Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Jukumu letu lilikuwa kuwafungashia virago livapunda tukamaliza...hilo kopo tumewaachia matakataka manyumbu.

sisi tunaenda kupiga trebo ya UEFA EPL na FA..
Achana na sisi buana tuna mahesabu makali sana.
Szitaki mbichi hizi
 
Huyu ndio klopp aseme tu FSG hawana hela
Screenshot_20230113-182229.jpg
 
Captain Marvelous come and take your father

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
😂😂😂😂Huyu mzee hua ana majibu ya kukera sana... MF hii ilisemwa sana baada ya fainali kule Ufaransa na mpaka sasa inasemwa sana mapungufu yao lakini Klopp kama kawaida yake sikutegmea aje na majibu tofauti na haya.

Tujiadae kupigika tu hakuna namna

YNWA
 
😂😂😂😂Huyu mzee hua ana majibu ya kukera sana... MF hii ilisemwa sana baada ya fainali kule Ufaransa na mpaka sasa inasemwa sana mapungufu yao lakini Klopp kama kawaida yake sikutegmea aje na majibu tofauti na haya.

Tujiadae kupigika tu hakuna namna

YNWA
Chukua babu yako bwana, sisi tutamuumiza huyu Mzee.
Hivi huwa anavuta bangi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom