Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

kiburi cha klop plus ubahiri wa yankies....... tuendelee hivi hivi, kwani kuna faida kama mashabiki tunapata wakishinda?

acha waendelee kubondwa
 
Viingereza vingi
JamiiForums-1053321325.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kazi ya Potter hiyo. Kaijenga timu hata bila Caicedo na Trossard bado timu inacheza kibingwa
Mkuu Acha kumpakulia kocha wako Minyama...! Hiyo ni kazi ya Roberto De Zerbi mwenyewe

Potter kaondoka Brighton na ikapoteza michezo mitatu Kati ya minne, maana yake ni kwamba wakati anaondoka potter aliondoka na kila kitu chake

Potter ameenda Chelsea hakupoteza mechi katika michezo karibia 9 ya ligi kuu pamoja na UEFA ila akaja kupoteza alipokutana na team ambayo imepoteza michezo mitatu Kati ya minne ambayo ni Brighton

Roberto De Zerbi alijitafuta kipindi anapigwa back to back hadi akajipata na ndio tukaona hiyo team, ingekuwa Zerbi anatembelea Nyota ya potter basi asingepigwa kama Ngoma baada ya Graham kwenda Chelsea

Matokeo ni kwamba tunaweza kusema Potter ndio alikuwa anatembelea upepo wa Tuchel ndomana mwanzo Chelsea ikaonekana iko njema na baada ya kuanza kuipriment mbinu zake maji yakazidi unga ndio hadi leo

De Zerbi amekuta potter anamtegemea Moises na Trossad ila yeye kaja katengeneza team ambayo ata akosekane mchezaji muhimu bado inakupa matokeo

Trossard hakucheza hakucheza game 5 kutokana na matatizo ya kinidhamu ila Brighton ikaendelea kuwa yamoto kama kawaida, Mc Allister akakosa game 3 alipotoka world cup ila Moto ukawa ule ule

Subiri Potter atengeneze team nzuri hapo Chelsea tutampa tu sifa zake na sio kuanza kupewa sifa ambazo hazimuhusu, kwa sasa Brighton ilivo ni mipango ya Zerbi only
 
Mkuu Acha kumpakulia kocha wako Minyama...! Hiyo ni kazi ya Roberto De Zerbi mwenyewe

Potter kaondoka Brighton na ikapoteza michezo mitatu Kati ya minne, maana yake ni kwamba wakati anaondoka potter aliondoka na kila kitu chake

Potter ameenda Chelsea hakupoteza mechi katika michezo karibia 9 ya ligi kuu pamoja na UEFA ila akaja kupoteza alipokutana na team ambayo imepoteza michezo mitatu Kati ya minne ambayo ni Brighton

Roberto De Zerbi alijitafuta kipindi anapigwa back to back hadi akajipata na ndio tukaona hiyo team, ingekuwa Zerbi anatembelea Nyota ya potter basi asingepigwa kama Ngoma baada ya Graham kwenda Chelsea

Matokeo ni kwamba tunaweza kusema Potter ndio alikuwa anatembelea upepo wa Tuchel ndomana mwanzo Chelsea ikaonekana iko njema na baada ya kuanza kuipriment mbinu zake maji yakazidi unga ndio hadi leo

De Zerbi amekuta potter anamtegemea Moises na Trossad ila yeye kaja katengeneza team ambayo ata akosekane mchezaji muhimu bado inakupa matokeo

Trossard hakucheza hakucheza game 5 kutokana na matatizo ya kinidhamu ila Brighton ikaendelea kuwa yamoto kama kawaida, Mc Allister akakosa game 3 alipotoka world cup ila Moto ukawa ule ule

Subiri Potter atengeneze team nzuri hapo Chelsea tutampa tu sifa zake na sio kuanza kupewa sifa ambazo hazimuhusu, kwa sasa Brighton ilivo ni mipango ya Zerbi only
Kikosi asilimia kubwa kakisuka potter Acha roho mbaya mkuu
 
Kazi ya Potter hiyo. Kaijenga timu hata bila Caicedo na Trossard bado timu inacheza kibingwa
Potter Bado Sana kwa Di Zerbi,
Di Zerbi ni moja ya matactician Bora EPL kama hujui Hilo ,

George Ambangile

Hii build up ya Brighton only Arsenal na City ndio better zaidi yao . Wana option tatu

