Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

kuna huyu mtoto Andre (Brazilian) naona kisiki hasa DM, ila kwa ubahiri wa FSG sidhani kama watatoa hiyo 30M wanayotaka.
 
Kinachoniuma ni mimi mtanzania wa huku ndani ndani naona mapengo ya wazi wazi

Ila wataalam walio ndani ya timu wanajifanya kutoona chochote

Bila ya kuziba haya mapengo timu ikishinda ni yetu sote ila ikipigwa pigwa ni yao najiengua kuifuatilia naendelea na michongo yangu

Pressure ya nini?

Mshahara wa shabiki ni ushindi
Fsg out
Wanazingua wale majamaa
 
Possession itafika 2% nyie vichwa vya bata
Screenshot_20230806_181235_Chrome.jpg
 
Usajili umekamilika naona sasa tuanze league chezea fsg ww?
 
Hii Timu ya kijinga sana tunazidiwa hadi na Arsenal
Mkuu, Nadhani utakuwa Mgeni sana kwa Liverpool,
Kwa Liverpool Fans yeyote aliyepitia Magumu na Maumivu ya Liverpool, Atakuwa anajua Liverpool ina Ride ndefu sana sana,Kama hukujiandaa na hiyo Ride ndefu tafuta team nyingine ya kushangilia Mapema.
 
Lavia .. Southampton wanaleta tamaa...wanalazimisha 50...wakati bei yake halisi 30... Liverpool washafika 41...
Kuna asilimia inaenda Man city ndo maana Southampton wanakomaa
Haaaa....Liverpool wakimpata Lavia tayari ubingwa mkononi. Mashabiki wa Liverpool hua mnanifurahisha sana na imani yenu, mnaweza kuamisha maji ya bahari kwa kijiko.
 
Wasaudia wapush zaidi wawapen hata £70m


BREAKING

Reliable sources in Saudi Arabia have said that Al-Ittihad are preparing a bid for Mohamed Salah.

The Egyptian talisman will earn £180m over two seasons. They are rumoured to be offering Liverpool £60m.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom