Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kuna mijitu imeshikilia Liverpool kama gundi
Sijui wanataka hadi wafie kwenye hii timu
Utashangaa Milner anabaki
Kompany ana around 35yrs alicheza na Milner pale Manchester City ni mdogo pia kuliko Milner akastaafu akaingia job amazing challenging ya ukocha na sasa ni kocha wa Burnley akiwa na uhakika wa kuwarudisha EPL msimu ujao lakini mjukuu wa Malkia Milner bado tunae aisee huku Klopp akikomaa dogo babu apewe mwaka mmoja tena utadhani anacheza kama Messi yaani haya ni mambo ambayo Klopp hua anakosea sana sana kung'ang'ania wachezaji wazeeeee wasio kua na msaada kwa sasa.

YNWA
 
Vita amevipiga
Tunamshukuru,
Bobby wetu jamani

Milner Hendo,Matip waige mfano wa mwenzaoView attachment 2536362
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hivi niambie ni timu ipi pale Uingereza inayoshiriki Champions League ambao wangewapa kazi Henderson, Milner, Kieta kwa sasa... Hawa ni mpaka mikataba iishe huku wakiwa wametega Klopp alegee aseme wapewe kila mmoja nyongeza ya mwaka mmoja mmoja 😁😁

YNWA
 
Hali yetu sawa tu hakuna uwekezaji pale kati kati ndio maana tupo vimbaya hivi. Wenzetu kila nafasi ina wachezaji wawili established na bado ushindi ni ndoto kwao.

YNWA
Nilikuwa sijaangalia msimamo wa ligi
Aloo,kumbe ndugu zetu Chelshit wapo matopeni namba kumi huko maporomokoni


Yaani wasipompigia magoti Tuchelewe
Wajiandae kuwa wa mwisho kabisa

Yalikuwa makosa makubwa sana Chelsea kumkabidhi timu GP.
Ona sasa OllaChuga Oc amepotea kabisa .
 
Hivi hapa kunakutoboa kweli?
Screenshot_20230304-224157.jpg
 
Not just Roberto Firmino. There are currently no talks between Liverpool and Naby Keita over new contract and he could be next one to leave on a free, together with Oxlade-Chamberlain.

Arthur Melo, also expected to leave; #LFC are not planning to trigger the buy option.
 
Nilikuwa sijaangalia msimamo wa ligi
Aloo,kumbe ndugu zetu Chelshit wapo matopeni namba kumi huko maporomokoni


Yaani wasipompigia magoti Tuchelewe
Wajiandae kuwa wa mwisho kabisa

Yalikuwa makosa makubwa sana Chelsea kumkabidhi timu GP.
Ona sasa OllaChuga Oc amepotea kabisa .
Screenshot_20230304_205443_com.android.chrome_edit_695750931085498.jpg


OllaChuga Oc hata LiveScore hayupo tena jamaa yaaani kakimbia mazima anasubiri mpaka Mei hivi ndio utamuona na maneno mengi mengi kwamba msimu ujao atatisha sanaaa😁😁😁😁

YNWA
 
Not just Roberto Firmino. There are currently no talks between Liverpool and Naby Keita over new contract and he could be next one to leave on a free, together with Oxlade-Chamberlain.

Arthur Melo, also expected to leave; #LFC are not planning to trigger the buy option.
Moja ya mambo ambayo hua yanishangaza sana ni Klopp kutoa ruhusa baadhi ya hawa wachezaji wanunuliwe kwa mfano Thiago, Melo, Ox hawa hata kabla hawajaja Liverpool rekodi zao za majeruhi zinajulikana vyema sana lakini klabu yenye kikosi kiduchu inakwenda mazima kuwanunua ni ajali kazini kwa sababu hawatoboi bila majeraha ya mara kwa mara.

Aafu unasoma mahala eti Klopp anamnyatia Kante ndio unachoka kabisa

YNWA
 
Na bado mnamtetea Klopp kuwa ni kocha bora
Imagine Klopp amechukua Trophy ambazo zipo ngazi ya Klabu zote kamaliza
Champions League,
Uefa Super Cup,
World Club Cup,
EPL,
Carabao,
FA
Community Shield Cup

Klopp kachukua hayo makombe akiwa na magalasa Milner, Henderson nk sasa je Miss Liverpool unadhani kama Klopp sio kocha bora angechukua yote hayo

YNWA
 
YuP. Liverpool hii inatupa matumaini ya kuifunga. Hata sisi si unaona tumeweza kuwafunga hii season?
Mpira bhana itategemea kikosi atakachagua mwalimu, utayari wa wachezaji kupambana na wachezaji kufuata maelekezo ya mwalimu na mashabiki pale Anfield wawape amsha amsha wachezaji ya kutosha..

Manchester United wanafungika lakini je kwa timu yetu ndugu sisi ni wa dhaifu kwa mipira ya counter yaaani ukitazama timu mechi nyingi tulizofungwa msimu huu ni kwa sababu hatuwezi kuzuia counter attack wakati sahihi... Uchezaji wa Liverpool hua ni kufanya recovery ya second ball immediately pale tumeponywa mpira lakini sasa hili linashidikana especially pale kati panapitika wepesi mno...
Kwa kua wachezaji wetu wanajua hii ni derby na uhasimu wa kudumu milele naamini watapambana kadri wawezavyo..

YNWA
 
Mpira bhana itategemea kikosi atakachagua mwalimu, utayari wa wachezaji kupambana na wachezaji kufuata maelekezo ya mwalimu na mashabiki pale Anfield wawape amsha amsha wachezaji ya kutosha..

Manchester United wanafungika lakini je kwa timu yetu ndugu sisi ni wa dhaifu kwa mipira ya counter yaaani ukitazama timu mechi nyingi tulizofungwa msimu huu ni kwa sababu hatuwezi kuzuia counter attack wakati sahihi... Uchezaji wa Liverpool hua ni kufanya recovery ya second ball immediately pale tumeponywa mpira lakini sasa hili linashidikana especially pale kati panapitika wepesi mno...
Kwa kua wachezaji wetu wanajua hii ni derby na uhasimu wa kudumu milele naamini watapambana kadri wawezavyo..

YNWA
Yule mpemba Yuko kwenye momentum Kali na anapenda sana timu zisizoweza kuzuia counter. Huenda yeye anawaona nyie kama fursa nzuri tu ya kujiongezea magoli na kupamba records zake. Hawaoni kama tishio
 
Yule mpemba Yuko kwenye momentum Kali na anapenda sana timu zisizoweza kuzuia counter. Huenda yeye anawaona nyie kama fursa nzuri tu ya kujiongezea magoli na kupamba records zake. Hawaoni kama tishio
Hahaha Mpemba ni pure Red Devil flesh n blood hivyo ni sworn enemy wa Kops army yaaani kama namuona atakavyomkibiza Trent japo kwa gemu kama hii tension hua zipo juu sana ndio maana nikakujuza kwa kua wote vikosi vipo almost complete timu itakayokua na prepared mind ndio mshindi na pia bahati nayo iwe upande wetu...

Nunez ana jambo lake na hawa jamaa anataka kujitangaza kwamba sio flop kwa kuwafunga mahasimu wetu...

Atakaekamata pale kati ndio mshindi wa hii gemu..

Rashford vs Nunez...nani atafumunia nyavu na kuleta ushindi.

YNWA
 
Yule mpemba Yuko kwenye momentum Kali na anapenda sana timu zisizoweza kuzuia counter. Huenda yeye anawaona nyie kama fursa nzuri tu ya kujiongezea magoli na kupamba records zake. Hawaoni kama tishio
Watakapokuja watalipa kisasi goli 9 tulizowachapa msimu uliopita,na yeye akiwemo ndani ya kikosi akishuhudia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom