Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Aisee Huyu Nunez
images (40).jpeg
 
We were lucky vs Leicester na Leo tunaendeleza upuuzi ule ule. Toa chambalain toa Elliot sogeza anorld mbele then Ingiza gomez na k3ita
Una roho ngumu fellow kop yaaani una imani kabisa na Keita kwenye hizi mbio za Big 4...

Kwa hali ya wachezaji wetu wapo kama gari ya dizeli ikitegwa kwa kustua mlamani kwenye mteremko inaweza ikawaka na jino moja ama jino la 2 au 3...kwa hizi gemu 2 wameanza tulipoonzia Ligi. Kwa ufupi ili tuingie Big 4 lazima aidha Manchester United, Chelsea, Tottenham, Newcastle wapoteane zaidi yetu ili tuweze kusogea sogea lakini kwa hali hii ya leo hakika nasimama na Klopp kudai 250m kujenga upya kikosi hiki. Kama sio beki kupoteana basi MF ama wote kwa pamoja kama leo na vs Leicester...

Ifike mahala wachezaji wengine wasisubiri kuonyeshwa njia ya kuodokea wenyewe wajitadhimini.

Konate ni Kieta mpya huyu ajiangalie sana kwa kweli.

Tumepoteza pointi 3 muhimu sana.

YNWA
 
Una roho ngumu fellow kop yaaani una imani kabisa na Keita kwenye hizi mbio za Big 4...

Kwa hali ya wachezaji wetu wapo kama gari ya dizeli ikitegwa kwa kustua mlamani kwenye mteremko inaweza ikawaka na jino moja ama jino la 2 au 3...kwa hizi gemu 2 wameanza tulipoonzia Ligi. Kwa ufupi ili tuingie Big 4 lazima aidha Manchester United, Chelsea, Tottenham, Newcastle wapoteane zaidi yetu ili tuweze kusogea sogea lakini kwa hali hii ya leo hakika nasimama na Klopp kudai 250m kujenga upya kikosi hiki. Kama sio beki kupoteana basi MF ama wote kwa pamoja kama leo na vs Leicester...

Ifike mahala wachezaji wengine wasisubiri kuonyeshwa njia ya kuodokea wenyewe wajitadhimini.

Konate ni Kieta mpya huyu ajiangalie sana kwa kweli.

Tumepoteza pointi 3 muhimu sana.

YNWA
Itakuwaje vs Galacticos, au ndio basi hadi season ijayo.
 
Una roho ngumu fellow kop yaaani una imani kabisa na Keita kwenye hizi mbio za Big 4...

Kwa hali ya wachezaji wetu wapo kama gari ya dizeli ikitegwa kwa kustua mlamani kwenye mteremko inaweza ikawaka na jino moja ama jino la 2 au 3...kwa hizi gemu 2 wameanza tulipoonzia Ligi. Kwa ufupi ili tuingie Big 4 lazima aidha Manchester United, Chelsea, Tottenham, Newcastle wapoteane zaidi yetu ili tuweze kusogea sogea lakini kwa hali hii ya leo hakika nasimama na Klopp kudai 250m kujenga upya kikosi hiki. Kama sio beki kupoteana basi MF ama wote kwa pamoja kama leo na vs Leicester...

Ifike mahala wachezaji wengine wasisubiri kuonyeshwa njia ya kuodokea wenyewe wajitadhimini.

Konate ni Kieta mpya huyu ajiangalie sana kwa kweli.

Tumepoteza pointi 3 muhimu sana.

YNWA
Umezunguka kwotee kasoro tuu kwa klopp, sioni tena kama ile passion na motivation ipo, timu imeoza beki, viungo na foward na mbinu za klopp,

Klopp kuruhusu hyo 69m kumnunua Nunez akubali tuu alifanya biashara kichaa, yeye sio Mungu kwamba hakosei kwenye sajili ama kila mchezaji anaweza mbadilisha, alimshindwa minamino, benteke nk
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom