Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,253
Tulipane kwanza๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐๐ฟ๐๐ฟPiga kwa mpigo kabla Keita hajapaa kwenda Guinea akirejea Klopp anaghairisha anasema Kieta mitatu tena.
YNWA
Kazi na dawa
Tulipane kwanza๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐๐ฟ๐๐ฟPiga kwa mpigo kabla Keita hajapaa kwenda Guinea akirejea Klopp anaghairisha anasema Kieta mitatu tena.
YNWA
Hivi Kyela tumekukosea nini lakini?๐๐๐๐ฅ
YNWA
Mcheki Klopp atuambie mpango wake ulikua upi kutuletea lone 9 aafu walishaji wenyewe wanajua zaidi kurusha maneno kuliko ma assist bhana...Huyo Manunuz wako sijamtaja Mimi๐
Niache๐คฃ
Yule dogo mweupe kama karatasi,bila kuwa na kikosi bora asingetoboa..
Ni European biscuits tupu kuanzia kichwani ๐
Hapo kwa Kyle Walker waelewe kuwa ni Kyle Walker-PetersAka the hockey stick boy....
Pale Southampton wapo wachezaji wafuatao mbao Klopp lazima awaangilie kwa jicho la kipekee especially kama wakishuka daraja
Kama ifuatavyo
Beki kuna
Muhammad Salisu CB
Duje culeta CB
Kyle Walker RB
Midfielders
James Ward Prowse
Mussa Djenapo
Diallo
Romeo Laiva
Hapo Klopp anapata squad player wa kueleweka na wenye uzoefu wa EPL.
YNWA
Yule Baba saa zingine anatumia akili za bangiMcheki Klopp atuambie mpango wake ulikua upi kutuletea lone 9 aafu walishaji wenyewe wanajua zaidi kurusha maneno kuliko ma assist bhana...
YNWA
๐ ๐ ๐ Toa Milner, Thiago, Matip, Ox, Kieta ๐ ๐ Henderson hio ndio ningekupigia salute ๐๐Hivi Kyela tumekukosea nini lakini?๐
Hey comrade naona kimya sana.Hapo kwa Kyle Walker waelewe kuwa ni Kyle Walker-Peters
Drunkard master huyu...Yule Baba saa zingine anatumia akili za bangi
Kwahiyo hiyo ya Milner Aliyekuwa kung'ang'ania liver mama bubblegum iliyoshikilia kwenye nguo,kumtoa unaona ndogo eeh??๐๐ ๐ ๐ Toa Milner, Thiago, Matip, Ox, Kieta ๐ ๐ Henderson hio ndio ningekupigia salute ๐๐
YNWA
Japo binafsi naona Max Aarons wa Norwich angekua right candidate kuingia RB kwetu.Hapo kwa Kyle Walker waelewe kuwa ni Kyle Walker-Peters
๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ Acha weee.Kwahiyo hiyo ya Milner Aliyekuwa kung'ang'ania liver mama bubblegum iliyoshikilia kwenye nguo,kumtoa unaona ndogo eeh??๐
Mambo yanabanana Kopite, nilikuwa chaka moja la Simba baadhi ya matokeo ikabidi kuuliza wadau ila I hope tutakuwa wote in the long runHey comrade naona kimya sana.
YNWA
Leo zimeingia town nimesikia kuhusu McAllister is it a done deal?Japo binafsi naona Max Aarons wa Norwich angekua right candidate kuingia RB kwetu.
YNWA
It wasn't easy๐๐๐๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ Acha weee.
YNWA
Yule dogo anapiga Free kick balaaWakati Southampton kuna Ward prawse.... .Bora kuliko mount
KabisaAsije leta gudu la pale darajani Anfield.
YNWA




na klopp kakomaaa wakati kuna JWP pale SouthamptonTungempata RB mmoja ili TAA akarudi Midfielder ingekuwa poa sana maana huyu jamaa ana create chance pia ni dizaini ya KDB angetengeneza magoli mengi sana.Japo binafsi naona Max Aarons wa Norwich angekua right candidate kuingia RB kwetu.
YNWA
Welcome back comrade..Leo zimeingia town nimesikia kuhusu McAllister is it a done deal?
Kwa namna Klopp anavyotesti MF ya Trent naona hii ishu ipo wazi usajili wa RB utakuwepo...Tungempata RB mmoja ili TAA akarudi Midfielder ingekuwa poa sana maana huyu jamaa ana create chance pia ni dizaini ya KDB angetengeneza magoli mengi sana.
No worries mate na bora hata hujakuwepo maana maumivu yalikua mengi sana aisee.. umerudi muda mwafaka tumeanza kuona ushindi japo wa kusuasua..Mambo yanabanana Kopite, nilikuwa chaka moja la Simba baadhi ya matokeo ikabidi kuuliza wadau ila I hope tutakuwa wote in the long run