Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

klop ni muda sahihi wa kuondoka hata wakija wachezaji anaowahitaji yeye hii timu haiwezi kuperfom tena chini yake
timu inahitaji kocha mpya kuliko wachezaji wapya chini ya klop.

time is up for klop
Acha ujinga kaka.

Mbona hamkusema haya tulivowafunga Man U 7-0

Tukishinda mnasifia, tukipoteza mechi mnabwatuka
 
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ Alisema yeye sio too loyal lakini we all can see bila chenga he is damn loyal... Kwa kua FSG nao wanacha kupoteza in terms of UCL income hii imekaa fresh kabisa... Hivi Dokta iweje channel inayokupa ma milioni ya pesa uipuzie hivi hivi ukiwa na nafasi ya kuboresha ambayo ilikua dirisha la January 2023 na ikipita hivi hivi.. FSG wameyataka wenyewe wasilaumu Klopp wala wachezaji kwa sababu data wanazo kwamba ubora wa kikosi umeshuka mnooo hivyo uwekezaji haukwepekeki lakini wao wakaona powaa tuuu Klopp will carry us... Haha Klopp is no magician guys ana limit kama hana zana na yeye atapigika tu.

YNWA
 

Hii ya kuchoka hata siielewi mbona kisheria wachezaji huwa wanafanya mazoezi mara mbili kwa siku kila siku sasa hiyo kuchoka ikoje?
 
Ni vile tu hasemwi sana, ila VVD amekuwa hovyo sana...anakabia matako tu pumbavu zake...

Ukija pembeni kulia ndo shida zaidi Arnold hata hataeleweki anachofanya

Halafu kuna kenge mmoja anaitwa Henderson na babu yake mzee Mliner...kweli aliyeturoga kashakufa
 
Uwezo wa wachezaji ni mdogo....tuanze upya kujenga timu ya kugombea titles...hii iliyopo ni level za Leicester City..Hawachagui mechi wala hawana shida na Klopp.Ni hawana uwezo wa kutoa kinachotakiwa ili washinde mechi consistently.Kusema hawa players wanachagua au wanamkomoa Klopp ni kuwapa heshima wasiostahili.Hawana uwezo period...Na wanaposhinda inakuwa fluke manina zao...,
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…