Herzogg
JF-Expert Member
- Apr 17, 2024
- 4,573
- 1,389
Mimi nina Community shield, wewe una nini?Unateseka ukiwa wapi mama Cita?
Ssi ndio mabingwa wa Carabao na EPL
Wewe una nini hadi sasa?
Mimi nina Community shield, wewe una nini?Unateseka ukiwa wapi mama Cita?
Ssi ndio mabingwa wa Carabao na EPL
Wewe una nini hadi sasa?
Mbona 2 chache tunatakiwa mpaka sasa tuwe tumepigwa 5.
Magarasa ya liverpool ni haya hapa
1. VVD
2. ROBO
3. JOTA
4. JONES
Hawa wanapaswa kuwa squad players kwa sasa na si first XI.
Mbona unatoa maoni kwa hasira sana, Jones ndie angalau alikuja kubadilisha game kwenye transition kwakua technically yuko vizuri. Ni game mzee ogopa sana Newcastle akipania game hua wana balaaMbona 2 chache tunatakiwa mpaka sasa tuwe tumepigwa 5.
Magarasa ya liverpool ni haya hapa
1. VVD
2. ROBO
3. JOTA
4. JONES
Hawa wanapaswa kuwa squad players kwa sasa na si first XI.
Leo slot kawa average?Slot ni Average coach wa kiwango cha juu, Huwezi kuwa una pick wachezaji walewale kila wiki na bado hawakupi chochote uwanjani.
4-consecutive EPL Champions ukipenda unaweza kusema 4-A-Row current title holders!Mimi nina Community shield, wewe una nini?
Agiza yokozuma gredi one nitalipiaSlot ni Average coach wa kiwango cha juu, Huwezi kuwa una pick wachezaji walewale kila wiki na bado hawakupi chochote uwanjani.
Karibu tena🤣🤣FULL TIME 😠 😡 👿 😤 KHANJI ASANTE
Mechi za mwanzo ziliwabeba mpinzan wao arsenal ni maziwa ya kukuTukiweka ushabiki pembeni Liverpool ikiwa inacheza unajiuliza wanaogoza vipi ligi? mbona wanacheza kinyonge sana ,kiufupi epl inasikitisha .
Energy iliishia kwenye champions league!Tukiweka ushabiki pembeni Liverpool ikiwa inacheza unajiuliza wanaogoza vipi ligi? mbona wanacheza kinyonge sana ,kiufupi epl inasikitisha .