Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Tatizo pesa.
Halafu kuwaondosha wote kwa wakati mmoja na kuleta wapya inaweza kuwa ya Chelsea.

Nafikiri jinsi ya kumuondoa Henderson kikosini, ni kumpunguzia game time kiasi aonekane mzigo tu. Waje majembe yapige kazi, atajiondokea mwenyewe tu.

Mac Alister tayari.

Natamani kumuona new established RB ili TAA acheze moja kwa moja CAM na sio inverted RB. Kisha tukajaribu hawa watu
Caiceido
Barella
Nunes
Rice
Bowen
Neves,
ili tupate established MF watatu mpaka wanne kisha waje kina Prowse

Next season our seaeon.

Hao kina Elliot, Jones ni wa FA & Carabao. Ila sio wa kuwategemea hata kidgo. Atleast Elliot akipangwa RW hua anafanya jambo. Huyu Jones ni dakika za mwisho tu gari la mkaa limewakia mteremkoni baaaasi, hana jipya.

YNWA
Klopp amuweke benchi Hendo mtoto pendwa?😂Aanze tu!
Impossible 🙌
 
Unapata fan Wa Liverpool anasema wako na 19 PL titles nani kawadanganya? Hizo ni league titles sio EEPL titles
The list of EPL Titles is here

1. MANCHESTER UNITED 13
2. Manchester City 8
3.Chelsea 6
4 Arsenal 3
5 Liverpool 1

Poor Liverpool kitu mediocre mzee klopp itaona ni hii tu msimu huu
1680969609005.jpg
 
Unapata fan Wa Liverpool anasema wako na 19 PL titles nani kawadanganya? Hizo ni league titles sio EEPL titles
The list of EPL Titles is here

1. MANCHESTER UNITED 13
2. Manchester City 8
3.Chelsea 6
4 Arsenal 3
5 Liverpool 1

Poor Liverpool kitu mediocre mzee klopp itaona ni hii tu msimu huuView attachment 2631243

sasa jina ndio kombe? Kombe lile lile. Hapo ni jina ndilo mwashindania.

Ukienda pale FA unakuta imechorwa 19. Sasa sijui wewe na wao nani ni nani.

Nyumbu bana
 
[05/22, 23:19] CA: Free agents by the end of these season

Youri Tielemans (Leicester)

Wilfried Zaha (Crystal Palace)

Ilkay Gundogan (Man City)

N’Golo Kante (Chelsea)

Roberto Firmino (Liverpool)

Caglar Soyuncu (Leicester)

Naby Keita (Liverpool)

Nelson Semedo (Wolves)

Lucas Moura (Tottenham)

Yerry Mina (Everton)

David de Gea (Man Utd)

Adama Traore (Wolves)

Jesse Lingard (Nottingham Forest)

Manuel Lanzini (West Ham)

Alex Oxlade-Chamberlain (Liverpool)

Vladimir Coufal (West Ham)

Reiss Nelson (Arsenal)

Diego Costa (Wolves)

Willian (Fulham)

Axel Tuanzebe (Man Utd)

Karim Benzema (Real Madrid)

Marco Asensio (Real Madrid)

Toni Kroos (Real Madrid)

Inigo Martinez (Athletic Bilbao)

Matt Doherty (Atletico Madrid)

Luka Modric (Real Madrid)

Dani Ceballos (Real Madrid)

Nacho Fernandez (Real Madrid)

Sergio Busquets (Barcelona)

David Silva (Real Sociedad)

Mariano Diaz (Real Madrid)

Milan Skriniar (Inter) - JOINING PSG ON JULY 1

Adrien Rabiot (Juventus)

Andrea Belotti (Roma)

Stefan de Vrij (Inter)

Luis Muriel (Atalanta)

Angel Di Maria (Juventus)

Chris Smalling (Roma)

Roberto Gagliardini (Inter)

Juan Cuadrado (Juventus)

Alex Sandro (Juventus)

Edin Dzeko (Inter)

Samir Handanovic (Inter)

Olivier Giroud (Milan)

Nemanja Matic (Roma)

Stephan El Shaarawy (Roma)

Roberto Pereyra (Udinese)

Zlatan Ibrahimovic (Milan)

Danilo D'Ambrosio (Inter)

Pedro (Lazio)

Marcus Thuram (Gladbach)

Evan N’Dicka (Frankfurt)

Daichi Kamada (Eintracht Frankfurt)

Konrad Laimer (Leipzig)

Remy Bensebaini (Borussia Monchengladbach)

Daley Blind (Bayern Munich)

Raphael Guerreiro (Borussia Dortmund)

Mahmoud Dahoud (Borussia Dortmund)

Marco Reus (Borussia Dortmund)

Mats Hummels (Borussia Dortmund)

Lionel Messi (PSG)

Houssem Aouar (Lyon)- JOINING ROMA ON JULY 1

Jonathan Bamba (Lille)

Moussa Dembele (Lyon)

Ross Barkley (Nice)

Sergio Ramos (PSG)

Alexis Sanchez (Marseille)

Sead Kolasinac (Marseille)

Aaron Ramsey (Nice)

Wahbi Khazri (Montpellier)

Jerome Boateng (Lyon)

Kevin Gameiro (Strasbourg)
 
[05/22, 23:19] CA: Free agents by the end of these season

Youri Tielemans (Leicester)

Wilfried Zaha (Crystal Palace)

Ilkay Gundogan (Man City)

N’Golo Kante (Chelsea)

Roberto Firmino (Liverpool)

Caglar Soyuncu (Leicester)

Naby Keita (Liverpool)

Nelson Semedo (Wolves)

Lucas Moura (Tottenham)

Yerry Mina (Everton)

David de Gea (Man Utd)

Adama Traore (Wolves)

Jesse Lingard (Nottingham Forest)

Manuel Lanzini (West Ham)

Alex Oxlade-Chamberlain (Liverpool)

Vladimir Coufal (West Ham)

Reiss Nelson (Arsenal)

Diego Costa (Wolves)

Willian (Fulham)

Axel Tuanzebe (Man Utd)

Karim Benzema (Real Madrid)

Marco Asensio (Real Madrid)

Toni Kroos (Real Madrid)

Inigo Martinez (Athletic Bilbao)

Matt Doherty (Atletico Madrid)

Luka Modric (Real Madrid)

Dani Ceballos (Real Madrid)

Nacho Fernandez (Real Madrid)

Sergio Busquets (Barcelona)

David Silva (Real Sociedad)

Mariano Diaz (Real Madrid)

Milan Skriniar (Inter) - JOINING PSG ON JULY 1

Adrien Rabiot (Juventus)

Andrea Belotti (Roma)

Stefan de Vrij (Inter)

Luis Muriel (Atalanta)

Angel Di Maria (Juventus)

Chris Smalling (Roma)

Roberto Gagliardini (Inter)

Juan Cuadrado (Juventus)

Alex Sandro (Juventus)

Edin Dzeko (Inter)

Samir Handanovic (Inter)

Olivier Giroud (Milan)

Nemanja Matic (Roma)

Stephan El Shaarawy (Roma)

Roberto Pereyra (Udinese)

Zlatan Ibrahimovic (Milan)

Danilo D'Ambrosio (Inter)

Pedro (Lazio)

Marcus Thuram (Gladbach)

Evan N’Dicka (Frankfurt)

Daichi Kamada (Eintracht Frankfurt)

Konrad Laimer (Leipzig)

Remy Bensebaini (Borussia Monchengladbach)

Daley Blind (Bayern Munich)

Raphael Guerreiro (Borussia Dortmund)

Mahmoud Dahoud (Borussia Dortmund)

Marco Reus (Borussia Dortmund)

Mats Hummels (Borussia Dortmund)

Lionel Messi (PSG)

Houssem Aouar (Lyon)- JOINING ROMA ON JULY 1

Jonathan Bamba (Lille)

