Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,253
Shughuli ipo.Hahaha Mpemba ni pure Red Devil flesh n blood hivyo ni sworn enemy wa Kops army yaaani kama namuona atakavyomkibiza Trent japo kwa gemu kama hii tension hua zipo juu sana ndio maana nikakujuza kwa kua wote vikosi vipo almost complete timu itakayokua na prepared mind ndio mshindi na pia bahati nayo iwe upande wetu...
Nunez ana jambo lake na hawa jamaa anataka kujitangaza kwamba sio flop kwa kuwafunga mahasimu wetu...
Atakaekamata pale kati ndio mshindi wa hii gemu..
Rashford vs Nunez...nani atafumunia nyavu na kuleta ushindi.
YNWA
Ila mpira wa united kwa sasa ni mkali sana
Na hayachoki yaani.
Timu yetu ikicheza kawaida kama tunavyofanya utani na akina Hendo,tutachapwa.
Tukijikaza sana labda tunaweza pata draw au tukashinda.


