Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

60 mbona sisi tunatoa tu chaap? Nyie njooni mtuambie tu mnataka tuwape 60 muone jinsi itakavyoingia kwenye account yenu kabla hata hamjamaliza kuongea.
🤓🤓🤓🤓Ingekua nyie sio EPL contenders naamini dili ingewezekana lakini duh huyu akija kwenu ina maana mnazidi kujiweka pazuri kusaka ubingwa...

YNWA
 
🤓🤓🤓🤓Ingekua nyie sio EPL contenders naamini dili ingewezekana lakini duh huyu akija kwenu ina maana mnazidi kujiweka pazuri kusaka ubingwa...

YNWA
Kweli nyie mna roho mbaya kuliko sisi kwenye kupeana wachezaji. Mlitunyima Suarez mkatupa Benayoun ila sisi tuliwapa Oxlade-Chambelain akasaidia kuwapa makombe.
 
No Reforms No Election si kauli ya kupinga uchaguzi kwa utashi wa kisiasa bali ni wito wa haki na demokrasia ya kweli. Tunadai marekebisho ya msingi katika mfumo wa uchaguzi ili kuhakikisha kila kura ina thamani, na matokeo yanayoakisi sauti ya wananchi

#NoReformsNoElection
 
Hii imekaaje kitaalam?
No Reforms No Election si kauli ya kupinga uchaguzi kwa utashi wa kisiasa bali ni wito wa haki na demokrasia ya kweli. Tunadai marekebisho ya msingi katika mfumo wa uchaguzi ili kuhakikisha kila kura ina thamani, na matokeo yanayoakisi sauti ya wananchi

#NoReformsNoElection
 
Kweli nyie mna roho mbaya kuliko sisi kwenye kupeana wachezaji. Mlitunyima Suarez mkatupa Benayoun ila sisi tuliwapa Oxlade-Chambelain akasaidia kuwapa makombe.
🤣🤣🤣🤣Bosi kubwa Henry aliuliza mnavuta ya Arusha ama ya wapi maana nyie kusikia Surez ana kipengele Cha £40m+ basi mkatuvaa mazima na £40m+1 yaani mkamboa sana Henry...

YNWA
 
IMG-20250611-WA0027.jpg

Shughuli tayari
Ynwa
 
🤣🤣🤣🤣Bosi kubwa Henry aliuliza mnavuta ya Arusha ama ya wapi maana nyie kusikia Surez ana kipengele Cha £40m+ basi mkatuvaa mazima na £40m+1 yaani mkamboa sana Henry...

YNWA
Yule jamaa alikuwa mhuni tu. Release clause ilikuwepo ya 40mil sisi tukaongeza kabisa na pauni moja ya sigara kwa Henry lakini jamaa akachomoa.
 
Yule jamaa alikuwa mhuni tu. Release clause ilikuwepo ya 40mil sisi tukaongeza kabisa na pauni moja ya sigara kwa Henry lakini jamaa akachomoa.
🤣🤣🤣🤣🤣Kazi mnayo kama vipi leteni mpunga labda Henry kwa Nunez atashawishika kuwapa🙈🙈

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom