake😂Yuko vizuri. Mmepata bonge la chezaji. Sisi tulimtaka kabla hata ya Sesko na Gyokeres ila Frankfurt wakatuambia wanataka €100m, tukahamia kwa Sesko na huko tukaambiwa £92m huko, ikabidi tujitahidi kumalizana na Gyökeres.
Ila msiingie kichwa kichwa kwenye mazungumzo. Hugo si striker wa zaidi ya £60m. Vuteni subira kidogo mpaka mwezi wa 8 hivi bei itakuwa imeshuka. Si mmeona sisi tumemchukua Gyökeres kwa £55m, wakati Sporting walijidai eanataka £80m huko?
Na za atikichi?Injury rekodi ya Isak hii hapa...
View attachment 3409197
View attachment 3409198
Mkeka ndio huu wa majeruhi ya dogo Isak
YNWA
Mkuu jitahidi kua na maneno ya akiba. Maoni yangu kwa Isak yapo vile vile wakati wote anatufaa ndio lakin hili la majeruhi ya mara kwa mara nalo litazamwe.Baada ya kumkosa ndio unajua kama majeruhi ukweli ni kwamba huyo ekitike ni Nunez namba 2
Kuna watu wa kuwajibu lakini sio huyo mkuu, nilishamuignore kitamboMkuu jitahidi kua na maneno ya akiba. Maoni yangu kwa Isak yapo vile vile wakati wote anatufaa ndio lakin hili la majeruhi ya mara kwa mara nalo litazamwe.
Tulisema wakati wa Thiago tangu yupo Bayern kwamba mikiki ya EPL sio ya Indian Biscuits bones lakini bado klabu ikamchukua with cool 200k salary kwa wiki matokeo yake alikua wodini muda mwingi kuliko uwanjani...
Wewe Fanya analysis yako uone kwa mfumo wa Slot wa total control huyu dogo atatoboa aje...
YNWA
Hata Mimi nilishawahi ignore huyoKuna watu wa kuwajibu lakini sio huyo mkuu, nilishamuignore kitambo
Noted comrade.Kuna watu wa kuwajibu lakini sio huyo mkuu, nilishamuignore kitambo
Ninyi tangu zama za Wenger mnajulikana ni mabahili ndio maana mnapishana na vikombe. Yule GOKYERES ni flop afadhali ya KAIYuko vizuri. Mmepata bonge la chezaji. Sisi tulimtaka kabla hata ya Sesko na Gyokeres ila Frankfurt wakatuambia wanataka €100m, tukahamia kwa Sesko na huko tukaambiwa £92m huko, ikabidi tujitahidi kumalizana na Gyökeres.
Ila msiingie kichwa kichwa kwenye mazungumzo. Hugo si striker wa zaidi ya £60m. Vuteni subira kidogo mpaka mwezi wa 8 hivi bei itakuwa imeshuka. Si mmeona sisi tumemchukua Gyökeres kwa £55m, wakati Sporting walijidai eanataka £80m huko?
Ni sahihi ila huyo jamaa Mimi simuaminu kama ilivyo Kwa isak angekuja uefa ilikua hii hapa mezaniMkuu jitahidi kua na maneno ya akiba. Maoni yangu kwa Isak yapo vile vile wakati wote anatufaa ndio lakin hili la majeruhi ya mara kwa mara nalo litazamwe.
Tulisema wakati wa Thiago tangu yupo Bayern kwamba mikiki ya EPL sio ya Indian Biscuits bones lakini bado klabu ikamchukua with cool 200k salary kwa wiki matokeo yake alikua wodini muda mwingi kuliko uwanjani...
Wewe Fanya analysis yako uone kwa mfumo wa Slot wa total control huyu dogo atatoboa aje...
YNWA
Rio the dancer 🔥🔥🔥🔥-Florian Wirtz is 22 yrs
-Gravenberch is 23 yrs
-Cornor Bradley is 22 yrs
-Frimpong is 24yrs
-Milos Kerkez is 21yrs
-Szoboszlai is 24yrs
-Mamardashvili is 24yrs
-Mo Salah aging like Fine Wine.
-Konate is 26yrs
-Mac Allister is 26yrs
-VVD is 34yrs
-Ekitike is 23 yrs
-Jones is 24yrs
-Rio Ngumoha is 16yrs
- Gakpo is 26yrs
Dynasty for a decade🔥
Wewe kwenu si mna Onana na Maguire halafu striker wa kutegemewa na Zirkzee? Mnamleta Martinez golini ili awe mchezaji bora wa kila msimu kama ilivyokuwa kwa De Gea, ila mjue tu hamtaweza kuwazuia kina Gyokeres, Ekitike na kina Isak na mwishowe mtamuona Martinez mwenyewe kama hawatoshi.Ninyi tangu zama za Wenger mnajulikana ni mabahili ndio maana mnapishana na vikombe. Yule GOKYERES ni flop afadhali ya KAI
Sijaona dogo langu Doak-Florian Wirtz is 22 yrs
-Gravenberch is 23 yrs
-Cornor Bradley is 22 yrs
-Frimpong is 24yrs
-Milos Kerkez is 21yrs
-Szoboszlai is 24yrs
-Mamardashvili is 24yrs
-Mo Salah aging like Fine Wine.
-Konate is 26yrs
-Mac Allister is 26yrs
-VVD is 34yrs
-Ekitike is 23 yrs
-Jones is 24yrs
-Rio Ngumoha is 16yrs
- Gakpo is 26yrs
Dynasty for a decade🔥
Mmmhhh
asikutatize na huyo bitozi we komaa na kipenzi chako Gakpo tuMmmhhh