Tunahitaji £300m, minmum.
Hizi links za Mason Mount, ndiyo zinanipa shaka sana, tunaweza kuwa na bad window, kama Mount akija.
Maana, Mount akija, it means Fabinho & Henderson watakuwa forced kubaki, pamoja na Bajcetic & Thiago, i mean siyo mbaya kama Fabinho akibaki, but sina uhakika kama anaweza kurudi kwenye form yake, ni bora tu-captalize sahiv kwa kina Caicedo, Kone, Ugarte etc, kuliko kuendelea na Fabinho next season, maana kama tuki-sign Jude, Nunes & Mount, tutakuwa hatuja-solve chochote kwenye eneo la DM, ambalo ndiyo BASE ya kiungo, Bajcetic is 18, we cant plan our next season with him at DM, NOT YET, na hatuwezi ku-plan our next season na the current Fabinho at DM, ingeeleweka kama angekuwa kwenye 26-27, but he will be 30 nex season, na yupo katika mbaya sana physically, kila nikimuangalia, sioni hata chembe chembe za Fabinho tunayemjua, na kinachomuangamiza zaidi, ni kupoteza pia confidence, i know he will be decent again akiwa surrounded na World Class players kwenye MF, but knowing FSG itakuwa ngumu sana kuleta new 6 kama Fabinho akibaki, and we cant risk kuacha kina Kone waende clubs zingine.
But, Jude-Mount & Nunes, wont solve anything, Thiago & Fabinho will still start a lot of games
Plan was to sign Jude for the RCM spot, ambapo Elliot & Henderson watakuwa rotational players kwenye hilo eneo, then sign Nunes at LCM, huyu ni long-term Thiago replacement, so kama akija next season atakuwa ana rotate na Thiago at LCM, then sign a mobile 6 (Caicedo & we have been in talks with Kone camp for quite sometime now, ndiyo maana nashangaa hizi new plans za Mount), Mount ni RCM, it means anacheza kwenye eneo la Jude, unless kama Klopp atataka kubadilisha game ya Mount, but sioni Mount akija LFC kuwa bench player, its either tu-abandon deal ya Nunes ili Mount awe moulded at LCM, maana Mount, Jude & Nunes, hai-make sense, especially ukizingatia wachezaji wanaobaki next season.
Assume, tume-wasign (ASSUME), Jude, Mount, Nunes, our MF options next summer zitakuwa ni;
Thiago
Fabinho
Bajcetic
Jude
Mount
Nunes
Curtis Jones
Harvey Elliott
Jordan Henderson
Hii MF, bado ina-lack a compact/Ball. winner/press-resistant/destroyer/Mobile & FIRST PASSER from our DM zone, meaning we need a DM, Fabinho can still do a job at DM especially kwenye suala la Ku-win balls & as a first & last destroyer, but his lack of physical presence will cost him katika ku-engage/being compact kwenye our first & second lines of press & different phases, read/counter transitions za opponents, getting out from FIRST PRUSSURE situations, second half against Madrid we lost everything kwenye MF, baada ya Carlo kuamua ku-double up players on Fabinho, put Valverde on his tail, minimizing his turns, ball receiving channels, and put first pressure on every ball anazopokea Fabinho, and it was easy because Fabinho is not mobile, ingekuwa easy kidogo kama Thiago angekuwepo ambaye huwa ana-engage sana in the middle because ya his positional awarness, but AGAIN, Fabinho had Henderson at RCM, so i think Fabinho will do good akiwa na young & hungry MFs around him, but we cant take risks, na kikubwa zaidi tu-captalize kwenye hii market now, kuna a lot of number 6s wapo sokoni, at a very good price, and good age.