Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Macalister kwa mara nyingine tena kuna tatizo pale.
YNWA
YNWA
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Sio siri Duniani kuna Watu wana vipaji sana yani! Hapa tuna screens 3 za Game ya Liver, Arsenal na Chelsea kuna watu wanaangalia games zote 3 kwa wakati mmoja na matukio yote kwenye games zote 3 wanayaona kwa ukamilifu.
Aisee mimi nimeshindwa kabisa nimeamua kubaki na game yetu tu.
Ni uzembe wa mtu au???Yani hili goli tulilofungwa kwanza nicheke![]()
Hahaha hii timu nyie hata twendane tu hakuna namna kikosi ndio hiki Klopp ndio yule yule...Yani hili goli tulilofungwa kwanza nicheke 😂😂
Tangu lini tumezuia hata easy to watch chances... Alison asahau golden gloves kabisaaaa.Yaani tumeshindwa kuzuia wamerudisha
Tunashinda hii gameHahaha hii timu nyie hata twendane tu hakuna namna kikosi ndio hiki Klopp ndio yule yule...
YNWA
Mkuu na wewe umeanza ramli miaka hii.Tunashinda hii game
Mkuu na wewe umeanza ramli miaka hii.
Anyway hii game yetu me pia nahisi hivyo.