Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Sure bado haitakuwa bad idea too.
Tunamscout Adre Trindade wa Fluminense. DM mzuri sana mbrazil na mazungumzo yanaendelea huko.

Fluminense wanataka kumtoa ligi ya brazil ikiisha na hiyo ni december kuelekea January, ambapo wanataka tusubiri mpaka winter transfer na bei yake inakuwa £19m. Ila kama kumchukua kwa sasa bei £40m ni sisi kuamua.

Kuhusu CB we are not looking senior one as per Klopp. Klopp anataka left footer CB young one ila amabaye hataingia kwenye kikosi moja kwa moja. Kama ni hivi binafsi nanona tumuamini academy product yetu Jarell Quansah.
Tungekuwa na nia ya kumchukua Andre hata msimu huu tungempata kaka ila sasa Klopp hapangiwi na sioni usajili tena hapa tusubiri tu
 
Hii mikataba ya miaka 8 itawamaliza suala la muda tu.

Nafikiri Caicedo ni mzuri ndio ila kwa alichofanya jana acha tufurahi tu kwa sasa.

Kuna bwana mdogo Lavia hiyo decision ya kwenda Chelsea ni mbaya kwake. Kwa sasa ni third Choice ahead of Caicedo na Enzo. Alifanya maamuzi ya Revange kwa Liverpool na pesa zaidi. Akasahau huwezi kuikomoa Klabu

Ukweli ni kwamba Chelsea haimuhitaji Lavia yeye ndio anaihitaji.
Kabisa huyu Lavia atasugua bench sana tu
 
Sure bado haitakuwa bad idea too.
Tunamscout Adre Trindade wa Fluminense. DM mzuri sana mbrazil na mazungumzo yanaendelea huko.

Fluminense wanataka kumtoa ligi ya brazil ikiisha na hiyo ni december kuelekea January, ambapo wanataka tusubiri mpaka winter transfer na bei yake inakuwa £19m. Ila kama kumchukua kwa sasa bei £40m ni sisi kuamua.

Kuhusu CB we are not looking senior one as per Klopp. Klopp anataka left footer CB young one ila amabaye hataingia kwenye kikosi moja kwa moja. Kama ni hivi binafsi nanona tumuamini academy product yetu Jarell Quansah.
Hakuna haja ya usajiri mpya waliopo watosha
 
Huyu McAlister ndio huwa anasababisha tufungwe na kocha letu Crops cultivation limeshagundua hichi kitu so huwa anawaambia marefa wampe kadi nyekundu Huyu kipenyo McAlister

Operation ni counter intelligence
 
Tungekuwa na nia ya kumchukua Andre hata msimu huu tungempata kaka ila sasa Klopp hapangiwi na sioni usajili tena hapa tusubiri tu

Labda iwe surprise ila ngumu kusajili kwa sasa.

Ujue shida ya Klopp huwa anawapigia injuries mahesabu na wakati hao ndio wanamuangusha.
 
Jamaa huwa haongei ila anachonua yeye ni kazi kazi tu.
FB_IMG_1692626913991.jpg
 
Hii mikataba ya miaka 8 itawamaliza suala la muda tu.

Nafikiri Caicedo ni mzuri ndio ila kwa alichofanya jana acha tufurahi tu kwa sasa.

Kuna bwana mdogo Lavia hiyo decision ya kwenda Chelsea ni mbaya kwake. Kwa sasa ni third Choice ahead of Caicedo na Enzo. Alifanya maamuzi ya Revange kwa Liverpool na pesa zaidi. Akasahau huwezi kuikomoa Klabu

Ukweli ni kwamba Chelsea haimuhitaji Lavia yeye ndio anaihitaji.
Page ya livekuku ila wanajadili Chelsea hatari sana mbona hamsemi nyie mnavyopigwa
 
Ile kadi ni halali kwa sababu tunaangalia Lengo
McAlister alitaka kumuua mwenzake alimkaba shingo zaidi ya dk 1 na bado akampiga ngumi sita za kichwa na akammega meno
Daah we jamaa aise 🙌🙌😄😄
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom