Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Transfer spending this summer, selected clubs.

[emoji636] Arsenal: $255 million
[emoji632] PSG: $175 million
[emoji636] Tottenham: $150 million
[emoji633] Real Madrid: $140 million
[emoji636] Manchester United: $128 million
[emoji636] Newcastle: $128 million
[emoji636] Chelsea: $123 million
[emoji636] Liverpool: $123 million
[emoji634] Juventus: $85 million
[emoji634] AC Milan: $77 million
[emoji629] Bayern Munich: $55 million
[emoji636] Manchester City: $32 million
[emoji633] Atletico: $30 million
[emoji634] Inter Milan: $30 million
[emoji633] FC Barcelona: $5 million
chelsea usajili wote ule mpk sasa iwe 123? hizi data sio sahihi
 
Kinachoniuma ni mimi mtanzania wa huku ndani ndani naona mapengo ya wazi wazi

Ila wataalam walio ndani ya timu wanajifanya kutoona chochote

Bila ya kuziba haya mapengo timu ikishinda ni yetu sote ila ikipigwa pigwa ni yao najiengua kuifuatilia naendelea na michongo yangu

Pressure ya nini?

Mshahara wa shabiki ni ushindi
 
Tutaona mengi dirisha hili
1691306603892.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom