Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kweli maisha yanabadilika.

Mwaka jana Man u na wenzao wote walikuwa wanatuangalia tunavyofuana carabao na Chelsea
Ila sasa hivi tumekuwa wapenzi watazamaji.
Kutesa kwa zamu... Hao Manchester United wamekua watazamaji kwa kuda mrefu sana tangu ang'atuke Fergie pale hawajawai kua na raha kabisa ni mateso mpaka anatua Kipara ETH ndio angalau sasa utulivu unaonekana japo hata Jose Mourinho alishinda kombe na kumaliza nafasi ya pili kama sikosei na wakaja poteana..

Ni wakati wao wafurahi wamenuna sanaaa,wamepondwa sana, wamechekwa sana, wamevurugana sana, wamekata tamaa sana nk na sasa wanacheka.. Ni muda wao sasa

Numbisa hongera sana kwa kunipokonya kombe la ligi aka Carabao..

YNWA
 
Kutesa kwa zamu... Hao Manchester United wamekua watazamaji kwa kuda mrefu sana tangu ang'atuke Fergie pale hawajawai kua na raha kabisa ni mateso mpaka anatua Kipara ETH ndio angalau sasa utulivu unaonekana japo hata Jose Mourinho alishinda kombe na kumaliza nafasi ya pili kama sikosei na wakaja poteana..

Ni wakati wao wafurahi wamenuna sanaaa,wamepondwa sana, wamechekwa sana, wamevurugana sana, wamekata tamaa sana nk na sasa wanacheka.. Ni muda wao sasa

Numbisa hongera sana kwa kunipokonya kombe la ligi aka Carabao..

YNWA
Wameupiga mwingi sana Kwa kweli
Na bahati ikawa upande wao
 
Shukrani sana Captain Marvelous. Kesho jezi miji itajaa jezi za Red devils😂😂😂
Kutesa kwa zamu... Hao Manchester United wamekua watazamaji kwa kuda mrefu sana tangu ang'atuke Fergie pale hawajawai kua na raha kabisa ni mateso mpaka anatua Kipara ETH ndio angalau sasa utulivu unaonekana japo hata Jose Mourinho alishinda kombe na kumaliza nafasi ya pili kama sikosei na wakaja poteana..

Ni wakati wao wafurahi wamenuna sanaaa,wamepondwa sana, wamechekwa sana, wamevurugana sana, wamekata tamaa sana nk na sasa wanacheka.. Ni muda wao sasa

Numbisa hongera sana kwa kunipokonya kombe la ligi aka Carabao..

YNWA
Awesome🥰🥰🥰
Wameupiga mwingi sana Kwa kweli
Na bahati ikawa upande wao
 
Liverkuku najua mshalala, saa 12 tu bandani hata picha za kombe hamjaziona.

Picha za matukio. 😂

20230226_223608.jpg
 
Na hapo ni CARABAO unazunguka threads zote kujivuna. Ungekuwa umewin CHAMPIONS LEAGUE au EPL si ungeenda kaa uchi Posta?
Kuna watu wanakuja kutukera sana kwenye uzi wetu nimeleta habari tu hapa.

Mimi kombe lingine ni kumfunga Liverkuku, next weekend tusisumbuane. Points 3 chapchap tuendelee na mbio za ubingwa sisi.
 
Shukrani sana Captain Marvelous. Kesho jezi miji itajaa jezi za Red devils😂😂😂

Awesome🥰🥰🥰
Definitely London is Red as in Manchester United Red....

Huyu Kipara sio mtu wa kawaida mipango yake hakika inatisha kila mchezaji anaelewa nini afanye na wakati gani..

Nilijiuza sana hivi huyu Camsiro kutoa £60m+ mbona kama hakua na hi value lakini kumbe dogo anastahili kabisa hio price tag kwa sababu kabadili kabisa uchovu wa pale kati..

No Ronaldo, No Maguire no problem.

YNWA
 
Klopp ameanza “liwalo na liwe”.. Kina Carragher wapo kimya kumfumbia macho Henderson na mwenzie Milner ila kwa kumjibu vvd wapo fasta.

Hao FSG hata hawaelewi mambo yatakavyokuwa. Acha wagonge hasara kwanza msimu huu akili iwakae.
 
NEW: Mohamed Salah is described as being one of the 'main candidates' that would consider leaving Liverpool in the summer should they fail to secure Champions League football. #lfc [fichajes via liverpool echo]

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom