Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Ebwana au tuwakodishe wale mashabiki wa Ethad Army yaani at half time walikua full kununa yaaani hawaelewi inakua aje gemu ya pili wanachezea kichapo aafu ile sasa ni Ethad na Conte hanaga utani pale Hahaha... Wish ile half time talk was recoded yaaani Pep was roaring maana uzuri wa Pep hanaga brake yeye hua anakuja mazimaaa anawaponda wala hanaga kesho ni pale pale...Man City fans wants to win trophies.
Scousers huwa wanatoa standing ovations kwa kina Henderson.
Ndiyo maana hata FSG wame-relax.
Thats the difference between us and Man City.
In the meantime ma Scouser tunajaza ma bendera ya mafanikio ya zamaniiii utadhani ndio sasa... Hii klabu inahitaji sana mabadiliko... Kuanzia mentality ya wachezaji, mwalimu, makocha na mashabiki maana we are damn so relaxed quoting past n past...
FSG wao hawana hasara tushinde makombe au la kwa sababu hata mishahara ya wachezaji Liverpool inalipwa through incentives or bonus za mafanikio hivyo bila Carabao, UCL FA hata wage bill itapumua kwa kua wao wame cap wages na success ya klabu yaaani hawa Yankees ni matatizo.
YNWA
