2024/2025 au ni 2004/2005Kwa mara ya kwanza last night nilikumbuka tulivyopenya miaka ile ya 2024/25 tukiwa na akina biscan, diaw, carra, smicer, baros, finnan, kewel etc
Tulikua tunashinda lakini moyo ulikua nje ya shati….. and we won Ucl vilevile
CheersEndelea kucheka mkuu
hivi naomba kuulizaKuanzisha kitu na kukikuza ni HARD, but kukiinua na kukikuza TENA hicho kitu ni HARDER.
Unless we're building the as Arsenal do; it's ok....Haha.
A 32 years-old Salah over Lamine? Lamine Yamal?
I'd say no if Salah was 25-28, but at 32?
C'mon, Ngumbuke.
Wazee wa next episodeUnless we're building the as Arsenal do; it's ok....
Mkuu, huyu achana nae alikuwa anapumzika tu. Umeeleza kila kitu na kwa ufasaha mkubwaHeheh bisha kwa hisia tu kaka, Numbers never liesa, lakini ndio uhalisia huo Jota is a clinical finisher than Salah, sasa hizo ni namba za wataalam wa mpira sio zangu.
Sijamlingisha Jota na kina Daiz, Nunez na Gakpo pekee yake, mpaka Salah nimemuweka in term of "CLINICAL FINISHER"
Leta mahali number zime mislead,. Debate
Sasa huko mwisho unaniambia ni google maana ya clinical finisher wakati bandiko langu linajieleza.
Clinical finisher anapimwa kwa conversion rate (big chances na xG) yake. Hii ni tafsiir nayaojua mie. Leta wewe maana ya clinical finisher.
Kutafuta clinical finisher hizo inconsistency and average player wala haihusiki, isipokuwa conversion rate yako ya chances yako na XG yako basi.
Sawa kaka, Namba za Salah zinaongea,
Leta namba zake za Chnces conversion rate na XG leta na Jota same then tutaona.
Kusema namba zinaongea tu wakati hauleti sio afya ya mjadala huu, mie nilete namba zitakazo define that Salah is much clinical finisher than Jota,
Yaani simple tu;
1. Prove that Jota vs Salah conversion rate debate is INVALID.
Karibu.
Ynwa"
PSG waliizidi Liverpool midfielders..alipoingia Jones baada ya kutoka Diaz...Liver kidogo wakaanza kupiga hata pasi nne.. kwakuwa walikuwa na midfielders wanne tayariKops mkumbuke team ilicheza kwa kuwaheshimu sana PSG mfumo aliotumia slot ni kukaba ila pale tunapopata mpira ni kufanya mashambulizi ya kushtukiza na kutumia nafasi kwa usahihi ,bahati mbaya PSG wakakaba katikati na kufanya Diaz ,Jota na Salah kukosa nafasi kwa kujiamini ...mpira unamatokeo manne KUSHINDA ,SALE ,KUFUNGWA NA BAHATI .Leo tulikuwa na bahati sana .
Unajibu post ya lini wewe?La tatu au sio
Watu wana mu underrate SG kisa eti hakuwin PLNgwaba.
Hakuna player ambaye amefanya zaidi ya SG at LFC.
He's the greatest LFC player of all time.
Nipo tayari kwa huu mjadala.
Ikiwa tutashinda CL msimu huu, basi performance ya Alisson vs PSG at Parc de Franceitakumbukwa sana, kama ile save vs Napoli msimu tuliobeba CL.Kwa mara ya kwanza last night nilikumbuka tulivyopenya miaka ile ya 2004/5 tukiwa na akina biscan, diaw, carra, smicer, baros, finnan, kewel etc
Tulikua tunashinda lakini moyo ulikua nje ya shati….. and we won Ucl vilevile
History inaonesha Ian & Dalglish walicheza kwenye best & most dominant LFC sides in our Club's history.
Kwenye his LFC career, best & dominant side aliyocheza SG at LFC, ni ile ya 2007-09, & that was it, apart from that, history inaonesha, SG alianza kuibeba hii team akiwa na 23 years, because hakuwa na bahati ya kucheza kwenye LFC dominant sides kama za wakati wa Rush & Dalglish au hii modern LFC, so wajibu wake mkubwa kwenye his PRIME years ilikuwa ni KUTUBAKIZA kwenye League & make us competitive, na alifanikiwa on his own.
Akiwa na miaka 24, kipindi ambacho tulikuwa tupo on the verge ya kuenguliwa kwenye CL, na kwenda europa league, na Olympiacos ya kina Rivaldo wakati ule, SG alisema, nanukuu "sitaki kuamka asubuhi na kwenda kucheza Europa League"
Alichokifanya kwenye ile game na kwenye kampeni yote ile ya CL mpaka fainali, rudi kwenye history, na huwezi kukiona kwa kina Dalglish or Rush.
View: https://youtu.be/LgMjNN88m5o?si=L9itbiFKj8L3m3Ri
YNWA!Mechi ya leo na ile CL final 2022. Utofauti ni timu leo ni PSG vs Liverpool. Na ile ilikuwa,
Liverpool vs Madrid
One Chance na wakalibeba. Knockout Stage it's not a big deal, what matter the most is a progression.
World Class goal keeping from AB1.
Nunez Nunez Nunez, he bullied Macquinhos and give us a rhythm.
Endo Japanese Samurai Wataru.
Ynwa'
It didn't brother.hivi naomba kuuliza
did the size of the pitch affected our performance kwenye mechi ya jana???
kwa jinsi tulivyopwaya in our build up nilidhani uwanja umechangiaIt didn't brother.
San Siro 105m by 68m
Old Trafford 105m by 68m
Fly Emirates 105m by 68m
Parc dea France 105m by 68m
Anfiled 101m by 68m
Vipimo vya uefa ni 100m by 65m hii ni baada ya research za wataalamu kuwa uwezo wa wanaume 22 kumudu, pasipo uonevu wa kiafya ya mwili.
Hivyo kigezo cha ukubwa wa kiwanja kimetuathiei kwangu ni Big No.
PSG wana quality kubwa walifunga magoli 15-16 hivi mpaka kufikia jana na walichezana timu nzuri. Arsenal, Atletico Madrid, Man City, Bayern kama sijakosea unaona sasa ni timu nzuri sana.
Slot told his boys hey we can't dominate them in term of possession they have top quality, when it comes to pressing, their Wings on 1v1 they have top quality possession they are good. Haya ni manenno ya Alisson na Slot mwenyewe baada ya game ya jana. Mengi hawakuyasema but i think kuna tactical issues aliwaonesha jinsi ya kudeal na timu za hivi.
Solution ilikuwa kukaa nyuma na kusubiri counters. I said it yesterday before game kuna uwezakano wa ku approach game vs PSG kama ile ya City na ikawa hivyo.
What went wrong? It was
1. Home advantage
2. Quality in the middle of the park
3. Liverpool lack rhythm kwa sababu kuna chances we had on counters but our started front three were not that good enough to capitalize those chances. Salah Jota and Diaz both had poor passing game, poor decision making. It's happen in football.
Slot alijaribu kuwazuia PSG wasipitie katikati bali pembeni ambapo walikuwa wakatili zaidi. Point ambayo naona ilitumeza zaidi ni "uchovu wa akili na mwili" PSG mbali ya tactical battle nzuri battle nyingine ilikuwa physic game.
Again Slot amekuwa mzuri with his subs throughout this season, Jones, Endo, Nunez and later Elliot
Nunez & Endo walileta physical battle nxuri kwa defender & MF, hapo ndipo kidogo ahueni ikaanza kuja upande wa LFC. Jones uwezo wake wa kuhold mpira ukafanya miguu ipumue mwili upate utulivu, hapo pressing ya PSG ikaanza kumezwa hasa baada ya kurudi kwenye 4-4-2 but we were tired enough.
We will change tactics next week, we will go toe to toe with them,,
Ywna.