Wakipekee
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 6,427
- 11,150
Mkuu hua inauma siku ambayo nililia ni siku Ile tumefungwa na Chelsea kipindi cha stive G na suarez... Acha Tu nililia Sana lakini Jana niliumia vibaya Spurs tulikua tumewashika Ila sio mbaya still we've a chance... Msimu badoVile Matip Alivyoshika Kichwa Nilishika Nae na Wote tukainama. Sijui Kama Nilishawai jiskia ivyi kwenye Mpira Labda Kipindi Simba tunatolewa na Jwaneng.