Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Chugga man hawa wote na wengine wengi walipita hapo darajani na kwa bahati nzuri kwetu na Kipara 😂😂hamkuona umuhimu wao.
Screenshot_20230109_094434_com.android.chrome_edit_1012605734179859.jpg



YNWA
 
♥️
 

Attachments

  • 1107595-steven-gerrard-capitaine-de-liverpool-contre-chelsea-le-20-janvier-2015.jpg
    1107595-steven-gerrard-capitaine-de-liverpool-contre-chelsea-le-20-janvier-2015.jpg
    210.6 KB · Views: 8
Screenshot_20230109_093701_com.android.chrome_edit_1012675574261620.jpg

Klopp hua ni mgumu kuelewa.. Yaaani unawatoa aje Mane na Gini real steal ya timu na kuwabakisha akina Kieta, Ox, Milner, Henderson yaaani hii kitu sitokaa nielewe hata iweje.. Akatoka hapo akasajili Thiago mgojwa kama new idea ya MF another unwanted move by Klopp...
Pamoja na sifa wanaozopata hii Committee ya usajili kwa kuona vipaji kwa bei chee nao wamefanya makosa mengi tu kimkakati klabuni kuanzia ishu ya Gini, Usajili wa Thiago na kuuzwa Mane hizi zote hakika ilikua move zinazotufikisha tulipo sasa.

Kuanzia Edwards na sasa Ward wote hawa wamechangia kuturudisha nyuma kama timu.

YNWA
 
View attachment 2477851
Klopp hua ni mgumu kuelewa.. Yaaani unawatoa aje Mane na Gini real steal ya timu na kuwabakisha akina Kieta, Ox, Milner, Henderson yaaani hii kitu sitokaa nielewe hata iweje.. Akatoka hapo akasajili Thiago mgojwa kama new idea ya MF another unwanted move by Klopp...
Pamoja na sifa wanaozopata hii Committee ya usajili kwa kuona vipaji kwa bei chee nao wamefanya makosa mengi tu kimkakati klabuni kuanzia ishu ya Gini, Usajili wa Thiago na kuuzwa Mane hizi zote hakika ilikua move zinazotufikisha tulipo sasa.

Kuanzia Edwards na sasa Ward wote hawa wamechangia kuturudisha nyuma kama timu.

YNWA
Mitano Tena kwa Klopp
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom