Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool tunae Bajcetic, hapo tungepata Dm mmoja na CB mmoja basi tatzo klopp haamini vijana sijui kwann mpaka apate injury ndio awatumie ndio maana Pep aka kipara huwa anafaulu vzur kwa makinda sasa njoo kwa Klopp.
Sio mwalimu ataaminije vijana?huyo amekariri namna yake ndo anayotegemea ikifeli ndo haya yanayo 3ndelea hapa.
Hajui anahitaji mchezaji wa aina Gani na hashauliki.

Wale wa Kopp anajia zaidi makofi tafadhali
 
Klopp anajifanya mjuaji Sana sawa anatupa presha Sana sisi mashabiki

Nauona mwisho wa Liverpool

Tuanze mapema kuchagua timu za kishangilia ligi ya SAUDIA kupunguza machungu
Mwsho wa Liverpool haupo Leo Wala kesho Wala KESHOKUTWA...Liverpool hiii hii mnayoiona ya hovyo mtakuja ishangaa mwsho wa msimu...TUNZA SANA HII KAULI
 
Liverpool ana tabia chafuu, Yan kampa pressure Chelsea mpaka kaingia 18 kamwaga ela ambazo hazikustahil alaf kaingia chocho, any way, Endo ni kiungo fundi sana umri wake haijalishi ataisaidia Liverpool. Sina uhakika kama Liverpool alitaka kumsajili Caicedo mm
Sizitaki mbichi hizi
 
Liverpool ana tabia chafuu, Yan kampa pressure Chelsea mpaka kaingia 18 kamwaga ela ambazo hazikustahil alaf kaingia chocho, any way, Endo ni kiungo fundi sana umri wake haijalishi ataisaidia Liverpool. Sina uhakika kama Liverpool alitaka kumsajili Caicedo mm

Jifunze kukubali
 
Huyu apewe mkataba wa miaka 9 kabisa
Screenshot_20230817-220402.jpg
 
Now ENDO in, ENDO hawezi kuwa our final Midfield signing of the window YES ,Ni kama ni Replacement ya Milner na Squad player,Tumepata some decent Midfield Depth, Tunahitaji kupata signing ya starting DM as soon as possible.

Let's give him a chance.
 
Liverpool ana tabia chafuu, Yan kampa pressure Chelsea mpaka kaingia 18 kamwaga ela ambazo hazikustahil alaf kaingia chocho, any way, Endo ni kiungo fundi sana umri wake haijalishi ataisaidia Liverpool. Sina uhakika kama Liverpool alitaka kumsajili Caicedo mm
huku ni kujifariji
 
Kwanini timu inachelewa kufanya usajili wa sehemu muhimu kama CDM?Kama ilikuwa inajua kuwa itaachana na akina Fabinho kwa nini haikuleta replacement mapema kwenye preseason?

Ni ubabaishaji?Ni ubahili?Ni umaskini?

Usikute sisi mashabiki tunahitaji the best Liverpool ya makombe makubwa halafu wenyewe wamiliki cha muhimu kwao ni faida tu in terms of money?Hawasumbui akili na hayo mambo yaliyofanya Liverpool ikawa moja ya vilabu vikubwa ulaya?

Halafu kuna mshabiki anasema Liverpoll hiihii itawashangaza mwisho wa msimu,like serious?Uwe na timu mbovu EPL na utegemee kuchukua makombe?Timu gani imebeba kombe huku ikiwa average kama Liverpool?

Huna beki wa kulia.Una beki wa kati mbovu ambaye lazima acheze(VVD).Una namba 9 mlaini(Nunez).Una kocha ambaye bila kucheza 4-3-3 hana raha(Non-versatile coach)..Infact timu ya aina hiyo kuwa hata top six tu ni bonge la achievement....

Liverpool haijaja na jipya lolote msimu huu
 
Kwanini timu inachelewa kufanya usajili wa sehemu muhimu kama CDM?Kama ilikuwa inajua kuwa itaachana na akina Fabinho kwa nini haikuleta replacement mapema kwenye preseason?

Ni ubabaishaji?Ni ubahili?Ni umaskini?

Usikute sisi mashabiki tunahitaji the best Liverpool ya makombe makubwa halafu wenyewe wamiliki cha muhimu kwao ni faida tu in terms of money?Hawasumbui akili na hayo mambo yaliyofanya Liverpool ikawa moja ya vilabu vikubwa ulaya?

Halafu kuna mshabiki anasema Liverpoll hiihii itawashangaza mwisho wa msimu,like serious?Uwe na timu mbovu EPL na utegemee kuchukua makombe?Timu gani imebeba kombe huku ikiwa average kama Liverpool?

Huna beki wa kulia.Una beki wa kati mbovu ambaye lazima acheze(VVD).Una namba 9 mlaini(Nunez).Una kocha ambaye bila kucheza 4-3-3 hana raha(Non-versatile coach)..Infact timu ya aina hiyo kuwa hata top six tu ni bonge la achievement....

Liverpool haijaja na jipya lolote msimu huu
Matip
VVD
Gomez
Jotaaa wanatosha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom