Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nuno Mendez kabla ya game kuanza alimwambia Salah " You will never walk alone"
Halafu ukiachana na Vitinha kuna tactician wa kuitwa Luis Fabian huyu jamaa ni mido haswa ni underrated player ila ndio engine ya Psg.
Unao na hawa?
 
Mkuu huamini uwepo wa Mungu ila cha ajabu una amini mambo ya Bahati?
Inategemea na jinsi wewe unatafsiri neno bahati.

Kwangu mimi bahati naiona kama concept of randomness ambayo ni sehemu ya asili ya ulimwengu inayokubalika kisayansi.

Kwa hiyo kama tunazungumzia kuhusu jambo fulani ni bahati nzuri au bahati mbaya maana yake tunajadili outcome ya randomness.

Ila kama kwako neno Bahati lina maana ya supernatural power au kuwa influenced na some sort of deity hapo ndio utofauti unapokuja.

BTW mimi kuwa atheist hakunizuii kutumia maneno ambayo ni common kwenye jamii.

Nikipata mshangao naweza nika react kwa ku scream "Oh my God", "Jesus Christ" "Subhanalaah" na bado isiathiri msimamo wangu wa kutoamini Mungu.

Ni kama tu wewe ambavyo unatumia majina ya siku za wiki ambayo kimsingi ni majina ya Miungu ya kipagani. Sunna (Sunday), Mona (Monday), Tiwaz (Tuesday), Wotan (Wednesday), Thunor (Thursday), Frige (Friday) na Saturn (Saturday)

Sidhani kama kwa kutumia maneno hayo kunafanya na wewe uwe muumini wa hiyo Miungu ya kipagani.

Ni kwasababu kuna vitu vimepoteza ile religious context na kuwa utamaduni ambao watu wanautumia independently bila kuhusisha dini.
 
Huyo aliyeandika hivyo ni mwana liverpool, nafikiri labda alikuwa overwhelmed by emotions.

Huyo Arsenal angekutana na PSG hii tungeona mpira tofauti kabisa
Arsenal ni maji kupwa maji kujaa
 
Nilitamani liverpool asonge mbele japo si shabiki wao. PSG walikuwa na character nzuri, hata hivyo lazima uwe serious Ili kumfunga donnaruma Penalty, kwanza ni mrefu halafu ni mjanja sana kwenye kusoma, Penalties nyingi za chini anaweza kudaka.
Ukiona penalty zimefika golini yupo Allison
Afu wapigaji ni akina Nunez, ujue hamna kazi hapo.
 
Mimi simlaumu Jota kwa lolote katika mchezo wa jana ila niseme tu ukweli HAKUNA MSIMU HATA MMOJA AMBAO JOTA KAIBEBA LIVERPOOL.
Huo msimu haupo! Jota ni homa za vipindi tu kuna mechi 4 au 5 anaibuka halafu anapotea mechi 15.
Ingawa ukisema INCONSISTENCY ya Jota hapa tunaletewa useless Takwimu eti tunaambiwa Jota ni Clinical Finisher! Labda awe Clinical Medicine ila sio kwenye mpira.
Kaka yake The MoNA
 
Sema nilikua nacheka sana nikiingia humu nakutana na watu wanawaza treble 😄

"Treble incoming"
😄😄😄😄 Kwa liverpool hii? Hebu tuweni serious basi.
Wewe kombe lako msimu huu ni kucheka Liverpool na kwenda Europa
 
Jao neves --vitinya----fabian

Kwa sasa duniani hakuna mido km.hiyo

Huyo jao neves ni homa ya dunia anakaba ad kivuli 🤣🤣

Kwaheri kuku broiler
Nye kuku broiler niliwaambia mtapigwa na paris mchakae haya kiko wapi


Mmefurushwa uefa

Ni vile tu arsenal hajitambui EPL ilikuwa yake msimu huu

Kuku broiler 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Liverpool ya kuchukua treble ilikuwa ni hii..👇View attachment 3267535

Hii ingeweza kuchukua hata makombe yote manne, sema walikuwa wana bahati mbaya ya kukutana real madrid baba mwenye nyumba wa UCL, na pia huku EPL walikuwa wana compete na man city..

...kwanza hakuna timu ambayo iliweza kuwa outplay anfield kama alichokifanya PSG jana... nakumbuka hata kwenye EPL baada ya kudroo na chelsea mwezi january wakaja kudondosha point dhidi ya city mwezi April kwenye mechi ambayo iliamua hatima ya ubingwa, kwenye mzunguko wa pili hawakupoteza mechi.

Sidhani kama Liverpool watakuja kupata timu yenye ubora ule 21/22 kwa hii miaka ya karibuni hapa... hii ya sasa ni merely above average wala hata sio tishio, angali hata jinsi walivyoteska dhidi ya United hii mbovu, angalia wakikutana na timu imara kama Nottingham wanavyohaha... hii hata Arsenal hawawezi kutufunga si tuko hapa.

Kilichofanya hii liverpool iwe hapo ilipo na kuwadanganya pundits wengi kuwa ndio timu bora kwa sasa ni inconsistency ya Arsenal ambayo imetokana na game approaches mbovu za Arteta, ila kimsingi Liverpool alipaswa kuwa nafasi ya pili akitofautiana kidogo na Arsenal.... nimemaliza.
2021/2022 Liverpool mbovu kabsa hiyo. Liverpool tulikua 2017/2018-2018/2019 hii Misimu miwili tulisumbua sana Ulaya nzima ilikua inaogopa kukutana Liver ANFIELD hatari yake pale mbele Salah, Mane & Frimino nyuma yake unakuta winjaldim/Keita na Fabinho aisee.. moto wake siyo Poa.

2021/2022 tulikua tumeisha jichokea wachezaji wengi wakina Firmino wameisha kabsa wanasumbulia na majereha wakina Thiago hapo tulikua tunaonyesha ushindani lakini siyo kama msimu wa 2018.

Kwa saivi pale tunahitaji tu'reform kikosi kuanza kuwapunguza wazee kama saivi City anavyo fanya vinginevyo misimu miwili ijayo tuteseka sana.
 
Watoto wapi hao walicheza siku hiyo? Hiyo backline iliyocheza jana yote ilikuwepo siku hiyo... kuna nani ambaye hakuwepo tofauti na Dembele?
Backline tu ndiyo ilianza Jana lakini kwa viungo Kuna mabadiliko ukija kwenye ushambuliaji winga ile ya Napoli Kvaratskheli haikuwepo pamoja na dembele ambao kwa jana ndiyo walisumbua sana. Hao tu naamini wangetosha kuwapa arsenal kipigo kitakatifu.
 
Kwani nimeandika kuwa ni ajabu?

Punguza presha mkuu 😄😄
Ulivyo andika inaonyesha ni kama unashangaa unaona ni ajabu ? Timu kufungwa na timu ya play-off? Vitu ambavyo havihusiani kabsa.

Ukicheka Usisahau kuangalia misimamo wa premier league
 
Barca ni timu yangu ya pili kushabikia ila upande waliopo Uefa ni dhaifu sana, labda itokee wakutane na Real madrid fainali ndo tutabeba ila tofaut na hapo siioni ikibeba kombe,

We mwenyewe fikiria 16 bora kacheza na Benfica, Robo fainali anacheza na mshindi wa leo tufanye apite dortmund...bado hizo timu sio giants hatumii nguvu nyingi kuzitoa, upande uliopo utamlemaza,

Psg kaanza kuexperience game ngumu tangu 16 bora wakat huo game ngumu ya Barca inaweza kuwa labda ndo ya fainali maana hata Semi final akikutana na Bayern au Inter wote hao hawawezi kumpa ushindani mkubwa kiivyo Barcelona.
Umewangalia Intermilan? Jamaa Wana ushindani mzuri sana labda kwa Bayern ndiyo naona Hawa ushindani kwenye haya mashindano
 
Yaani Facts ya Arsenal kumfunga PSG unaita mawazo yangu? Aisee wewe ni mtu wa kwanza kumshuhudia hajui tofauti ya FACTS v/s OPINIONS
Tatizo ulifanya hitimisho kwa kutumia hoja dhaifu sana😀, baki na amani mkuu.
 
Yani mnataka mchukue UEFA kwa mpira wa ujanjaujanja wa kutegemea mshambuliwe mpige counter attack, mnaumwa nyie......
 
Tusisahau Arsenal alimfunga PSG tena kimpira na sio kibahati kama tulivyoshinda sisi pale Paris.

Hivyo Mshabiki wa Liverpool hana uhalali wowote wa kumcheka Arsenal msimu huu unless awe dumbass.
Sasa wewe ndiyo unajua mpira
 
Exactly pia kikosi Cha Liver saivi tunahitaji reform ndani ya kikosi ukitoa first eleven pale Liverpool hakuna kinacho baki, hatuna wachezaji ambao wanaweza kutokea nje wakabadilisha game zaidi ya kuingia mizigo kwenye team.
Safi saana napenda anguko la livapoli
 
Mwanzo wa msimu tulikuwa vizuri sana ila competition zilivyo ongezeka zimefanya wachezaji wachoke , PSG ingekutana na ile Liverpool ilivyo ifunga man city goli 2 mpaka city akaanza kupga long ball tungeongea mengine.
Kikubwa mmebomondwa
 
Mwanzo wa msimu tulikuwa vizuri sana ila competition zilivyo ongezeka zimefanya wachezaji wachoke 😭, PSG ingekutana na ile Liverpool ilivyo ifunga man city goli 2 mpaka city akaanza kupga long ball tungeongea mengine.
mlitumia nguvu nyingi sana kwenye mzunguko mkasau hzi mechi za kuviziana , nyie ndo wale wanawali kumi wapumbavu , walitumia mafuta mchana pasipo uhitaji usku ambapo yanahtajika wakawa hawana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom