Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwenda hukoo
Liverpuuuhhh mmekua na kauArsenyau siku hizi, yaani ndani ya mwezi mmoja mnafurushwa kwenye michuano yote mitatu?
Huyo wajina wako Amne Slote inabidi tumuelekeze nyumbani kwa Mwakinyo aende akaokote nazi.
 
Baada ya Loserfools kutolewa FA Jamie Carragher akasema yeye anachukulia Carabao ni kubwa kwa FA.

Kisha jana wakacheza fainali Carabao dhidi ya Newcastle
 
Slot Baba ubaya,akaamua kumtafutia Nunez lawama za mashabiki kwa nguvu
Nunez kakosa anqjidai kumgongagonga kifuani..Akina Jones akina Nunez siyo wapigaji wa penati
Allison siyo mdakaji wa penati
Unamuachia Alison adake penati, wakati benchi yupo kelleher anakula tu gootime.
Hii mechi kupoteza lawama zote ziende kwa kocha.
Ila kweli kwenye penati Kelleher yupo juu sana beyond doubt....
Gakpo alitakiwa apige penati then Tsimikas nk nk ...
Slot upepo umekata hana mbinu mpya.

YNWA
 
Jana sijui hata mlikwama wapi, jamani mbona ni vitu simple tu hivi ndugu zangu.
1742222722316.jpg
 
We need a proper squd
Nunes
Jota
Jones

Sio levels zetu
Not down to the players mate.
My observation ni kwamba Slot has to trust his bench yaani he can't stick to same line up kila mechi... Jana whats was needed ilikua fresh legs fresh ideas...
Newcastle had the energy ya nguvu sana. Hawajadhinda kombe kwa zaid ya miaka 40+ hivi hivyo they were the hungry team kuliko Liverpool...
Jana Chiesa, Endo, Elliot could have started, if Kelleher was given the nod why not others mate...
Slot ana suffer the same fate kama Klopp sticking to the same line up come rain come sunshine na wana kifua maana at times wanasema wanapenda small squad oook matokeo ndio yale...
We are out steam... Better mapumziko yamekuja.

YNWA
 
Piga kabisa haya makuku ! Eti treble,,,ipi hiyo ? Mnachukua EPL kwa sababu tu wenzenu Arsenal, Chelsea, Manchester zote, ziko vibaya msimu huu, sio kwamba mna kikosi bora au mwalimu bora ! Slot bichwa box tu!



zaidi sana kale kaanduje kenu ka kiarabu kalikuwa kameota eti katachukua b'dor msimu huu alafu kasepe kama lijendi
 
Not down to the players mate.
My observation ni kwamba Slot has to trust his bench yaani he can't stick to same line up kila mechi... Jana whats was needed ilikua fresh legs fresh ideas...
Newcastle had the energy ya nguvu sana. Hawajadhinda kombe kwa zaid ya miaka 40+ hivi hivyo they were the hungry team kuliko Liverpool...
Jana Chiesa, Endo, Elliot could have started, if Kelleher was given the nod why not others mate...
Slot ana suffer the same fate kama Klopp sticking to the same line up come rain come sunshine na wana kifua maana at times wanasema wanapenda small squad oook matokeo ndio yale...
We are out steam... Better mapumziko yamekuja.

YNWA
Brother

Nakubaliana na wewe, but anaamini zaidi first eleven ambao hawatoshi…. Better alete upgrades

We can get over 150m za mwarabu if we dispose hao jamaa
 
Piga kabisa haya makuku ! Eti treble,,,ipi hiyo ? Mnachukua EPL kwa sababu tu wenzenu Arsenal, Chelsea, Manchester zote, ziko vibaya msimu huu, sio kwamba mna kikosi bora au mwalimu bora ! Slot bichwa box tu!



zaidi sana kale kaanduje kenu ka kiarabu kalikuwa kameota eti katachukua b'dor msimu huu alafu kasepe kama lijendi
Liverpool target was and is still epl
 
Horny Slut kocha bora kabisa kawakabidhi Newcastle trophy ya kwanza in 70 years
 
Even Klopp mwanzoni alipokuja Liverpool alipoteza Finali back to back mpaka alipokuja kukaa sawa.

Hivyo na kwa Slots sishangai sana kutupwa nje ya mashindano mbalimbali ingawa nimeanza kuwa na mashaka na mbinu zake.
 
Brother

Nakubaliana na wewe, but anaamini zaidi first eleven ambao hawatoshi…. Better alete upgrades

We caddy t5n get over 150m za mwarabu if we disposeaaaaas2 hao jamaa
Upo sahihi Legend.
Pale kati nako Slot amem ova work Gravenberch kiasi amekua pedestrian pale tunapobanwa...
Slot anahitaji 2 new attackers CS tetesi ni Thuram wa Inter Milan... na winga mmoja tetesi ni Bakayoko wa PSV.... , anahitaji DM mmoja tetesi Gomez wa Wolverhampton na RB mmoja na LB mmoja tetesi ni Kerkrz wa Bono hapo atakua tayari kwenda sawa na PSG and the rest...
Kwa sasa arudi upya kwenye mbinu na upangaji wa kikosi tuna fainali 9 mpaka mwisho wa msimu...

YNWA
 
Upo sahihi Legend.
Pale kati nako Slot amem ova work Gravenberch kiasi amekua pedestrian pale tunapobanwa...
Slot anahitaji 2 new attackers CS tetesi ni Thuram wa Inter Milan... na winga mmoja tetesi ni Bakayoko wa PSV.... , anahitaji DM mmoja tetesi Gomez wa Wolverhampton na RB mmoja na LB mmoja tetesi ni Kerkrz wa Bono hapo atakua tayari kwenda sawa na PSG and the rest...
Kwa sasa arudi upya kwenye mbinu na upangaji wa kikosi tuna fainali 9 mpaka mwisho wa msimu...

YNWA
Very true Ryan yuko exhausted

Na pia Bado kijana sana …. At achilia mapema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom