The MoNA
JF-Expert Member
- Sep 19, 2014
- 4,264
- 10,503
Kuna kukubali kutokukubaliana pia.Kama hajaelewa na hapa hatoelewa kamwe
Ynwa.
Kuna kukubali kutokukubaliana pia.Kama hajaelewa na hapa hatoelewa kamwe
Inanikumbusha tukio la wanamgambo wa Hamas Oct 7 walivyovamia kambi ya IDF mpakani mwa Gaza na kuanza kuwatembezea kichapo wanajeshi wa IDF.Kusema ukwel mechi ya juzi ilikuwa ni Allison becker vs psg. Whether we like it or not 📌📌📍🔨
Mdau mambo ya hamas na Liverpool wapi na wapi?Inanikumbusha tukio la wanamgambo wa Hamas Oct 7 walivyovamia kambi ya IDF mpakani mwa Gaza na kuanza kuwatembezea kichapo wanajeshi wa IDF.
Liverpool waliteseka sana hawakuamini walichokutana nacho japo walishinda,
It's a matter of when and not howWe are winning the league
Ooh my God we are winning the league
Cmon you all we are winning the league
We are slashing them.It's a matter of when and not how
Muache TAA kakaLove you Allison
Trent fvck off
Watu wanawaza treble humu unaambiwa 😂😂
yaani unasema umebakwa ila sio sana pole mzee ndio tushashinda sasa 🤣🤣🤣🤣🤣Inanikumbusha tukio la wanamgambo wa Hamas Oct 7 walivyovamia kambi ya IDF mpakani mwa Gaza na kuanza kuwatembezea kichapo wanajeshi wa IDF.
Liverpool waliteseka sana hawakuamini walichokutana nacho japo walishinda,
Ya wajukuu na vitukuu vyake🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓@Saint Anne salama
Bobby anakula good time 🤓🤓🤓anasaka ela ya wajukuu
YNWA
Kobbie Mainoo atakuwa free FSG wachangamkie dili.