Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool ya 2019 sio kama ya sasa kwasababu hatuna DM, yaani mido iko exposed ndio maana naona akina VVD na Konate wanahangaika tu huko kukimbizana na Reece na Chilwell
 
Akili imeanza kumkaa sasa
Screenshot_20230813-214233.jpg
 
Vunjeni timu muanze upya kama sisi
Piga Salah bei Uarabuni kabla hajashuka bei
VVD naye uza.
Kama connection na waarabu hamna mumuone Boehly atawasaidia
Uzo wote bakiza wazalendo wawili au watatu tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom