Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Yani hapa mnatuaminisha klopp kuwa ni kocha kumbe ni mediocre kabisa misimu 8 kakombe kamoja tu klopp must go.

Na nyie mlivyo wajinga mmekaza kichwa na klopp kuwa na kocha hapo.

Poor klopp
1684783457743.jpg
 
Mnataka aondoke ili mumchukue
Tumewastukia
Kocha mpumbavu kama klopp hata kumuweka tu awe msafisha choo pale OT tu ni jambo lenye hakuna.

Klopp ni mediocre kocha ni muhuni na taperi siku mnajua ni taperi mtakuwa mshachelewa sana

Kitu klopp hataona msimu huu ni hii tu.
1680969609005.jpg
 
Screenshot_20230522_074616.jpg

Aaron Arsenal na DullyJr pongezi kwanza kwa msimu mzuri kwani hamkua mnapewa nafasi kuleta ushindani ule kwa Manchester City... Kuumia kwa Saliba muda wa lala salama ilikua pigo kubwa sana. Naamini Arteta atapewa sapoti sokoni ya MF mmoja na beki mmoja na msimu ujao mtakua moto sana. Pia upande wa beki ya kushoto patazameni.

YNWA
 
View attachment 2633947
Aaron Arsenal na DullyJr pongezi kwanza kwa msimu mzuri kwani hamkua mnapewa nafasi kuleta ushindani ule kwa Manchester City... Kuumia kwa Saliba muda wa lala salama ilikua pigo kubwa sana. Naamini Arteta atapewa sapoti sokoni ya MF mmoja na beki mmoja na msimu ujao mtakua moto sana. Pia upande wa beki ya kushoto patazameni.

YNWA
Msimu mzuri hawana hata kikombe cha maji 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
View attachment 2633947
Aaron Arsenal na DullyJr pongezi kwanza kwa msimu mzuri kwani hamkua mnapewa nafasi kuleta ushindani ule kwa Manchester City... Kuumia kwa Saliba muda wa lala salama ilikua pigo kubwa sana. Naamini Arteta atapewa sapoti sokoni ya MF mmoja na beki mmoja na msimu ujao mtakua moto sana. Pia upande wa beki ya kushoto patazameni.

YNWA

Sina sababu za kiufundi, lakini sio Arsenal ikiuwasha tena kama msimu huu.
Mark this you will remind me coming January 2024.

I stand to be proved wrong from them.
 
[FREE] Mount remains Liverpool priority, Osimhen's mammoth asking price, Arsenal and Spurs chasing Bundesliga s…
 
Kumekucha HUKU,.


𝗡𝗘𝗪: Liverpool will take a hit financially from missing out on the Champions League, but significant funds will still be made available to the manager. #lfc [james pearce - the athletic]
Kwani Liverpool unaona atamiss champions league spot??
Subiri hadi mwisho mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom