Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Chaaaah😂😂😂😂
Wapo wengi humu nawajua ,Madaktari magentlemen ila nampenda Baba Swalehe.

Ila katika wote nampenda zaidi brother Captain Marvelous ,
My love for him is unconditional..
Sijuagi fani yake ila ndo vile nampenda Bobby bila sababu.
😂 😂 😂 😂 Woow am humbled Miss Liverpool...

Asante sana msimu huu umekua upo fire sana hapa kwa jukwaa relentlessly hata pale wengine kwa kuumia kwa matokeo yalivyokwenda kusini you stood by the team regardless of the tough going...

Ni DM ua number or ac kesho ua lunch will be catered angalau urejeshe nguvu Milner na Hendo walivyokuhenyesha msimu huu.

YNWA
 
Klop alivyo mseng* naye utashangaa anaichukulia poa uropa, wakati ndio chance ya kubeba walau kikombe+ kufuzu CL milango ya ligi ikibuma
Klopp ameyataka mwenyewe aisee kukomaa na wazee na out of form bunch of boys kipindi chote hiki.

Hapakua haja eti mpaka leo tunao Henderson, Milner, Matip, Thiago na Ox yaaani haingii akilini kabisa hawa jamaa wamekua Liverpool hii huku ukitazama kwa Pep hana ma flop pale kwa sasa kila mchezaji anaepangwa pale huoni pungufu la fulani hayupo lakini kwetu ni tofauti kabisa..

Tazama kama leo Manchester City vs Chelsea wafauatao hawakuwepo starting 11 Haaland, Kevin de Bruyne, Ilkay Gundogan, John Stones, Jack Grealish, Rodri, Bernardo Silva, Ruben Dias na goalkeeper Ederson lakini katazame output unaweza sema ndio 1st 11 ya Kipara kumbe chaguo la 3, hii ndio inaitwa proper depth ya kikosi, sasa imagine inavyokua bila Salah, Robertson, VVD prime nk nk utaona tuna safari ndefu sanaaaa kumatch kazi ya Kipara pale Ethad maana ni jambo moja kua ukubwa wa kikosi lakini ni kazi ngumu sana kuweka mfumo ambao kila mchezaji anaeingia anakua output sawa na alietoka.

Nwa ngoja tuzoee mechi za Alhamisi na Klopp akicheza karata zake vimbaya atajikuta pambaya zaidi kuliko msimu huu maana safari za mechi za Europa aafu unakuta mechi Jumamosi tena EPL hivyo bila kikosi cha kueleweka tutegemee majeruhi kwa wazee wetu.

YNWA
 
😂 😂 😂 😂 Woow am humbled Miss Liverpool...

Asante sana msimu huu umekua upo fire sana hapa kwa jukwaa relentlessly hata pale wengine kwa kuumia kwa matokeo yalivyokwenda kusini you stood by the team regardless of the tough going...

Ni DM ua number or ac kesho ua lunch will be catered angalau urejeshe nguvu Milner na Hendo walivyokuhenyesha msimu huu.

YNWA
Mzalendo wa kwanza ni wewe.
Licha ya timu kufanya vibaya ila upo hapa,iwe jua iwe mvua
Hupepesi hata macho japo kwenye threads zingine🤣
Huu uzalendo wa ajabu😂



Aaaawwee😍😍😋😋
Lunch hiyooooooo 😂
Nyie..kesho nakula vyuku KFC
Ngoja nitafute namba ya kukupa🤭

Lakini we agreed that we will have dinner together me and you.

Mara paap Milner haondoki anabaki😆
 
Liverpool na CROPS wameona UEFA champions league kuna
Barcelona
Madrid
Juventus
Napoli
City
MANCHESTER United
Munich
Nk
Wakaona bora wakimbilie YUROPANI kupambana na wacheza dama wenzao
Galatasarai
Celta vigo
Benfica
Porto
FC bandari ya tanga
Wazee fc ya ujiji
Bachelor wewe ni mwehu😂😂
 
Nimeshafanya Kwa Milner.
Nasubiri Captain Marvelous atimize ahadi yake kwanza,the tutaendelea.


Ila uchawi upo
Yaani Bobby anaondoka ila Hendo anabaki



Keita, Ox na Milner wameondoshwa hawajaondoka.
Bobby pekee yake ndiye alitangaza kuondoka.

Kina Adrian wamekaa back bencher huko wanasubiri mkataba.

Mshahara wake bora wakachukue mcheza huko Amerika ya kusini. Nafasi yake ichukuliwe na Marcelo Pitaluga, young Gk. Tulimsajili kutoka fluminese 2020.
 
Klopp ameyataka mwenyewe aisee kukomaa na wazee na out of form bunch of boys kipindi chote hiki.

Hapakua haja eti mpaka leo tunao Henderson, Milner, Matip, Thiago na Ox yaaani haingii akilini kabisa hawa jamaa wamekua Liverpool hii huku ukitazama kwa Pep hana ma flop pale kwa sasa kila mchezaji anaepangwa pale huoni pungufu la fulani hayupo lakini kwetu ni tofauti kabisa..

Tazama kama leo Manchester City vs Chelsea wafauatao hawakuwepo starting 11 Haaland, Kevin de Bruyne, Ilkay Gundogan, John Stones, Jack Grealish, Rodri, Bernardo Silva, Ruben Dias na goalkeeper Ederson lakini katazame output unaweza sema ndio 1st 11 ya Kipara kumbe chaguo la 3, hii ndio inaitwa proper depth ya kikosi, sasa imagine inavyokua bila Salah, Robertson, VVD prime nk nk utaona tuna safari ndefu sanaaaa kumatch kazi ya Kipara pale Ethad maana ni jambo moja kua ukubwa wa kikosi lakini ni kazi ngumu sana kuweka mfumo ambao kila mchezaji anaeingia anakua output sawa na alietoka.

Nwa ngoja tuzoee mechi za Alhamisi na Klopp akicheza karata zake vimbaya atajikuta pambaya zaidi kuliko msimu huu maana safari za mechi za Europa aafu unakuta mechi Jumamosi tena EPL hivyo bila kikosi cha kueleweka tutegemee majeruhi kwa wazee wetu.

YNWA
Kitendo cha kufungua milango kwa Milner, Ox, Keita at paa ni isharatosha kuwa akili zimeshaanza kumkaa sawa, alikua mbishi sana, mambo ya mtu akipona from injury eti ni usajili mpya naona ameshayaacha

Nb: Aliambiwa Mignolet na Karius sio makipa wakumpa makombe, akabisha, yalivomkuta akaamua kuvunja rekodi kwa Allison

Akaambiwa Beki yake ya lovren na matip ni uchochoro akabisha, yalivyomkuta akaleta VVD

Alivyokua anampamba Keita , leo kamuacha bure wakati kuna timu zilimtaka kabla ni ishara kuwa amejifunza
 
Rafa Benitez on the challenges that came with taking the Liverpool job:

"In the summer of 2004, the challenge I faced when I arrived at Liverpool was like the one I had faced at Valencia. The team had some great players, but they weren’t winning anything. 'You have to be contenders in three years,' the club told me. 'To be challenging to win the Premier League or the Champions League.' But the difference at that time, between Liverpool and Chelsea, Manchester United and even Arsenal, was massive."

"Arsenal had just won the Premier League title and were settled as one of the top sides in Europe. Chelsea, under Roman Abramovich, were spending a massive amount of money. United had always had money."

"With 30 to 50 per cent of the budgets of those teams, I was being asked to compete with them. We had to sell players to buy new ones. That meant we always had to make the right decisions, which isn’t easy."

"But as a manager I enjoyed the challenge, and I was enjoying playing against the best teams. Arsenal was always difficult because they played good football, which we had to be solid and very aggressive against. The rivalry with United was massive and challenging."

"We always seemed to be playing Chelsea, under José Mourinho, and every time we had to do something different against them to compete. The challenge was complicated, and we always had to be at our maximum against them."

"In my first season, when I often had to rely on young players like Neil Mellor, Anthony Le Tallec and Florent Sinama-Pongolle, we reached the final of the Carling Cup. We played well, but lost to Chelsea in extra-time. We also reached the Champions League final."

#lfc [the coaches' voice]


Liverpool and its history with cursed owners
 
Kitendo cha kufungua milango kwa Milner, Ox, Keita at paa ni isharatosha kuwa akili zimeshaanza kumkaa sawa, alikua mbishi sana, mambo ya mtu akipona from injury eti ni usajili mpya naona ameshayaacha

Nb: Aliambiwa Mignolet na Karius sio makipa wakumpa makombe, akabisha, yalivomkuta akaamua kuvunja rekodi kwa Allison

Akaambiwa Beki yake ya lovren na matip ni uchochoro akabisha, yalivyomkuta akaleta VVD

Alivyokua anampamba Keita , leo kamuacha bure wakati kuna timu zilimtaka kabla ni ishara kuwa amejifunza

And the list goes on. Mpaka yamkute ndipo humkaa sawa
 
Kabisa
Salah aache kujinunisha akitolewa..
Hana uspecial wowote,.hata wenzie mbona wanafunga dakika za lala salama.

Bobby amejua kutufuta machozi
He's leaving us jamani
Watch your language baby girl.......kama umekosa kitu Cha kulalamika Mchukue Henderson mlalamikie haya maswala ya kusema Salah Hana uspecial wowote uje na facts usilete hisia


Leta mchezaji anayetupa 30 goals for five years plus assists na goal contribution kama kifungashio ndo uje useme Salah Hana uspecial wowote hapa
 
Mnanyanyua nin msimu huu ,kabla hatuja tafuna jogooo na shampein
mancity-20230521-0016.jpg
 
Watch your language baby girl.......kama umekosa kitu Cha kulalamika Mchukue Henderson mlalamikie haya maswala ya kusema Salah Hana uspecial wowote uje na facts usilete hisia


Leta mchezaji anayetupa 30 goals for five years plus assists na goal contribution kama kifungashio ndo uje useme Salah Hana uspecial wowote hapa
Hatujakataa kuwa ni mchezaji mzuri.
Kila mtu anajua uwezo wake..

Tunachoongelea hapa ni ubinafsi wake wa kutotaka wenzie wacheze,acheze yeye mwanzo mwisho.
Ndo tukasema hata wachezaji wengine wanao uwezo wa kuleta magoli dakika za mwisho.

Mfano mzuri umeonekana juzi,Tulikuwa tulale na viatu ila Firmino akapindua meza.
Kwahiyo tabia yake ya kutaka asifanyiwe sub ni ubinafsi wa kiwango kikubwa.
 


Keita, Ox na Milner wameondoshwa hawajaondoka.
Bobby pekee yake ndiye alitangaza kuondoka.

Kina Adrian wamekaa back bencher huko wanasubiri mkataba.

Mshahara wake bora wakachukue mcheza huko Amerika ya kusini. Nafasi yake ichukuliwe na Marcelo Pitaluga, young Gk. Tulimsajili kutoka fluminese 2020.
Yaani hii timu ilitakiwa wafagie sana
Kina Hendo wote walikuwa wa kuondoka.
 
Yaani hii timu ilitakiwa wafagie sana
Kina Hendo wote walikuwa wa kuondoka.

Tatizo pesa.
Halafu kuwaondosha wote kwa wakati mmoja na kuleta wapya inaweza kuwa ya Chelsea.

Nafikiri jinsi ya kumuondoa Henderson kikosini, ni kumpunguzia game time kiasi aonekane mzigo tu. Waje majembe yapige kazi, atajiondokea mwenyewe tu.

Mac Alister tayari.

Natamani kumuona new established RB ili TAA acheze moja kwa moja CAM na sio inverted RB. Kisha tukajaribu hawa watu
Caiceido
Barella
Nunes
Rice
Bowen
Neves,
ili tupate established MF watatu mpaka wanne kisha waje kina Prowse

Next season our seaeon.

Hao kina Elliot, Jones ni wa FA & Carabao. Ila sio wa kuwategemea hata kidgo. Atleast Elliot akipangwa RW hua anafanya jambo. Huyu Jones ni dakika za mwisho tu gari la mkaa limewakia mteremkoni baaaasi, hana jipya.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom