Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hapa umeongea nini mkuu yani hawa wachezaji usio waamini sio wa Kloop?

Majeruhi walipo na nafasi tuliopo bado havifanani kwamwe timu imepoteza morali jifanyeni hamuoni tu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] unapata ushindi ukiwa umelala [emoji23][emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] unapata ushindi ukiwa umelala [emoji23][emoji23]
Aisee naona Kipara akiwaacha jamaa wa Ethad maana ikidhibitika kweli walifanya udanganyifu sioni akibakia pale kwa sababu hii ishu inakuja mara ya pili na mara ya kwanza alisema walimhakikishia hakuna makosa yoyote yalitokea ama kukiuka utaratibu na sheria za ligi.

YNWA
 
Hapa umeongea nini mkuu yani hawa wachezaji usio waamini sio wa Kloop?

Majeruhi walipo na nafasi tuliopo bado havifanani kwamwe timu imepoteza morali jifanyeni hamuoni tu
Noted Mkuu.

Mambo ni mengi sana. Morali, momentum, uwezo, fatigue nk hazipo tena klabuni. Namna mambo yatarejea kama zamani only Klopp na wachezaji wanajua nini kifanyike. But one thing i know hatupo compact pale nyuma na hatupo clinical pale mbele kati nako same old same old..

YNWA
 
Ulianzaje kuipenda liverpool FC?

Mimi nilikuwa darasa la 6 , nikanunuliwa jezi ya torres (9) ikawa kwisha habari yangu , hadi now nimemaliza chuo still YNWA.
Nilikuwa naenda kuangalia mechi na bro zangu,walikuwa wanashabikia liver.
Nikawga nampenda sana Gerrard,
Kipindi hicho hata sielewi hata football wala miongozo yake .
Was jus enjoying[emoji23]
 
ni mambo ya uhasibu hayo mkuu, vigumu kuelewa kama hujapitia
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…