Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Developing gossip.

Bye bye Nunes wa Wolverhampton tetesi ni kwamba kile kipengele kinachomruhusu kujiunga Liverpool kwa ada chini ya £60m tayari kimeshatolewa na hakipo tena.

Hii ni taarifa mbaya kwetu kama kweli Liverpool walionyesha nia unless wawe wameshajitoa kumnunua huyu dogo kwa kuwasiliana na wakala wake.

Ina maana mpaka sasa hatuna Bellingham na hatuna Nunes.

YNWA
Milner
Henderson
Ox
Wanatosha hakuna ulazima wa ingizo jipya
 
Hivi Kwanini Trent asicheze mid

Yule. Jamaa kwenye passing ni undisputed

Yuko level moja na kina De bruyne ( passing abilities, opening spaces and chances)

kule nyuma ni kumtesa tu na kumfanya aonekane mbaya

Klopp anaweza kabisa ku switch to 3 5 2 na tukawa completely ruthless
 
Hivi Kwanini Trent asicheze mid

Yule. Jamaa kwenye passing ni undisputed

Yuko level moja na kina De bruyne ( passing abilities, opening spaces and chances)

kule nyuma ni kumtesa tu na kumfanya aonekane mbaya

Klopp anaweza kabisa ku switch to 3 5 2 na tukawa completely ruthless
Gareth Southgate aliwai kujaribu hii ishu Trent acheze kama RMF na hata kabla hajaanza kuonyesha cheche akatokea Klopp na kupinga sana lile suala na pale pale Southgate hakurejea tena hata kujaribu kumchezesha dogo MF tena....

Lakini pia Trent mpira wake wa utotoni pale Kirkby alikua anacheza MF na baadae kubadilishwa kucheza RB dynamic ambayo kwa sasa kutokana na kukosa msaada kwa Fabinho, Henderson na Salah amepwaya sana kiasi amenikatia tamaa kabisa.

NB: Klopp hapangiwi ndugu.

YNWA
 
❤️
 

Attachments

  • IMG_20230406_234402_554.jpg
    IMG_20230406_234402_554.jpg
    798 KB · Views: 14
  • IMG_20230406_234410_857.jpg
    IMG_20230406_234410_857.jpg
    720.6 KB · Views: 17
Msome Pep Guardiola hapa anasema chini yake hana upedeleo lazima kila mchezaji ajitume kuelewa mfumo. Yeye haangalii jina mbali kama mchezaji husika anaelewa anatakiwa afanye nini na wakati gani uwanjani.. Hii ni tofauti kubwa sana na Klopp wetu yeye kasha kopi na ku pasti

Pep says "Look at Nathan this season. Last season he didn't play one minute and now he is undroppable. It happens.

"Nobody has a guarantee with me. They have to earn it and sometimes we need a different shape for the way we build up or defend. Some players adapt better than the other ones.

"They take it personally but we are not against them. We just need something and try to use it."


YNWA
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
My love for Gakpo is unconditional [emoji3589]
My new babe, He's going to replace my Joel.

YNWA[emoji3531][emoji108]
😂 😂 😂 😂 😂 Matip muda wake klabuni umeisha ni ngumu kua na back up wawili na wote ni wagonjwa Gomez na Matip na huku nae Konate sio serial fit always ana injuries here n there...

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom