Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,307
- 32,791
Daaah mmetisha, I wish Chelsea ingekuwa inahangaika kumtafuta Kocha wakati huu hakika tungejinyakulia Klopp fastaKlopp aondoke.
Ujinga wake umetufikisha hapa..
Kwa akili ya kawaida tu,huwezi kumuacha Mane aondoke ila umewashikilia mibabu,unaipambania kuongezwa mkataba.
Klopp aondoke,Makocha no wengi,hayupo pekeyake na kwa sasa hana maajabu yoyote.

Kwanini akubali kukwama?Daaah mmetisha, I wish Chelsea ingekuwa inahangaika kumtafuta Kocha wakati huu hakika tungejinyakulia Klopp fasta
Timu yenu ina uduwanzi wa kutoweka mzigo wa kutosha katika usajili kama Arsepimbi na Mwantesa Utd, ulitegemea kila siku Wachezaji wenu waendelee kuwa washindani milele bila ya kuongezewa nguvu ya Wachezaji wengine jinsi ilivyo Mwa-City kama vile Wachezaji wa Liverpool hawatumii damu?
Klopp ni bonge la Kocha kuliko hata Pep Kipara, hana ubaguzi wa rangi wala chuki binafsi na Mchezaji yeyote ndani ya klabu yenu ya Liverpool isipokuwa kamati yenu ya uwekezaji bora wa Liverpool FC ndiyo inayomkwamisha hadi hivi sasa.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Klopp ajipange June 2023 huyu dogo atue Liverpool.Leta hela kwa Galagher mkuu
Mipango mirefu na hawa mababu?Klopp amesema mshazoeaa kichapoooo nyiee kama timu mna mipango mirefuuu..
Utakuta wanajivunia kutumia budget ndogo
Mipango mirefu na hawa mababu?





Yani kumuuza mane sijui ilikuwa tamaa au ni Ego ya kochaa kudhani angemuongezea mshahara angefaidi sanaaa... Ona sasa timu imevunjikaaa anaanza kuteseka kuijengaa upyaaMisimamo ni kipaji usitegemee misimamo waliyokuwa nayo Makocha kama akina Jose Mourinho, Antonio Conte au Alex Ferguson ndiyo atakuwa nayo Kocha yeyote duniani, haipo na hakunaga.Kwanini akubali kukwama?
Kwanini asikomae kudai??
Hii hali naye anaipenda.,Asingeipenda angekuwa mstari wa mbele kupinga ulafi wa hao wamiliki.
Halafu alikuwa kimya ,Yani kumuuza mane sijui ilikuwa tamaa au ni Ego ya kochaa kudhani angemuongezea mshahara angefaidi sanaaa... Ona sasa timu imevunjikaaa anaanza kuteseka kuijengaa upyaa
Kweli kufungwa kubaya ni kiraka si kilakaKlopp ajipange June 2023 huyu dogo atue Liverpool.
Chini ya Klopp huyu ni kilaka haswa.
YNWA
Amekuwa failureMisimamo ni kipaji usitegemee misimamo aliyokuwa nayo Jose Mourinho, Antonio Conte au Alex Ferguson ndiyo atakuwa nayo Kocha yeyote duniani, haipo na hakunaga.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Erik Ten hag kumkaziaa Cr7 haukuwa msimamo rahisi hata kidogoo ilaa leoo tunatambaa..Misimamo ni kipaji usitegemee misimamo aliyokuwa nayo Jose Mourinho, Antonio Conte au Alex Ferguson ndiyo atakuwa nayo Kocha yeyote duniani, haipo na hakunaga.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app



Kwahiyo wewe katika yote yanayojadiliwa umeona hilo tu?Kweli kufungwa kubaya ni kiraka si kilaka
Uko shule mlienda kusomea Ujinga?
Allison bila kupewa ulinzi wa kutosha ni ngumu kutopigika aisee. Mashambulizi kama mawe..Hawa wasitudanganye na tunaona kabisa.
Liverpool hii hii inayopewa kichapo Kila siku eti imetoa golikipa😁
Allison naye sikuhizi ashachuja.
WC ameiangisha timu yake Brasil kizembe tu.
Hahaaaaa....Erik Ten hag kumkaziaa Cr7 haukuwa msimamo rahisi hata kidogoo ilaa leoo tunatambaa..![]()

Huyu Mitoma bana, ile digrii yake ya dribling naona sasa inaanza kuleta matunda
Klopp kashasema yupo mpaka 2026 labda wenye timu wamwambie kibarua kimeisha ila yeye anasema yumoo sana wala haodoki.Klopp aondoke.
Ujinga wake umetufikisha hapa..
Kwa akili ya kawaida tu,huwezi kumuacha Mane aondoke ila umewashikilia mibabu,unaipambania kuongezwa mkataba.
Klopp aondoke,Makocha no wengi,hayupo pekeyake na kwa sasa hana maajabu yoyote.
Yaani anaendelea kutuangusha na anasema haondoki!Klopp kashasema yupo mpaka 2026 labda wenye timu wamwambie kibarua kimeisha ila yeye anasema yumoo sana wala haodoki.
YNWA
Jamaa alikuwa boonge la mweupe yaaniAllison bila kupewa ulinzi wa kutosha ni ngumu kutopigika aisee. Mashambulizi kama mawe..
Brazil kuna vipaji haswa tatizo wanafuata majina makubwa kutengeneza timu ya Taifa.
YNWA
Save ua energy Miss Liverpool tuungane pamoja tupige magoti mpaka Henderson, Milner, Ox, Keita, Gomez, Matip 😜wasepe otherwise ma stress mpaka Henderson amalize mkataba 2026 sio leo ujue😁😁😁😁Kwahiyo wewe katika yote yanayojadiliwa umeona hilo tu?
Jamaa si ajabu amekupiga gap parefu kielimu
Na kiswahili anajiforce tu kutumia.
Huwa anatumia sana kiingereza.