Scared
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 10,886
- 17,592
Sawa mmelipa mtambulisheni basi kwani sisi tumekataa huyo si mchezaji wenu kelele nyingi sana mtambulisheni basi🤣🤣🤣🤣🤣Watu wameshalipa mbona. Ila ili dili limewauma kinoma sana
Sawa mmelipa mtambulisheni basi kwani sisi tumekataa huyo si mchezaji wenu kelele nyingi sana mtambulisheni basi🤣🤣🤣🤣🤣Watu wameshalipa mbona. Ila ili dili limewauma kinoma sana
Hili dili mlishapoteza tangu Caicedo aliposema anaitaka Chelsea. Katika transfer msimamo wa mchezaji unachukua nafasi kubwa kuliko maelewano ya timu na timukuna dalili Caicedo akatua Anfield sababu kwa namna navyomjua Klopp na Liverpool hawawezi kukomaa na mchezaji asiyetaka kuja Liverpool.
Kuna kila dalili kuwa Caicedo yupo open kujiunga na Liverpool ila agent wa mchezaji kwakuwa ana percent kwenye deal hili anatumia Journalists kusambaza false info ili tu kuwakatisha tamaa Liverpool.
Naamini kabisa Kama kweli Caicedo anangekuwa haitaki Liverpool mapema sana hata kubid wasingebid.
Endapo ikitokea Caicedo akatua Liverpool lazima atafnya interview pengine tutajua mengi.
Mara ya kwanza nakuona umekasirika dada hadi umejaa upepo. Huu ni mpira tu na sisi ni mashabiki tu. so poa, tafuta soda uipendayo kunywa utulize kichwa. Maisha yapo baada ya kumkosa CaicedoWe subiri uone tunavyowapiga nje ndani nyie chelshit
Sizitaki mbichi hizi!Hatumtaki 😂
Acha bana, ule mkakati wako wa kuhamia pale darajani umeishia wapi baby?Hatutaki michezaji inayoenda kuflop
Mchukueni tu
Ndg sisis ni watu wa Installments tena kibao. Hapo tumeanza na installments ya misimu minane, Brigjhtonwakasema ebo, mbali sana. Tukawaambia ndio maana tumekubali kulipa 115m. Haya wakaomba tushuke haya miaka 7, bado mbali. majadiliano yaliendlea hadi jioni dili likaisha. sasa usiku jama walikuwa wakisoma mkataba ni mrefu huo na kubadilishana emaisl ili kuhakikisha hakuna sehemu imekosewa kwa sababu hili dili limevunja rekodi ya British record mara tatu, yakwanza ya Enzo ikaja ya Liverpool na sasa ya Chelsea. Kwa hiyo dili kub wa sana hili haitakiwi kurush broIna maana bado tu Chelsea hawajamchukua mchezaji wao mpk muda huu? nini kinawashinda?
Bado tuna uwezo wa kusajili wachezaji wa mil 300 bila kuvunja sheria. kila mchezaji mmiaka nane na installment ya miaka 8 tutavunjaje hapo. Pia mahesabu mwenye 120m/8 ya installment = kila mwaka ni kama 15m halafu tena chukua 15m/8 ya mkataba = 2m kila msimu. sasa hapo tutavunjaje FFP? hapa mjini London kila mtu ataishi kwa akiliWakitia TU mzigo FFP inawahusu...BHA kakataa player +cash....NGOJA CHELSEA WAUZE UZE KWANZA WAPATE PESA
Mnaongea sana alafu hamtoi helaIkiwa Chelsea itashinda leo, itakuwa mbaya sana kwenu, mashabiki wenu, John Henry na FSG
We fikiria Lavia na Caicedo akiwasili kutoka mtaroni pale Stanford Bridge tena wakitambulishwa mbele ya halaiki ya mashabiki wa Chelsea na wakati huo huo tumewafunga. Mimi naomba isiwe hivyo, tufungwe tu ili iwe faraja au consolation kwenu, nje ya uwanja tumewapiga sana
ilishatolewa tangu juzi usiku wewe uko wapi?Mnaongea sana alafu hamtoi hela
Wekeni hiyo £115M tuone...
So far naona ni maneno na mkataba tu na reports zinasema mlitegemea Liverpool waondoe offer Yao ili mkamilishe deal kwa £100M too bad Liverpool bid hawajaondoa...
Kutokutoa hela toka ijumaa inaonesha mnaweza mkosa mchezaji vilevile.... Maana issue ni simple £115M
Or nothing
Mkuu nipo hapa nasubiria here we go...ilishatolewa tangu juzi usiku wewe uko wapi?
Nilisema mimi kweli?😂😂😂Acha bana, ule mkakati wako wa kuhamia pale darajani umeishia wapi baby?
Aslam aleiykum babe UstaadhSizitaki mbichi hizi!
Chuga anaijua habari yetuMara ya kwanza nakuona umekasirika dada hadi umejaa upepo. Huu ni mpira tu na sisi ni mashabiki tu. so poa, tafuta soda uipendayo kunywa utulize kichwa. Maisha yapo baada ya kumkosa Caicedo
“There’s a real possibility Liverpool could end up without both (Lavia and Caicedo) - @David_Ornstein on @NBCSportsSoccer