Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Trent Kihispaniola alijifunza kwa muda gani?

Nimeamini kumbe alitusaliti kitambo😄
Hii hata kwenye group la whatsapp jamaa wanamaindi sana 🤣🤣🤣
Screenshot_20250612-193530_WhatsApp.jpg

IMG-20250612-WA0029.jpg
 
Hii nimecheka sana 🤣🤣🤣
From Facebook
Unaambiwa Gravenberch na Alexis Mac Allister hawana ruhusa tena ya kuchezesha timu wao kazi yao ni kukaba tu.

Mo Salah ile kazi yake ya kutengeneza nafasi amenyang'anywa amekabidhiwa kazi ya kuwafunga tu.

Kazi ya kuhakikisha timu inacheza kwa miondoko tofauti tofauti amekabidhiwa Florian Wirtz. Jamaa amelia sana baada ya kuonyeshwa video za Nunez akikosa magoli.

Florian Wirtz ameahidi msimu ujao mfungaji bora amna amna ni magoli 50 na yeye atapiga assist 45.

Ametangaza hali ya hatari Liverpool atabeba ubingwa mwezi Januari 2026 iwe mnataka au hamtaki.

Alafu hili neno mtateseka sana analirudia rudia kila mara.

Mkweli Alcantara✍
 
Hii nimecheka sana 🤣🤣🤣
From Facebook
Unaambiwa Gravenberch na Alexis Mac Allister hawana ruhusa tena ya kuchezesha timu wao kazi yao ni kukaba tu.

Mo Salah ile kazi yake ya kutengeneza nafasi amenyang'anywa amekabidhiwa kazi ya kuwafunga tu.

Kazi ya kuhakikisha timu inacheza kwa miondoko tofauti tofauti amekabidhiwa Florian Wirtz. Jamaa amelia sana baada ya kuonyeshwa video za Nunez akikosa magoli.

Florian Wirtz ameahidi msimu ujao mfungaji bora amna amna ni magoli 50 na yeye atapiga assist 45.

Ametangaza hali ya hatari Liverpool atabeba ubingwa mwezi Januari 2026 iwe mnataka au hamtaki.

Alafu hili neno mtateseka sana analirudia rudia kila mara.

Mkweli Alcantara✍
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sio kwa ahadi hii yaaani January kombe la 21 Anfiled jamani jamani aaa tutaboa aisee . Kusema ukweli hua kuna Raha ya timu kukimbizana kwa pointi 1 au 2 kama vile Liverpool na Manchester City miaka kadhaaa.....

YNWA
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sio kwa ahadi hii yaaani January kombe la 21 Anfiled jamani jamani aaa tutaboa aisee . Kusema ukweli hua kuna Raha ya timu kukimbizana kwa pointi 1 au 2 kama vile Liverpool na Manchester City miaka kadhaaa.....

YNWA
Story za Mashabiki mitandaoni let's see nini kitakuwa next season
 
When Florian Wirtz arrives… what happens to Dominik Szoboszlai 👀

This season:
🇩🇪 Wirtz — 16 goals, 14 assists
🇭🇺 Szoboszlai — 8 goals, 8 assists

Both are incredibly gifted, but the numbers don’t lie. Wirtz is on another level right now.
If they end up in the same squad, someone’s minutes are getting squeezed.
 
When Florian Wirtz arrives… what happens to Dominik Szoboszlai 👀

This season:
🇩🇪 Wirtz — 16 goals, 14 assists
🇭🇺 Szoboszlai — 8 goals, 8 assists

Both are incredibly gifted, but the numbers don’t lie. Wirtz is on another level right now.
If they end up in the same squad, someone’s minutes are getting squeezed.
The more the numbers the better,just remember Salah ain't getting younger and we need to manage expectations especially from Salah so let's the young wizard come and add more fire power upfront 💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾

YNWA
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sio kwa ahadi hii yaaani January kombe la 21 Anfiled jamani jamani aaa tutaboa aisee . Kusema ukweli hua kuna Raha ya timu kukimbizana kwa pointi 1 au 2 kama vile Liverpool na Manchester City miaka kadhaaa.....

YNWA
mhm acha mkuu, sisi wengine tuna magonjwa ya wazee tukiwa vijana😂
 
Hii nimecheka sana 🤣🤣🤣
From Facebook
Unaambiwa Gravenberch na Alexis Mac Allister hawana ruhusa tena ya kuchezesha timu wao kazi yao ni kukaba tu.

Mo Salah ile kazi yake ya kutengeneza nafasi amenyang'anywa amekabidhiwa kazi ya kuwafunga tu.

Kazi ya kuhakikisha timu inacheza kwa miondoko tofauti tofauti amekabidhiwa Florian Wirtz. Jamaa amelia sana baada ya kuonyeshwa video za Nunez akikosa magoli.

Florian Wirtz ameahidi msimu ujao mfungaji bora amna amna ni magoli 50 na yeye atapiga assist 45.

Ametangaza hali ya hatari Liverpool atabeba ubingwa mwezi Januari 2026 iwe mnataka au hamtaki.

Alafu hili neno mtateseka sana analirudia rudia kila mara.

Mkweli Alcantara✍
Jamaa anaandika kwa mbwembwe sana, yaani nafurahia kinoma.maandishi yake
 
🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾Hakika sio kawaida zile nafasi anazokosa kufunga lazima apate msaada wa ziada.

YNWA
Mimi huwa nakadis ila kuna muda kibinadamu huruma inakuingia.
Kitu ambacho nipo chanya kuhusu Nunez ni juhudu zake, si mtu wa kukata tamaa.. hata kama anakosa
Magoli ila bado ana moyo wa kupambana sana.
Siku moja atakuwa the best
Insha'Allah.
 
The more the numbers the better,just remember Salah ain't getting younger and we need to manage expectations especially from Salah so let's the young wizard come and add more fire power upfront 💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾

YNWA
Sijakuelewa mkuu unamaanisha Szoboszlai awe force 9? Au awe Winger ?.
Mimi pia hili nilikuwa naliwaza la Szoboszlai Na Wirtz Arne itakuaje kwake, anyway msimu ujao tuna makombe mengi tunahitaji tushinde squad lazima iwe pana na ya kutisha kwa wapinzani mpk wa Carabao.
 
Sijakuelewa mkuu unamaanisha Szoboszlai awe force 9? Au awe Winger ?.
Mimi pia hili nilikuwa naliwaza la Szoboszlai Na Wirtz Arne itakuaje kwake, anyway msimu ujao tuna makombe mengi tunahitaji tushinde squad lazima iwe pana na ya kutisha kwa wapinzani mpk wa Carabao.
Szobo awekwe 6 tu ana uwezo wa kukaba kuliko hata Grav😂😂🏃🏃
 
Disrespecting our players like grave and Alexis for a player is is never here ni kitu kibaya sana

They are people too… kesho wakiamua kuondoka tunawaita wasaliti

I don’t like hii tabia ya asenane kabisa

We shouldn’t even entertain it

Wirtz May never come to Lfc, tutabaki na hao hao waliotupa ubingwa
 
Disrespecting our players like grave and Alexis for a player is is never here ni kitu kibaya sana

They are people too… kesho wakiamua kuondoka tunawaita wasaliti

I don’t like hii tabia ya asenane kabisa

We shouldn’t even entertain it

Wirtz May never come to Lfc, tutabaki na hao hao waliotupa ubingwa
''May never'' tena mkuu, Wirtz tayari tunae tu na tunajidai nae

Btw Mac namkubali sana kuhusu Grav sina shida nae nina shida na Pure DM
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom