Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Screenshot_20230305_205727_com.android.chrome_edit_726766943062536.jpg


Baba Swalehe wanasimama na wewe hawajakuangusha.

YNWA
 
Huyu mtoto ni habari nyingine
Ukiona dogo Firmino ameamua kusepa ujue kashaona huyu dogo kumtoa 1sr 11 sasa itakua kibarua kigumu huku Bobby umri ukiwa umesogea.

Cody ndio kwanza anaanza kuelewa nini Klopp anakitaka huyu baada ya pre season atakua balaa kubwa.

Angalau Manjesta wameelewa sasa nini walikosa kununua kwa kutoshuka mazima pale PSV.

YNWA
 
Pamoja na kushinda goli nyingi mpira mliocheza ni WA kawaida sana sijaona kipya kwahiyo msijisahulishe sana
 
Hawa waendee
Wasituzuge.


Ushindi wa leo ni nguvu ya Klopp
Na wachezaji sijui wamekunywa alkasusu leo
Kila mtu amekaza miguu
😂 😂 😂 😂 😂 Alkasusu imewahusu hawa jamaa na kwa vile kuna baridi kule wametoka kifua mbele...

YNWA
 
Fans wa United tutaweka wapi sura zetu kesho jirani ni fans wa Liverpool Sijui ni lale nje leo.
1666101737805.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom