Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Yeye mwenyewe yuko happy na kutowezeshwa
na anajiona Baba miujiza, na amewakumbatia magarasa
Aiseee huo ubora sijui mnauonaje kwake

One of the best coach kwenye hii era ni Klopp.
And i trust him next season mambo yatakua hot sana.
Akisajili quality l DM RCM and LCM.

Nafikiri maji yamemfika shingoni na amedhamiria kufanya mabadiliko.

Na anataka business kufanywa haraka aingie kushindana na bei sokoni.

I trust Klopp kuturudisha kwenye ramani ya mpira, regardless of his blunders as i did to Nunez.

YNWA
 
4231 is ideal pia

Trent-VVD - Konate/Gomez-Kostas
Bajcetic/Fabinho-Thiago
Salah - Jota/Firmino/Fabio - Nunez
Gakpo

But, MF itakuwa so light-weight, Fabinho being out of shape/form, kunatuumiza sana.

Tactically, 433 ya klopp, shape yake kwenye MF, ni 2-1, a 3 man MF ambayo two MFs wana-sit in a Pivot, games zote ambazo Bajcetic kaanza this season, ni alikuwa ana-sit na Thiago, Thiago alivyoumia, Bajcetic amekuwa ana-sit na Fabinho, extra-man ni Hendo, wakati wa ile MF ya Thiago-Baj-Keita, extra-man alikuwa ni keita, last season ilikuwa the same, Fab na Thiago wana-sit in a 2, Hendo/Keita wana-play as extra-Man.

kwenye 4231, hatuna extra-man.

Lets wait and see. Game of the season will be lfc vs united.
Better thing we are at Anfield. I don how klopp is preparing his team ahead this match.
 
Tunahitaji £300m, minmum.

Hizi links za Mason Mount, ndiyo zinanipa shaka sana, tunaweza kuwa na bad window, kama Mount akija.

Maana, Mount akija, it means Fabinho & Henderson watakuwa forced kubaki, pamoja na Bajcetic & Thiago, i mean siyo mbaya kama Fabinho akibaki, but sina uhakika kama anaweza kurudi kwenye form yake, ni bora tu-captalize sahiv kwa kina Caicedo, Kone, Ugarte etc, kuliko kuendelea na Fabinho next season, maana kama tuki-sign Jude, Nunes & Mount, tutakuwa hatuja-solve chochote kwenye eneo la DM, ambalo ndiyo BASE ya kiungo, Bajcetic is 18, we cant plan our next season with him at DM, NOT YET, na hatuwezi ku-plan our next season na the current Fabinho at DM, ingeeleweka kama angekuwa kwenye 26-27, but he will be 30 nex season, na yupo katika mbaya sana physically, kila nikimuangalia, sioni hata chembe chembe za Fabinho tunayemjua, na kinachomuangamiza zaidi, ni kupoteza pia confidence, i know he will be decent again akiwa surrounded na World Class players kwenye MF, but knowing FSG itakuwa ngumu sana kuleta new 6 kama Fabinho akibaki, and we cant risk kuacha kina Kone waende clubs zingine.

But, Jude-Mount & Nunes, wont solve anything, Thiago & Fabinho will still start a lot of games

Plan was to sign Jude for the RCM spot, ambapo Elliot & Henderson watakuwa rotational players kwenye hilo eneo, then sign Nunes at LCM, huyu ni long-term Thiago replacement, so kama akija next season atakuwa ana rotate na Thiago at LCM, then sign a mobile 6 (Caicedo & we have been in talks with Kone camp for quite sometime now, ndiyo maana nashangaa hizi new plans za Mount), Mount ni RCM, it means anacheza kwenye eneo la Jude, unless kama Klopp atataka kubadilisha game ya Mount, but sioni Mount akija LFC kuwa bench player, its either tu-abandon deal ya Nunes ili Mount awe moulded at LCM, maana Mount, Jude & Nunes, hai-make sense, especially ukizingatia wachezaji wanaobaki next season.

Assume, tume-wasign (ASSUME), Jude, Mount, Nunes, our MF options next summer zitakuwa ni;

Thiago
Fabinho
Bajcetic
Jude
Mount
Nunes
Curtis Jones
Harvey Elliott
Jordan Henderson

Hii MF, bado ina-lack a compact/Ball. winner/press-resistant/destroyer/Mobile & FIRST PASSER from our DM zone, meaning we need a DM, Fabinho can still do a job at DM especially kwenye suala la Ku-win balls & as a first & last destroyer, but his lack of physical presence will cost him katika ku-engage/being compact kwenye our first & second lines of press & different phases, read/counter transitions za opponents, getting out from FIRST PRUSSURE situations, second half against Madrid we lost everything kwenye MF, baada ya Carlo kuamua ku-double up players on Fabinho, put Valverde on his tail, minimizing his turns, ball receiving channels, and put first pressure on every ball anazopokea Fabinho, and it was easy because Fabinho is not mobile, ingekuwa easy kidogo kama Thiago angekuwepo ambaye huwa ana-engage sana in the middle because ya his positional awarness, but AGAIN, Fabinho had Henderson at RCM, so i think Fabinho will do good akiwa na young & hungry MFs around him, but we cant take risks, na kikubwa zaidi tu-captalize kwenye hii market now, kuna a lot of number 6s wapo sokoni, at a very good price, and good age.

Huyu Kone ni yupi?
 
Luckiest player in the world.

4b04d0d8-ec69-4caa-8921-47c81f945713.jpg

Hapo captain alishindwa kupiga pass mbele akageuka nao na kuurudisha mpira nyuma.

Lazima Klopp afanye maamuzi magumu sana coming summer.

Jones
Keita
Ox
Matip
Milner
Hendo
Fabinho
Gomez
Adrian
 
4231 is ideal pia

Trent-VVD - Konate/Gomez-Kostas
Bajcetic/Fabinho-Thiago
Salah - Jota/Firmino/Fabio - Nunez
Gakpo

But, MF itakuwa so light-weight, Fabinho being out of shape/form, kunatuumiza sana.

Tactically, 433 ya klopp, shape yake kwenye MF, ni 2-1, a 3 man MF ambayo two MFs wana-sit in a Pivot, games zote ambazo Bajcetic kaanza this season, ni alikuwa ana-sit na Thiago, Thiago alivyoumia, Bajcetic amekuwa ana-sit na Fabinho, extra-man ni Hendo, wakati wa ile MF ya Thiago-Baj-Keita, extra-man alikuwa ni keita, last season ilikuwa the same, Fab na Thiago wana-sit in a 2, Hendo/Keita wana-play as extra-Man.

kwenye 4231, hatuna extra-man.
Do you think we stand a chance in winning the North West Derby if the Gaffer deploys 4-2-3-1??
 
Kante, even for free itakuwa ni very BAD deal.

Think, Mount will be good under Klopp, but signing yake hai-make sense kama tutawa-sign Jude & Nunes, unless budget ya DM iende kwa Mount then tuuze Fabinho & Curtis Jones ili kupata fee ya DM.

Barella, is a dream, but at 26 na kwa. price yake (£62m), will FSG sunction it? na nimeona, reporter aliyetoa hizo habari ni VERY reliable, i'd get Barella instead of Nunes, then sign a DM, Jude, Barella & a DM, will be a very good window.

I'm so worried na hizi links za Mount/Barella, inaonesha kuna outside chance, Klopp is planning next season with Fabinho and Bajcetic as DMs.
Barela ..very good
Vipi kuhusu Mo Kudus?
 
One of the best coach kwenye hii era ni Klopp.
And i trust him next season mambo yatakua hot sana.
Akisajili quality l DM RCM and LCM.

Nafikiri maji yamemfika shingoni na amedhamiria kufanya mabadiliko.

Na anataka business kufanywa haraka aingie kushindana na bei sokoni.

I trust Klopp kuturudisha kwenye ramani ya mpira, regardless of his blunders as i did to Nunez.

YNWA
Subiri next season kikosi kitakapokuwa na walewale wa kina Milner na Hendo na Gomez.
Tutaelewana tu.
 
Hizo teams zote zikishafikisha 40 points, zita-relax/slow down, maana zitakuwq safe kabisa from relegation zone, midtable clubs zote huwa zinaanza season kwa target ya kufikisha 40 points.

Sasa kwa Brighton & Fulham even Brentford, wakifika 40, wataanza ku-tazama Europa/conference league places, but they will slow down a bit.

We are going against Spurs & Newcastle, for the top four spot, so it shouldnt be that diffucult, we still have a strong strong shot at top 4, if we beat Wolves j5, tutakuwa 6 points behind Spurs.

16 games to go.

Diaz & Konate will be back soon.

Nunez, kashaipata form yake ya kabla. ya WC.

Problem ni MF, but solution ni kubadilisha formation now.
The only problem is Liverpool is a confused vehicle you'll never know which corner we are settling for this season. Been win win draw draw draw lose lose lose nk hivyo lets take one game a time...
Hio formation becomes more difficult if we can't win the second balls and make the field compact on ua side.. Leaving so many gaps with the form of our back line will be suicidal bro..
Whether we are playing the best or the last in Epl we are shaky sana kiasi even against Newcastle wakiwa pungufu our best player was Allison and that tells something man.

Diaz a big plus ni msumbufu sana atapoza sana presha ya kushambuliwa sana aisee

YNWA
 
Salah wages were deserved.

Klopp is the only manager who can take this team back to its glory days.

He's part to blame kwa haya yote yanayotokea now, but you cant sack or want him to leave because ya off-season moja. kati ya misimu si chini ya MITANO.

He build this team, and sina doubt yeyote kuwa he will re-BUILD this team, i TRUST him.

Klopp can be naive and stupid, but tusisahau kuwa ametupa mafanikio makubwa sana chini ya owners ambao sahiv jasho linawatoka kutafuta wawekezaji kwaajili ya usajili wa msimu ujao.

Klopp, is a world class coach, hana immune ya kukosolewa wala kuwa called out akifanya blunders. BUT trust him, he will turn this around.

View attachment 2532144
Klop alichomzidi Benitez ni hype na hiyo Epl 1 after 8 yrs, lakini Ben alishinda UEFA na hivo vi micky mouse cup akiwa na hali mbaya ×2 ya klopp

Klopp is overrated
 
Do you think we stand a chance in winning the North West Derby if the Gaffer deploys 4-2-3-1??

In an ideal world, tungehitaji a compact 4231 ili kukabiliana/kwenda toe to toe na ETH's 4231, but again, the MF itatu-let down, United wana 2 powerful MFs now (Casemiro & Sabtizer), na Fred, then wana a top b2b player Bruno Fernandes, ETH ana room ya kum-partner Casemiro na either Sabtizer or Fred in a 2, hawa wote ni aggressive pressers.

To match, uwiano wao wa pressing, you need to set pressing traps, you set these pressing traps kwa kuwapa time kubwa ya kukaa na mpira, meaning unafanya mbinu yeyote ya kukwepa jukumu la kumiliki mpira in the middle, kuwapa nafasi Casemiro+Fred/Sabtizer kuwa na mpira, inakuwa rahisi zaidi kutengeneza room/void au channels za ku-press maana hawa wote siyo ball-playing MFs, so of-course ukiwaachia wakae na mpira unakuwa unawa-force kufanya on-ball mistakes, ambapo in the end inakupa urahisi wa ku-press, fullbacks ku-overlap & kutengeneza chances nyingi upfront, through counters..

BUT, tuna legs kwenye MFs? maana ku-force possessional mistakes, unatakiwa kuwa aggressive sana off the ball, achana na 1st phase, you need to be aggressive kwenye 2nd phase, na hatuna legs kwasasa, itakuwa ni rahisi sana kwa kina Casemiro ku-evade pressing traps kwa ku-stretch the pitch, you put Henderdon on a pivot tunakufa, you put Fabinho in a pivot, tunakufa.

We just need to overload their MF area, play 442, put Fab-Bajcetic/Keita, Jota at the tip of the diamond, his job itakuwa ni ku-press from deep, dont allow Casemiro room ya ku-stretch the pitch, dont allow Bruno/Shaw to create build-up phases, ukiua bulid-phases za Utd, unakuwa una-limit uwiano wa mipira kufika kwa Rashford and their whole attack.

but tuki-deploy 433, itakuwa game nyepesi kwa Utd, they will blow us away, 4231 cant help us as hatutakuwa na uwezo wa ku-sustain pressing traps/pressure.

442 can help us, kwasababu Jota, Firmino & Gakpo wote wako fit, unaweza kuwaweka hawa at the tip of the diamond (especially Jota or Firmino), na wakafanya kazi kwa ufasaha sana, even Elliot at RM in a 442 ni very good shout.
 
Klop alichomzidi Benitez ni hype na hiyo Epl 1 after 8 yrs, lakini Ben alishinda UEFA na hivo vi micky mouse cup akiwa na hali mbaya ×2 ya klopp

Klopp is overrated

RB, hajawahi kuwa better coach than Klopp, na haitakuja kutokea.

Coach ambaye ameshinda kila kombe alilo-compete for the last 5 years under sell to buy policy, hawezi kuwa Overrated.

Benitez alikuwa na hali mbaya ipi? alianza kugombana na kina Gillet, soon walivyo-introduce approach mpya ya kwenye transfer market (sell to buy)

Time ambayo Benitez alikuwa na ugumu zaidi ya Klopp, ni kushinda CL na depleted squad, but through out his tenure he had PRIME Gerrard, Torres, Alonso, Mascherano, Luis Garcia, Riise, Reina, Kuyt, Aurelio, Crouch, Benayoun, Baros, Cisse, Finnan,etc, these are WC talents, as soon as Gillet & Hicks walivyoanza kuuza our star players, ndiyo ukaanza ugomvi baina yao na Benitez (and i was on Benitez side),

How many talented stars, FSG wameuza kwenye tenure ya Klopp? mbona Klopp halalamiki?

Wakati mgumu aliopitia Benitez at LFC ni msimu wake wa mwisho baada ya kina Alonso kuuzwa, na. ndiyo hiki kipindi alianza kugombana na kina Gillet waziwazi, mpaka wakamfukuza, and majority ya LFC fans walikuwa upande wa kina Gillet, sisi tuliokuwa upande. wa Benitez, ndiyo now tunashangaa fans wanaotaka Klopp aondoke now bacause ya hii sleep-up, kitu gani kilitokea baada ya Benitez kuondoka? ilituchukua miaka mingapi mpaka kupata the right man? kwanini mnasahau kirahisi sana?

And, yes Benitez failed to win the league with PRIME Gerrard, SG prime years ilikuwa under Benitez, na alimpa Benitez FA Cup, CL and UEFA Super Cup kwa kipindi cha miaka mitano, Klopp hakupata pleasure ya kuwa na SG, his captain is Jordan fucking Henderson, Yeah Klopp won the 1 PL, ni absurd and laughable, but what about Benitez? failing to win the league with Reina, Hypia, Agger, Carragher, Mascherano, Alonso, SG, kuyt, Torres, Benayoun, Luis Garcia, Riise, Riera etc, should be LAUGHABLE too, but ukiwa real fan huwezi kucheka kwa vitu kama hivi, because its FOOTBALL, RAFAEL BENITEZ, is my LEGEND, but nae alikuwa na flaws zake, kama ilivyo kwa klopp, ni kawaida, these are human-beings.

Again, mimi ni mkosoaji mkubwa sana wa Klopp, SANA, sidhani kama kuna mtu humu anazidi posts zangu nilizokuwa namkosoa na ninazoendelea kumkosoa Klopp, but i will NEVER want him OUT, and na zaidi siwezi kumuita manager aliyenipa PL title baada ya miaka 30 ya kusubiri, Overrated. its disrespectul.
 
In an ideal world, tungehitaji a compact 4231 ili kukabiliana/kwenda toe to toe na ETH's 4231, but again, the MF itatu-let down, United wana 2 powerful MFs now (Casemiro & Sabtizer), na Fred, then wana a top b2b player Bruno Fernandes, ETH ana room ya kum-partner Casemiro na either Sabtizer or Fred in a 2, hawa wote ni aggressive pressers.

To match, uwiano wao wa pressing, you need to set pressing traps, you set these pressing traps kwa kuwapa time kubwa ya kukaa na mpira, meaning unafanya mbinu yeyote ya kukwepa jukumu la kumiliki mpira in the middle, kuwapa nafasi Casemiro+Fred/Sabtizer kuwa na mpira, inakuwa rahisi zaidi kutengeneza room/void au channels za ku-press maana hawa wote siyo ball-playing MFs, so of-course ukiwaachia wakae na mpira unakuwa unawa-force kufanya on-ball mistakes, ambapo in the end inakupa urahisi wa ku-press, fullbacks ku-overlap & kutengeneza chances nyingi upfront, through counters..

BUT, tuna legs kwenye MFs? maana ku-force possessional mistakes, unatakiwa kuwa aggressive sana off the ball, achana na 1st phase, you need to be aggressive kwenye 2nd phase, na hatuna legs kwasasa, itakuwa ni rahisi sana kwa kina Casemiro ku-evade pressing traps kwa ku-stretch the pitch, you put Henderdon on a pivot tunakufa, you put Fabinho in a pivot, tunakufa.

We just need to overload their MF area, play 442, put Fab-Bajcetic/Keita, Jota at the tip of the diamond, his job itakuwa ni ku-press from deep, dont allow Casemiro room ya ku-stretch the pitch, dont allow Bruno/Shaw to create build-up phases, ukiua bulid-phases za Utd, unakuwa una-limit uwiano wa mipira kufika kwa Rashford and their whole attack.

but tuki-deploy 433, itakuwa game nyepesi kwa Utd, they will blow us away, 4231 cant help us as hatutakuwa na uwezo wa ku-sustain pressing traps/pressure.

442 can help us, kwasababu Jota, Firmino & Gakpo wote wako fit, unaweza kuwaweka hawa at the tip of the diamond (especially Jota or Firmino), na wakafanya kazi kwa ufasaha sana, even Elliot at RM in a 442 ni very good shout.
Hapo kwa Kieta hapana seems the boy no longer plays for the team rather than his payday man... Why nit play Jota there i remember kuna game he played akiwa almost MF na he didn't disappoint...

I agree we need to ditch 4 3 3 vs Manchester United ili kuwaweka brakes thier counter attacks whereas we push to create.. The only issue hapo ni how do we bypass Casmiro ohh man he rarely do put any wrong foot anywhere kwa sababu muda mwingi yupo kama jini aisee... He has made those around him to raise thier game kiasi now pale kati is no walk in th park kama zamani...

As usual any team nowadays wonna exploit upande wa kulia sababu upande ule wapo Salah Hendo na Trent na too bad Hendo and Salah rarely wanamsaidia dogo Trent n tired Fabinho no longer has the legs to cover Trent asiwe exposed.. Kwa gemu ya Manchester United i would like to see Bajectic playing upande wa Trent ili ku minimise the through balls kwa Rashford to break...
Kingine we all know Salah is chasing records za past legends hivyo there are times unaona kabisa hapa ni pa kutoa pasi kwa fulani afunge lakini yeye anakomaa tu hili swala bado lunatuumiza sana kwa sababu hizi chances haziji wakati wote kwetu hivyo any chance lost is big disappointment..

Sijui Klopp atatumia mbinu ipi kuwazuia Manchester United maana we have been there kuona how winning a trophy accelerate winning mentality kwa wachezaji kua na collective mind set ya winning and only winning... Klopp is a very busy man this whole week.. I wish him all the best aanze kesho kutuonyesha nini tutarajie wekedi.

Come on boys we aint gonna be ETH punching bag...

YNWA
 
Hapo kwa Kieta hapana seems the boy no longer plays for the team rather than his payday man... Why nit play Jota there i remember kuna game he played akiwa almost MF na he didn't disappoint...

I agree we need to ditch 4 3 3 vs Manchester United ili kuwaweka brakes thier counter attacks whereas we push to create.. The only issue hapo ni how do we bypass Casmiro ohh man he rarely do put any wrong foot anywhere kwa sababu muda mwingi yupo kama jini aisee... He has made those around him to raise thier game kiasi now pale kati is no walk in th park kama zamani...

As usual any team nowadays wonna exploit upande wa kulia sababu upande ule wapo Salah Hendo na Trent na too bad Hendo and Salah rarely wanamsaidia dogo Trent n tired Fabinho no longer has the legs to cover Trent asiwe exposed.. Kwa gemu ya Manchester United i would like to see Bajectic playing upande wa Trent ili ku minimise the through balls kwa Rashford to break...
Kingine we all know Salah is chasing records za past legends hivyo there are times unaona kabisa hapa ni pa kutoa pasi kwa fulani afunge lakini yeye anakomaa tu hili swala bado lunatuumiza sana kwa sababu hizi chances haziji wakati wote kwetu hivyo any chance lost is big disappointment..

Sijui Klopp atatumia mbinu ipi kuwazuia Manchester United maana we have been there kuona how winning a trophy accelerate winning mentality kwa wachezaji kua na collective mind set ya winning and only winning... Klopp is a very busy man this whole week.. I wish him all the best aanze kesho kutuonyesha nini tutarajie wekedi.

Come on boys we aint gonna be ETH punching bag...

YNWA
Kikosi kina Hendo
Kuna Cha kutarajia hapo?😂
Subiri uone man u wanavyotupiga nje ndani.
 
Kikosi kina Hendo
Kuna Cha kutarajia hapo?😂
Subiri uone man u wanavyotupiga nje ndani.
Kwa hio miss Liverpool unasema Anfield Le Captain gemu ya Manchester United atulie kwa benchi...

Kwa sasa mwenzio nipo tayari kwa matokeo yoyote kwa hali tulionayo sina cha presha wala nini...

Mara Pap Klopp akaibuka na kikosi cha a kazi kazi
Allison
Trent Konate VVD Robertson
Bajectic Fabinho
Salah Gapko Jota
Nunez

YNWA
 
Kwa hio miss Liverpool unasema Anfield Le Captain gemu ya Manchester United atulie kwa benchi...

Kwa sasa mwenzio nipo tayari kwa matokeo yoyote kwa hali tulionayo sina cha presha wala nini...

Mara Pap Klopp akaibuka na kikosi cha a kazi kazi
Allison
Trent Konate VVD Robertson
Bajectic Fabinho
Salah Gapko Jota
Nunez

YNWA
Hakuna timu Liverpool ya kuifunga man UTD Kwa sasa.
 
Hapo kwa Kieta hapana seems the boy no longer plays for the team rather than his payday man... Why nit play Jota there i remember kuna game he played akiwa almost MF na he didn't disappoint...

I agree we need to ditch 4 3 3 vs Manchester United ili kuwaweka brakes thier counter attacks whereas we push to create.. The only issue hapo ni how do we bypass Casmiro ohh man he rarely do put any wrong foot anywhere kwa sababu muda mwingi yupo kama jini aisee... He has made those around him to raise thier game kiasi now pale kati is no walk in th park kama zamani...

As usual any team nowadays wonna exploit upande wa kulia sababu upande ule wapo Salah Hendo na Trent na too bad Hendo and Salah rarely wanamsaidia dogo Trent n tired Fabinho no longer has the legs to cover Trent asiwe exposed.. Kwa gemu ya Manchester United i would like to see Bajectic playing upande wa Trent ili ku minimise the through balls kwa Rashford to break...
Kingine we all know Salah is chasing records za past legends hivyo there are times unaona kabisa hapa ni pa kutoa pasi kwa fulani afunge lakini yeye anakomaa tu hili swala bado lunatuumiza sana kwa sababu hizi chances haziji wakati wote kwetu hivyo any chance lost is big disappointment..

Sijui Klopp atatumia mbinu ipi kuwazuia Manchester United maana we have been there kuona how winning a trophy accelerate winning mentality kwa wachezaji kua na collective mind set ya winning and only winning... Klopp is a very busy man this whole week.. I wish him all the best aanze kesho kutuonyesha nini tutarajie wekedi.

Come on boys we aint gonna be ETH punching bag...

YNWA
Mkuu, Keita amekuwa ni dissapointment, but we all know, and najua unaelewa kuwa Keita ana thrive akiwa ahead of the ball, hii imekuwa case ya Keita tangu amekuja LFC, Klopp played him at LCM against Crystal Palace, he always struggles there, ALWAYS.

Na, Klopp anampeleka Keita at LCM, because Henderson hawezi. kucheza eneo lolote lile zaidi ya RCM and 6, ile game ya Crystal palace, kama Klopp. angeanza na Bajcetic at LCM and Keita at RCM, tungekuwa fine, mbona kabla Thiago hajaumia, ile MF ya Keita-Baj-Thiago, mbona Keita alikuwa na decent performances?

This is our African brother mkuu, anapitia mambo magumu sana UK, jana umeona Athletic wametoa article kum-target jamaa, Henderson anapata free-pass again.

I know tumemchoka Keita, but he's our African brother, career yake imeharibiwa na injuries na Klopp's man management on him, wote tunajua how talented Keita alivyokuwa, its just unfortunate.

He's our African brother.

Against United, play 442, put Jota on Casemiro, we did this kwa a more composed & ball playing DM (Rodri) na tulifanikiwa.

We will lose kama tukicheza 433.
 
The only problem is Liverpool is a confused vehicle you'll never know which corner we are settling for this season. Been win win draw draw draw lose lose lose nk hivyo lets take one game a time...
Hio formation becomes more difficult if we can't win the second balls and make the field compact on ua side.. Leaving so many gaps with the form of our back line will be suicidal bro..
Whether we are playing the best or the last in Epl we are shaky sana kiasi even against Newcastle wakiwa pungufu our best player was Allison and that tells something man.

Diaz a big plus ni msumbufu sana atapoza sana presha ya kushambuliwa sana aisee

YNWA

Tunakuwa hatuna consistency kwasababu Klopp anaogopa kui-ditch 433 now.

Kama akipata guts za kuachana nayo, we have big shot at top 4.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom