Ziroseventytwo
Platinum Member
- Mar 27, 2011
- 9,157
- 17,052
.... kwa maoni yangu, liverpool haitaji tena wachezaji wa aina ya Mount, au Jude. Liverpool inahitaji signing mbili au tatu. Holding midfilder wa kumsaidia Fabby. Na AM mwenye mwenye viwango hapa McAllister anafit.
Ni wakati sasa wa Klopp kubadili aina ya uchezaji. Aende na 3-5-2.
Matip-Konate-VvD. Kisha anamfanya salah na Diaz kuwa ni mafull back. Diaz- Jones-Fabinho Elliott -Salah. Kumbuka kwa formation hii tunahitaji wachezaji wa pembeni (flank) wenye uwezo wa kudrible. Hapa ndio Diaz na Salah wanapofit.
kisha anamaliza na Jota na Gapko. Hawa jamaa wawili ni goals machine.
Captain Heddo atakuwa ni backup ya Fabby wakati TAA na Robbo wao watakuwa ni backup ya salah na diaz.
liverpool inahitaji mabadiliko ya kiuchezaji. Hii timu akipewa Conte na aina wachezaji waliopo pale wallah atapata matokeo mazuri. Change may some tyms have a pains but still is needed.
Tubadilike. Angalia soka linalochezwa na City, Brighton na Arsenal. Hata wasipopota matokea mazuri lakini soka lao ni zuri na la kuvutia.
Ni wakati sasa wa Klopp kubadili aina ya uchezaji. Aende na 3-5-2.
Matip-Konate-VvD. Kisha anamfanya salah na Diaz kuwa ni mafull back. Diaz- Jones-Fabinho Elliott -Salah. Kumbuka kwa formation hii tunahitaji wachezaji wa pembeni (flank) wenye uwezo wa kudrible. Hapa ndio Diaz na Salah wanapofit.
kisha anamaliza na Jota na Gapko. Hawa jamaa wawili ni goals machine.
Captain Heddo atakuwa ni backup ya Fabby wakati TAA na Robbo wao watakuwa ni backup ya salah na diaz.
liverpool inahitaji mabadiliko ya kiuchezaji. Hii timu akipewa Conte na aina wachezaji waliopo pale wallah atapata matokeo mazuri. Change may some tyms have a pains but still is needed.
Tubadilike. Angalia soka linalochezwa na City, Brighton na Arsenal. Hata wasipopota matokea mazuri lakini soka lao ni zuri na la kuvutia.