Play through you
Play around you
Play over you

Chagua wewe unavyotaka ukienda kuwa press

2BCs na 2 CMs plus GK .. fullbacks outwide making the pitch bigger ( wanakuwa outballs)
 
Mkuu Acha kumpakulia kocha wako Minyama...! Hiyo ni kazi ya Roberto De Zerbi mwenyewe

Potter kaondoka Brighton na ikapoteza michezo mitatu Kati ya minne, maana yake ni kwamba wakati anaondoka potter aliondoka na kila kitu chake

Potter ameenda Chelsea hakupoteza mechi katika michezo karibia 9 ya ligi kuu pamoja na UEFA ila akaja kupoteza alipokutana na team ambayo imepoteza michezo mitatu Kati ya minne ambayo ni Brighton

Roberto De Zerbi alijitafuta kipindi anapigwa back to back hadi akajipata na ndio tukaona hiyo team, ingekuwa Zerbi anatembelea Nyota ya potter basi asingepigwa kama Ngoma baada ya Graham kwenda Chelsea

Matokeo ni kwamba tunaweza kusema Potter ndio alikuwa anatembelea upepo wa Tuchel ndomana mwanzo Chelsea ikaonekana iko njema na baada ya kuanza kuipriment mbinu zake maji yakazidi unga ndio hadi leo

De Zerbi amekuta potter anamtegemea Moises na Trossad ila yeye kaja katengeneza team ambayo ata akosekane mchezaji muhimu bado inakupa matokeo

Trossard hakucheza hakucheza game 5 kutokana na matatizo ya kinidhamu ila Brighton ikaendelea kuwa yamoto kama kawaida, Mc Allister akakosa game 3 alipotoka world cup ila Moto ukawa ule ule

Subiri Potter atengeneze team nzuri hapo Chelsea tutampa tu sifa zake na sio kuanza kupewa sifa ambazo hazimuhusu, kwa sasa Brighton ilivo ni mipango ya Zerbi only
RUBISH
 
Hutaki kukubali ukweli
Pamoja na Liverpool kuzidiwa kila kitu Di Zerbi hajaridhishwa
Roberto De Zerbi, who pronounced himself very happy with the result, says

"if we want to speak about the quality of play, I didn't like the game. We can improve a lot, we made too many simple mistakes."

Quite something after a game when they were better than Liverpool.
 
Kikosi asilimia kubwa kakisuka potter Acha roho mbaya mkuu
Mkuu me mbona sina roho mbaya bali naongea ukweli, kusuka kikosi kocha yoyote Yule anaweza ila shida inakuja ni hicho kikosi kukupa matokeo kulingana na mbinu zako

Kwani pale Man u kikosi si kilisukwa na Ralf Rangnick ila saizi sifa si anapewa Erik ten Hag? Kwa sababu ameingiza mbinu zake na wachezaji wake na inamlipa

Haya pale Aston villa saizi sifa si anapewa Unai Emery ila kikosi si amekisuka Steven Gerrard? Kwahiyo issue sio nani alitengeneza kikosi bali ni nini ulifanya baada ya kukuta hicho kikosi

Kwahiyo hapo Chelsea tuanze kumlaumu Tuchel Kwa kushindwa kusuka kikosi ambacho kungekuwa kinamsaidia potter kufanya vizuri?

Kocha akishakabidhiwa team lazima atafanya amendment kivyovyote vile ilimradi tu apate kitu chake ambacho amekuwa akikifanyia mazoezi

Kwahiyo hakuna kocha ambae anakuja anapangua kikosi kizima mkuu, lazima atafanya mabadiriko kupitia wachezaji wale wale aliowakuta katika first eleven hadi wale wa akiba

Mauricio Pochettino aliacha Totenham iko vizuri sana na akaacha kila mchezaji aliemtumia yeye kipindi inafanya vizuri ila kuanzia hapo wote tunaona Totenham ya leo ilivo pamoja na kufanya maongezeko ya wachezaji

kwahiyo kusuka team hakuna mahusiano na kupata matokeo mkuu, hizo sifa za kusuka team hazina maana yoyote kwenye mpira kwa sababu ya kuangalia matokeo, Acha asuke chake hapo Chelsea atapata tu sifa zake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom