3ZOV
JF-Expert Member
- Dec 28, 2020
- 6,259
- 7,018
Wolves 3 - Loserpool 0Kabisa, leo ni Wolv 2 - 6 Liv
Wolves 3 - Loserpool 0Kabisa, leo ni Wolv 2 - 6 Liv
Poleni sana hii hali wengi tumepitia sana kwenye klabu zetuHii Timu inaendeshwa Kihuni kweli
😂😂😂😂😂😂Nuff respec mkuu kwenu regardless ya hayo mambo mpira unachezewa uwanjani hayo mengine sio levo zetu.Ewe kapteni, city imekukosea nini?
Danny Murphy anasema hata laumu Klopp akitokea mikataba kwa hao wachezaji kwa kua anasema kama hapewi ela kununua wachezaji wengine basi hana namna zaidi ya kuwabakisha waliopo...Milner
Hendo
OX
Keita
Usijeshangaa kusikia wanapewa Mikataba mipya tena minono.
Kila mmoja ashinde mechi zake hakuna kuangalia yule ana pointi ngapi na sisi tuna ngapi.They want to use liverpoor and Chelshit as their way to get some relief.,ila kushuka ni kushuka tu.
Wasijifichie kwenye kichaka chetu.
😂😂😂😂Hata Maldini alistaafu hivyo nae muda wake utafika tu.Nashauri tumpe tu mkataba wa maisha
😂😂😂😂Pale Kipara hana chake imekua bogey team.Chezea spurs weye![]()
Na bado mnaenda kucheza matopeniNaona mnaitumia city kujifariji.
hehehehe
Ndio maana nawaambia muiombee city isishuke daraja maana ndio inayowafariji kwenye hichi kipindi mnachopitia cha ubovu uliotukuka.
Bila city wengi humu mngekuwa mshajipiga vitanzi.
Embu wote mnyanyue mikono juu kisha mseme "city tunakupenda maana watupa faraja sisi livapunda"

Danny Murphy anasema hata laumu Klopp akitokea mikataba kwa hao wachezaji kwa kua anasema kama hapewi ela kununua wachezaji wengine basi hana namna zaidi ya kuwabakisha waliopo...
Bila FSG kusepa zao tuwe na subira maumivu bado yatakuwepo.
YNWA

#MUFCKwa sasa Liverpool wachezaji wenye uhakika wa kurudisha ubora wao ni Trent akipata MF bora,Kama Tajiri kaharibu yeye siyo kazi yake kujenga.
Tajiri hatoi hela na yeye habakishi hao Magarasa mpaka Kikosi kinaki na Wachezaji Watano halafu tuone nini kitatokea.
Lakini cha ajabu yeye ndiye anaye entertain Ujinga wa hao FSG
Kwa kweliKama Tajiri kaharibu yeye siyo kazi yake kujenga.
Tajiri hatoi hela na yeye habakishi hao Magarasa mpaka Kikosi kinaki na Wachezaji Watano halafu tuone nini kitatokea.
Lakini cha ajabu yeye ndiye anaye entertain Ujinga wa hao FSG
Liverpool ipo kutunyoosha wallaqKwa sasa Liverpool wachezaji wenye uhakika wa kurudisha ubora wao ni Trent akipata MF bora,
Fabinho akipata MF wa kazi kazi
Alison akipata ulinzi bora,
Nunez akitulia aacha papara kulenga goli lilipo,
Diaz akipona vyema na ubora wake ule ule..
Jota akipona na apate dakika za kutosha akicheza kama second strika.
Konate kama sio serial starter
Salah, VVD, Henderson,Matip, Thiago, Robertson, Milner, Keita, Ox hawa kwa kweli hawana tena momentum kukibizana na vijana mwanzo wa msimu mpaka mwisho wa msimu kushiriki EPL, FA, Carabao na UCL.
YNWA

