The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,613
Thuram.Sioni hata kuhusishwa na mchezaje yeyote![]()
Manu Kone
Lucas leiva
Thuram.Sioni hata kuhusishwa na mchezaje yeyote![]()
Thuram.
Manu Kone
Lucas leiva
Wa SouthamptonLucas Leiva????
Ake yukoVvd kawa uchochoro sana
Vvd anatucost sana liverpool ukweli huu Lazima usemwe
Yaani hata goal la Madrid Uefa mwaka jana it was all about vvd kukabia macho kama leo alivyowaponza NED... Yaani VVD kawa mpuuzi kweli kweli sio kidogo Ni kama karidhika vile na mpira

ni swala la kubisha hodi city paleVvd kawa uchochoro sana
Vvd anatucost sana liverpool ukweli huu Lazima usemwe
Yaani hata goal la Madrid Uefa mwaka jana it was all about vvd kukabia macho kama leo alivyowaponza NED... Yaani VVD kawa mpuuzi kweli kweli sio kidogo Ni kama karidhika vile na mpira




Kutwa tuu wanapost farewell ya boby, mara birthday ya Hendo, yani hakuna kipya




MmmmhVvd kawa uchochoro sana
Vvd anatucost sana liverpool ukweli huu Lazima usemwe
Yaani hata goal la Madrid Uefa mwaka jana it was all about vvd kukabia macho kama leo alivyowaponza NED... Yaani VVD kawa mpuuzi kweli kweli sio kidogo Ni kama karidhika vile na mpira
Kwahio wewe unaangalia ratings
Mambo mrembo
Miss you too mrembo wanguPoa
I miss you![]()
MwomumoMiss you too mrembo wangu
Mambo yanaendaje huko mundu wa kyala


Mwomumo
Namshukuru Mungu, naendelea vizuri, naupiga mwingi kama Gakpo.
Wish to see you.





Yaani wewe ni kichaa ujueLiverpool hakuna haja ya usajiri mwingine zaidi



VVD kisiki ukuta anatosha na HendersonYaani wewe ni kichaa ujue![]()
Liverpool kikosi kimekamilika mm sioni mtu wa kutoka zaidi ya kipa ndio bado ni tatizo
Chizi wewe![]()