Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Sasa nyie, hela ya kununulia striker na DM yote mnaenda kumaliza kwa Wirtz 😂 Sisi tumekimbia hiyo biashara ya kitapeli.
 
IMG-20250528-WA0041.jpg

"If you love football, automatic you means your in love with Liverpool fc. That is it."
 
Sisi tunabeba makombe yote yani tunakula kila kombe hahahaha siyo, uefa, siyo europa, siyo conference, siyo Supa Cup sisi ndio Chelsea bwana alaah....nani ayiogopi Chelsea???
Nyie matakataka yani musimu ujao tutawakula ninyi kuku hadi manyoya
 
Mpaka muda huu OllaChuga Oc bado hajaja kuwatambia humu na kombe lake?
Itakua hana habari yeyote kama timu yake jana ilikua inacheza fainali na wamebeba kombe, Saint Anne mshutue jamaa yako aende akaangalie matokeo live score halafu aje awafanyie fujo humu.
Nimepata notifikesheni hapa ya yutubi sikuwa najua tumemlamba mtu bao nne, aise bwana sisi ndio Chelsea bwana alaah, Nani ayiogopi Chelsea???😂😂😂😂😂
 
Nyie matakataka Manalala wakati sisi ni mabingwa wa kila kombe hahahaha hahaha hahaha amkeni kuku ninyiiii😂😂😂🤣🤣🤣🤣
 
Kipara wasaidizi wake watatu wamesepa na klabu yake ipo mbioni kuwaajili 👇🏾

Pep Lijnders, once part of Jürgen Klopp's Champions League and Premier League-winning team, may join Pep Guardiola's backroom staff.

Also Kolo Toure being looked at for the vacant assistant spot at Manchester City.

YNWA
 
Konate ni pure talent na ndio maana anakomaa hata mkataba mpya klabu impe pesa za kueleweka. Ishu yangu kwake ni kuumia mara kwa mara ... Konate sidhani kama kuna msimu EPL alitupa gemu 30 ...klabu impe mkataba mpya na hapo hapo wasajili msaidizi mwenye umri 19 mpaka 23 hivi ili aww sub ya Konate au VVD...

Kipaji kikubwa Cha Konate ni kusoma mchezo aisee hio ni next level.

YNWA
Toka umejua kiswahili basi unaandika wee
Wakati miaka ya nyuma hapa ungesema mifupa ya konate ni made of indian Biscuits
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom