The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,613
Yule centre back mfaransa wa Beyern Munich ana nguvu na speed ...Yule hata middle anafaaTatizo uzito, angekua mwepesi na mwenye kasi kama prime Ngolo Kante angekua hatari
Yule centre back mfaransa wa Beyern Munich ana nguvu na speed ...Yule hata middle anafaaTatizo uzito, angekua mwepesi na mwenye kasi kama prime Ngolo Kante angekua hatari
Upamecano hamna beki mule. Katoa boko za kutosha tu kwenye uefa. Na ukisema ana speed si kweli maana jamaa huwa ukimgeuza upande mmoja basi kwisha kazi yake. In short yule ni kama Koulibaly tuYule centre back mfaransa wa Beyern Munich ana nguvu na speed ...Yule hata middle anafaa
Kwamba weusi ndio wana nguvu sana au?Tatizo uzito, angekua mwepesi na mwenye kasi kama prime Ngolo Kante angekua hatari
Mbona kawabeba France Hadi fainali??Upamecano hamna beki mule. Katoa boko za kutosha tu kwenye uefa. Na ukisema ana speed si kweli maana jamaa huwa ukimgeuza upande mmoja basi kwisha kazi yake. In short yule ni kama Koulibaly tu
Tutapiga kenge zote pale EPLOoh dommy dommy
Huyu Ndo mwamba sasa
Kazi kazi
No hendo ni backup rasmi mzeeTutapiga kenge zote pale EPL
Wasiwasi wangu ni mapenzi ya JK kwa HENDO.
Itakuwa powa sana ikiwa hivyo.No hendo ni backup rasmi mzee
Atabaki kuwa legend mpaka anavyoondoka
Hendo atakua sub kama unavyoona milner alivyokua mwishoni
Tena atakua analeta dynamism nzuri sana akiingia watu washachoka
Tungesajili na CB ingekua poa sana VVD anatuangusha sanaEpl ni yetu.
Anastahili hiyo nambaOUR NUMBER 8.View attachment 2676420
Namm nashangaa japo mm ni shabiki wa Liverpool nawashangaa mashabiki wenzanguKazi kwelikweli kwenye ushabiki...usajili wa wachezaji wawili tayari maneno yameanza...EPL ya Liverpool.
Hongereni sana mabingwa wa EPL msimu wa 2023/2024.


