Grau
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 4,791
- 4,680
Ile kadi ni halali kwa sababu tunaangalia Lengo
McAlister alitaka kumuua mwenzake alimkaba shingo zaidi ya dk 1 na bado akampiga ngumi sita za kichwa na akammega meno





Ile kadi ni halali kwa sababu tunaangalia Lengo
McAlister alitaka kumuua mwenzake alimkaba shingo zaidi ya dk 1 na bado akampiga ngumi sita za kichwa na akammega meno





Tungekuwa na nia ya kumchukua Andre hata msimu huu tungempata kaka ila sasa Klopp hapangiwi na sioni usajili tena hapa tusubiri tuSure bado haitakuwa bad idea too.
Tunamscout Adre Trindade wa Fluminense. DM mzuri sana mbrazil na mazungumzo yanaendelea huko.
Fluminense wanataka kumtoa ligi ya brazil ikiisha na hiyo ni december kuelekea January, ambapo wanataka tusubiri mpaka winter transfer na bei yake inakuwa £19m. Ila kama kumchukua kwa sasa bei £40m ni sisi kuamua.
Kuhusu CB we are not looking senior one as per Klopp. Klopp anataka left footer CB young one ila amabaye hataingia kwenye kikosi moja kwa moja. Kama ni hivi binafsi nanona tumuamini academy product yetu Jarell Quansah.
KabisaHii mikataba ya miaka 8 itawamaliza suala la muda tu.
Nafikiri Caicedo ni mzuri ndio ila kwa alichofanya jana acha tufurahi tu kwa sasa.
Kuna bwana mdogo Lavia hiyo decision ya kwenda Chelsea ni mbaya kwake. Kwa sasa ni third Choice ahead of Caicedo na Enzo. Alifanya maamuzi ya Revange kwa Liverpool na pesa zaidi. Akasahau huwezi kuikomoa Klabu
Ukweli ni kwamba Chelsea haimuhitaji Lavia yeye ndio anaihitaji.


huyu Lavia atasugua bench sana tuMi mwenyewe kanikaushia


Ngoja nimbembelezeMi mwenyewe kanikaushia![]()
What have I done again.?Baada ya kususa.
Haya bwana.
Asante sana....Pole sana utapona tu
Hakuna haja ya usajiri mpya waliopo watoshaSure bado haitakuwa bad idea too.
Tunamscout Adre Trindade wa Fluminense. DM mzuri sana mbrazil na mazungumzo yanaendelea huko.
Fluminense wanataka kumtoa ligi ya brazil ikiisha na hiyo ni december kuelekea January, ambapo wanataka tusubiri mpaka winter transfer na bei yake inakuwa £19m. Ila kama kumchukua kwa sasa bei £40m ni sisi kuamua.
Kuhusu CB we are not looking senior one as per Klopp. Klopp anataka left footer CB young one ila amabaye hataingia kwenye kikosi moja kwa moja. Kama ni hivi binafsi nanona tumuamini academy product yetu Jarell Quansah.
Haya bwanaWhat have I done again.?
I have looked them
Szabo is a serious baller
Clearly a jackpot we won
Chelsea timu yenye stress
Mikosi tupu![]()
Tungekuwa na nia ya kumchukua Andre hata msimu huu tungempata kaka ila sasa Klopp hapangiwi na sioni usajili tena hapa tusubiri tu
Kumbe alitukataa!Imagine plan A was to sign Mount, after he had rejected us we then go to Dommy directly. What a deal.
Page ya livekuku ila wanajadili Chelsea hatari sana mbona hamsemi nyie mnavyopigwaHii mikataba ya miaka 8 itawamaliza suala la muda tu.
Nafikiri Caicedo ni mzuri ndio ila kwa alichofanya jana acha tufurahi tu kwa sasa.
Kuna bwana mdogo Lavia hiyo decision ya kwenda Chelsea ni mbaya kwake. Kwa sasa ni third Choice ahead of Caicedo na Enzo. Alifanya maamuzi ya Revange kwa Liverpool na pesa zaidi. Akasahau huwezi kuikomoa Klabu
Ukweli ni kwamba Chelsea haimuhitaji Lavia yeye ndio anaihitaji.
Nipo Nkamu za masiku? Miss you.Nkamu, upo?
Daah we jamaa aise 🙌🙌😄😄Ile kadi ni halali kwa sababu tunaangalia Lengo
McAlister alitaka kumuua mwenzake alimkaba shingo zaidi ya dk 1 na bado akampiga ngumi sita za kichwa na akammega meno
Nyie ndio sababu mpaka ule uzi haufungukiHivi kops uzi wa Chelsea haufunguki kwangu tu au?