zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 11,322
- 9,771
Binafsi mpaka hizi rumours zigeuke kuwa ukweli ndo ntamuita Mwenyekiti wangu wa Liverpool Halisi Mheshimiwa sana mwanafyale aje atoe neno. Itifaki izingatiwe
Hahahahhahaha, waleteee, nani hayaogopi majogoo?
Leo umekuja kwenye jukwaa la mpira, 😂Vipi
Waaa hii ya Klopp kusema his favorite player ni Allison ndio nimeisikia hapa aisee. Interesting.
Mmh hii ya Izak ngumu kwa sasa.
acha tusubiriNaongea kama shabiki wa mpira, Wirtz mchezaji wa kawaida sana. Hana utofauti na Mount
WAnangu wa liverpool kuleni mtori nyama zipo chini, wapinzani huu msimu wanamengi ya kusimulia pindi watakapokutana na sisi.
Dogo anaitamani liverpool sio mchezo na ameipata , sijui atavaa jezi namna ngapi.