Moussa Dembele (Lyon)

Ross Barkley (Nice)

Sergio Ramos (PSG)

Alexis Sanchez (Marseille)

Sead Kolasinac (Marseille)

Aaron Ramsey (Nice)

Wahbi Khazri (Montpellier)

Jerome Boateng (Lyon)

Kevin Gameiro (Strasbourg)

Hapo ukimchukua Tielmans na Thurman for free ...unakuwa umechezwa kama pele
 
ameongezeka newcastle sasa kwenye battle ya top 4... nina wasiwasi mwakani tutakua nje tena!

city
arsenal
newcastle
utd
chelsea
liver

tayari ni timu 6 hizo, na hapo bahili ni aseno na liver, hii nafasi tuliyopoteza mwaka huu kuingia top 4 inaweza kutugharimu kwa kipindi kirefu kijacho!.....

ngoja tuone usajili kama tunaweza leta hata wachezaji wa maana watatu....
 
Unapata fan Wa Liverpool anasema wako na 19 PL titles nani kawadanganya? Hizo ni league titles sio EEPL titles
The list of EPL Titles is here

1. MANCHESTER UNITED 13
2. Manchester City 8
3.Chelsea 6
4 Arsenal 3
5 Liverpool 1

Poor Liverpool kitu mediocre mzee klopp itaona ni hii tu msimu huuView attachment 2631243
Siku nyingine jifunze kuwa na akili mbele ya wakubwa wako
 

Attachments

  • 2sosj8.jpg
    2sosj8.jpg
    31.4 KB · Views: 10
ameongezeka newcastle sasa kwenye battle ya top 4... nina wasiwasi mwakani tutakua nje tena!

city
arsenal
newcastle
utd
chelsea
liver

tayari ni timu 6 hizo, na hapo bahili ni aseno na liver, hii nafasi tuliyopoteza mwaka huu kuingia top 4 inaweza kutugharimu kwa kipindi kirefu kijacho!.....

ngoja tuone usajili kama tunaweza leta hata wachezaji wa maana watatu....
Aston villa umrmsahau hapo
 
ameongezeka newcastle sasa kwenye battle ya top 4... nina wasiwasi mwakani tutakua nje tena!

city
arsenal
newcastle
utd
chelsea
liver

tayari ni timu 6 hizo, na hapo bahili ni aseno na liver, hii nafasi tuliyopoteza mwaka huu kuingia top 4 inaweza kutugharimu kwa kipindi kirefu kijacho!.....

ngoja tuone usajili kama tunaweza leta hata wachezaji wa maana watatu....

Hapo weka wazuia riziki. Aston Villa (kama watabaki na Emery), Brighton, Westham.

Sijui kwa nini umemuacha Spurs.
 
Hapo weka wazuia riziki. Aston Villa (kama watabaki na Emery), Brighton, Westham.

Sijui kwa nini umemuacha Spurs.
hao nilioweka ni top 4 contender next season,
spurs hawezi shindana na hao 6, levy ni type za wamiliki wasiojua wanalofanya... newcastle nimemweka sababu tayar ana waarabu, hawana shida kumwaga mapesa wale!
 
Kumekucha HUKU,.


𝗡𝗘𝗪: Liverpool will take a hit financially from missing out on the Champions League, but significant funds will still be made available to the manager. #lfc [james pearce - the athletic]
kina james pearce ni midomo ya fsg, wanawaaminisha mashabiki uongo, wao muda wote ni kusifia yanks! hawajawahi kuwakosoa yanks
 
Watch your language baby girl.......kama umekosa kitu Cha kulalamika Mchukue Henderson mlalamikie haya maswala ya kusema Salah Hana uspecial wowote uje na facts usilete hisia


Leta mchezaji anayetupa 30 goals for five years plus assists na goal contribution kama kifungashio ndo uje useme Salah Hana uspecial wowote hapa
Unamkamia sana mkuu mtoto wa kike huyu boss
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom