Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Heshima imerudi kwa wawekezaji! Wametisha msimu huu! Tuliyapondea sana kumbe yanatu-zoom tu!
Kama tetesi hizi tajwa dirisha hili zikifanyiwa kazi zikawa kweli basi tuna kikosi kamili ndugu yangu na pazuri asilimia kubwa wanaotajwa wapo chini ya miaka 25 hivyo Wana nafasi kubwa sana kutuletea makombe kwa miaka kadhaa

Tuwe na subira FSG wampe kikosi kazi bwana Slot.

YNWA
 
Kama tetesi hizi tajwa dirisha hili zikifanyiwa kazi zikawa kweli basi tuna kikosi kamili ndugu yangu na pazuri asilimia kubwa wanaotajwa wapo chini ya miaka 25 hivyo Wana nafasi kubwa sana kutuletea makombe kwa miaka kadhaa

Tuwe na subira FSG wampe kikosi kazi bwana Slot.

YNWA
Ka TAA katakuwa kamepishana na gari la mshahara!
 
Kama tetesi hizi tajwa dirisha hili zikifanyiwa kazi zikawa kweli basi tuna kikosi kamili ndugu yangu na pazuri asilimia kubwa wanaotajwa wapo chini ya miaka 25 hivyo Wana nafasi kubwa sana kutuletea makombe kwa miaka kadhaa

Tuwe na subira FSG wampe kikosi kazi bwana Slot.

YNWA
Ila kwenye nafasi ya DM kimya sanaaaa
 
Sijakuelewa mkuu unamaanisha Szoboszlai awe force 9? Au awe Winger ?.
Mimi pia hili nilikuwa naliwaza la Szoboszlai Na Wirtz Arne itakuaje kwake, anyway msimu ujao tuna makombe mengi tunahitaji tushinde squad lazima iwe pana na ya kutisha kwa wapinzani mpk wa Carabao.
Hapana Mkuu Szbo asihame namba. Ipo hivi Szbo hucheza MF upande wa kulia kwa Salah na Florian hucheza MF upande wa kushoto kwa Diaz hivyo nilimaanisha magoli sasa yatatoka upande wa kushoto pia ambapo msimu uliopita alicheza ni Jones au Mac. Nilimtaja Salah pale nilimaanisha tumpunguzie mzigo wa kuibemba timu muda mwingi ilhali sasa tutakua na Florian ambae ni mtengenezaji na mfungaji hivyo Salah hata akibanwa kama mechi ya PSG basi tunakua na plan B.

Ngoja tuone mwalimu atamtumiaje.

Szbo ni dynamic MF ni complete mf anakupa vitu vyote akiwa ni 1st line defense ya klabu ,sprint, blocks, progressive passes nk nk akiongeza na magoli zaidi itakua Ile jezi namba 8 imepata mridhi sahihi. Ubora wa Salah alichangiwa parefu sana huyu mwamba japo mwishoni mwa ligi uchovu ulimwadama.

YNWA
 
1000058209.jpg

Hii combination ya hawa jamaa inaleta matumaini mapya Liverpool 💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾🔥🔥🔥🔥ni jambo la msingi mno kushinda ubingwa na kuanza hapo hapo kuimarisha kikosi.

Twende na Slot hapoi🔥🔥

YNWA
 
Primier league sio bundesliga huyo wirtz wenu kiwango kitashuka hamtoamini liver mmeleta garasa lingine EPL.
 
Mbona kafanana na Villa boas?
Aise mbona umri unakimbia sana
Giovanni van Bronckhorst anatarajia kujiunga Liverpool kama kocha msaidizi wa Slot.
Hapa Slot anapata jembe haswa.
Ana uzoefu wa kutosha akiwa kama mchezaji aliekipiga Barcelona, Arsenal nk nk na pia amekua kocha Mkuu wa timu kadhaa hivyo analeta kikapu Cha uzoefu kwetu.

Naona Ile kazi ya Rangers imemzeesha balaa.

YNWA
 
Giovanni van Bronckhorst anatarajia kujiunga na jopo la wasaidizi wa Slot.
Hapa Slot anapata jembe haswa.

Naona Ile kazi ya Rangers imemzeesha balaa.

YNWA
Naona aise,, kitu pekee ambacho kinafanya nimuamini Slot ni kwamba anadai hajatumia bado mfumo wake alikuwa bado anamtumia Klopp . Sasa kama mfumo wa Klopp kaumaster inamaana huyu mtu ni pro Genius(Slot+ klopp), itategemea Opponent kaja vipi. Msimu ujao tutaua Mbu kwa Gobole.
 
Huyu pale City aliomba apewe assuarance kuhusu future ya Pep, wakamzungusha ndipo akachagua Liverpool.
Any talented player hua anaangalia future ya kocha aliepo na Pep miguu ndani miguu nje.
Liverpool Tumefanya gamble kubwa sana kwa Florian ambayo inahitaji ushujaa wa Slot.
Tazama nyie kwa hii ela ya Florian mmoja nyie mmenunua Ryan, Cherki na Tijan hivyo hapa kazi kubwa ipo kwa mwalimu kuhakikisha dogo anatumika ipasavyo kuleta ushindi kwetu otherwise itakua deal gone south aisee and I forbid.

YNWA
 
Acha uongo,writz ameopt liverpool besides city,madrid na bayern
Hahaha sasa mbona hakuna ulichonipinga hapo mkuu?

"Ameopt Liverpool" hilo hakuna anayekataa na hata post yangu haipingani na hili.

Point ni kwamba kwenye mazungumzo aliyofanya na Pep/city, hakupata assuarance anayoitaka juu ya future ya Pep pale city (mkataba wa sasa wa Pep unaisha 2027).

Hii ndiyo sababu "ameopt Liverpool"

See?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom