Dah! Ni kweli, cha muhimu watoto wake wapo hai uzuri wazungu sio kama sisi hao watoto watalelewa tu vizuri na watasoma vizuri bila shida yoyote.Ukiongeza na fact kuwa ana watoto watatu wadogo wote wamezaliwa Liverpool, ametoka pia kufunga ndia juzi tu na pia amefariki na kaka yake pamoja ambao ndio watoto wa pekee wa familia yao inaumiza zaidi asee
Asante Sana mshindani yaah tumeumia Sana Asante kwa kuguswa pia.Kwakweli nyie ni matakataka haswaa, ila kwa msiba huu tupo pamoja sana, Diego ameenda na kifo cha kibabe sana daaah
Rest In Piece Mwamba Diogo, mpira utakukumbuka sana.
Asante Sana ni kama tumekabwa na fundo kooni macho I yanatoka sauti haitoki I don't know why! Oooh lord.R.I.P Jota. Poleni sana wana Liverpool View attachment 3393382
Namshukuru Mungu sasa umjua na kumtajaKaka usikufuru kuna ajali hapa hapa bongo tu zimeondoa familia nzima yenye baba mama na watoto zaidi ya hao wawili. Kikubwa ni kumuomba Mungu atujalie mwisho mwema.
Hakuna aijuae kesho yake.
Zinatumika Was na sio is dahh
Bro in these sad times ushabiki tuuweke pembeni huna haja kukejili yoyoteKwakweli nyie ni matakataka haswaa, ila kwa msiba huu tupo pamoja sana, Diego ameenda na kifo cha kibabe sana daaah
Rest In Piece Mwamba Diogo, mpira utakukumbuka sana.
Una utoto na ushamba mwingi sana DogoKwakweli nyie ni matakataka haswaa, ila kwa msiba huu tupo pamoja sana, Diego ameenda na kifo cha kibabe sana daaah
Rest In Piece Mwamba Diogo, mpira utakukumbuka sana.
Sijawahi kuacha kumjua na kuacha kumtaja. Yupo. Ila hii ni mada ya siku nyingineNamshukuru Mungu sasa umjua na kumtaja
βI am truly lost for words. Until yesterday, I never thought there would be something that would frighten me of going back to Liverpool after the break... Team mates come and go but not like this. Itβs going to be extremely difficult to accept that Diogo wonβt be there when we go back... My thoughts are with his wife, his children, and of course his parents... They will never be forgotten.β
Sisi tuko kwenye msiba mzito wewee ndugu Jota Diogo ni alikuwa mwanasoka mwaminifu sana πππUna utoto na ushamba mwingi sana Dogo
Mkuu hapa tuko hapa kuhakikisha ndugu yet Jota Diogo anapumzika kwa Amani yeye pamoja na brother wake.Bro in these sad times ushabiki tuuweke pembeni huna haja kukejili yoyote
Kwa kweli hatuna la kufanya kila nafsi itaonja mauti na safari yake pamoja na nduguye ndio imefika tamati.Asante Sana mshindani yaah tumeumia Sana Asante kwa kuguswa pia.