Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hii Timu kuna Watu wanakatwa pale

Klopp nina uhakika asilimia 100% hana akili 🚮🚮

Ukiangalia kwa makini unaona wazi kuwa ameshashindwa hajui afanye nini kabaki anakunywa pombe tu.
Klopp kawapa wachezaji nguvu kubwa sana kwamba VVD, Salah, Henderson, Robertson, Trent, Milner wakiwa ni wazima lazima wapangwe bila kukosa...

Wachezaji wanajiona ma supa players kwa vile washamuweka Klopp mtu kati...

Ni aibu kubwa kwamba aliwekeza nguvu zake zote ama karata yake ya mwisho msimu huu kupata kombe la UCL na kupata nafasi kucheza UCL msimu ujao sasa hiki kipigo hana chake tena msimu huu maana come back pale Los Blonco tupige 3 itakua ngumu.

YNWA
 
Screenshot_20230222_234914.jpg

Aiseee...

YNWA
 
Carra alimponda Gomez ndipo VVD akamjia juu na kusema carra asingeweza kupata namba kwenye kikosi hiki, ndipo jana Carra akakomenti kwamba kwa kiwango cha VVD hata namba ya vvd yeye anaweza kuichukua

Kawaida yao,Gomez jana mambo yalikuwa magumu sana kwake,vvd tangia aumie sio yule tena tuliyemzoea,trent tia maji kuzui hamna kitu hasa kama konate hayupo anajisahau sana,kiufupi kuanzia kiungo mpaka mabeki hatuna kitu.
 
I think, Joe Gomez, ameshakuwa scapegoat wa LFC fans around the World.

Football can be so cruel to players, this is the kid who contributed kwa kiwango kikubwa sana, kwenye our title winning season, but vitu kama hivi vinasahaulika kwa haraka sana, kwasababu ya his form right now, na its funny kwasababu tunamuangalia Gomez tu, kwasababu tunaogopa kumkosoa VVD ambaye nae ana-struggle sana msimu huu, tuna Centre Back mmoja tu ambaye yupo kwenye good form, Konate tu, but yeah lets put our frastrution on Gomez. because kuna baadhi ya mistakes alifanya before.

Then, huwezi ukawa umeangalia game yote ile ya Madrid, na ukampa LAWAMA zote Gomez, matter of fact, he WASNT responsible kwa goal lolote lile tulilofungwa, unless kama unaona deflection ni error katika ku-defend.

1st Goal, was Henderson's mistake.

2nd Goal, was Alisson mistake.

3rd Goal, was on the whole team & Klopp's bad coaching kuhusiana na Zonal marking, and before useme kuwa Gomez fouled Vinicius, that wasnt even a FOUL, lets be REAL.

4th Goal, ni deflection, it happens in football, you can class Deflections kama errors kwenye football.

5th Goal, was Fabinho mistake, and you're favourite CB VVD kushindwa kum-close down Benzema, Fabinho lost the ball in the middle, and failed to track it back or over-run a 37 year-old Modric, you cant put that on Gomez.

Yes, Gomez is struggling now, and its the same kwa VVD, Matip, Trent, Robertson, Fabinho, Henderson etc.
 
This was Madrid first Goal.

Look, at Henderson, Vinicius was his man, alikuwa close when Vinicius was playing 1-2s na Benzema, aliona the whole move, as he was marking Vinicius, and he had him on the box kabla Vincius haja-shoot, but he switched-off, vacate his space na kurudi kwa Benzema, aki-assume kuwa Vinicius atarudisha tena mpira kwa Modric, how? in what world Vinicius angerudisha mpira kwa Benzema kwenye hii situation? he was facing the goal, the minute Henderson moved away from him, akapata nafasi ya kutengeneza shot, you cant blame Trent & Gomez for failing to close him down, because he was Henderson's man.

1. Henderson on Vinicius tail kabla hajapokea mpira.
Screenshot_20230223_103246_com.twitter.android_edit_182248150495372.jpg


2.Vinicius receives the ball, and he's trying to make a turn, Trent is there, anticipating to block the ball, incase Vinicius akiamua kupass/peleka mpira wide kwa rudiger (i think) ambaye alikuwa anataka ku-overlap, see Gomez, he's with Modric, thats his man, and Vinicius is still HENDERSON's man.
Screenshot_20230223_103230_com.twitter.android_edit_182283907293900.jpg


3. Henderson fails to engage? anafanyaje? ana-switch na kurudi kwa Benzema, for WHAT? how can you get that simple mathematic wrong? Trent is there, anasubiri Henderson ai-ngage ili a-collect mpira, maana kama Henderson ange-mpress Vinicius, asingekuwa na choice zaidi ya kumove wide, au ku-release mpira wide, but Henderson thought let me go mark Benzema, incase Vinicius akirudi kwake, unacheza na Salah, umecheza na Mane, kila siku. unatazama lethal wingers kwenye league, hakuna Winger anatoa pass. kwenye hiyo angle, HAKUNA, when Vinicius managed to. turn with the ball, it was over, na aliyempa space ya ku-turn na ku-shoot? The captain of Liverpool FC.
Screenshot_20230223_103208_com.twitter.android_edit_182303338878788.jpg


But, lets blame our 23 and 24 year-olds, because a 31 year-old Captain, cant do the BASICS.
 
And, Klopp.

We got absolutely destroyed on xG chains against 10 men Newcastle, Alisson was the man of the match against a 10 men team at St James Park.

As a coach, ulitakiwa ujiulize, WHY? why tulizidiwa kila kitu na newcastle wakiwa pungufu?

But, he thought, Yeah lets put the same fucking team with the same fucking set-up against REAL MADRID.

Tutamlaumu sana JWH/FSG, but kuna limit, and its absurd because tuna-act like kufungwq 5 goals at Anfield, ni kitu cha kawaida, because we are scared to question Klopp.

He's having a nightmare of a season, from top to bottom, kila game ambayo tunakuwa battered, tunasema ni wake-up call, but tunarudi kule-kule, hatujajifunza form Brighton, Wolves, Brentford etc, a serious coach alitakiwa a-consider his options baada ya kuwa battered ki-takwimu na Newcastle waliokuwa man down kwa muda mrefu, but he thought anaweza kui-beat Madrid na same team iliyokuwa destroyed na newcastle, ya kina Longstaff.

Pathetic.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom