verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 3,121
- 6,184
Hebu kua na adabu wewe usimfananishe kagere na watu wapuuzi, uyu ni Yikpe wa ulaya (Lukaku mweupe)
Hebu kua na adabu wewe usimfananishe kagere na watu wapuuzi, uyu ni Yikpe wa ulaya (Lukaku mweupe)















cio poa



kifo ni kifo ila kuna aina ya vifo vingine vinasikitisha na kuwaacha wahusika na maumivu makali , poleni sana ndugu, jamaa na marafiki.Huyu jamaa anapitia kipindi kigumu, ila bado naamini ni mshambuliaji mzuri sana, ngoja msimu huu uishe, tuone itakavyokuwa.
Kuna siku nilisema Tatizo ni muda ndio hatuna.Huyu jamaa anapitia kipindi kigumu, ila bado naamini ni mshambuliaji mzuri sana, ngoja msimu huu uishe, tuone itakavyokuwa.
Una roho ngumu fellow kop yaaani una imani kabisa na Keita kwenye hizi mbio za Big 4...We were lucky vs Leicester na Leo tunaendeleza upuuzi ule ule. Toa chambalain toa Elliot sogeza anorld mbele then Ingiza gomez na k3ita
Itakuwaje vs Galacticos, au ndio basi hadi season ijayo.Una roho ngumu fellow kop yaaani una imani kabisa na Keita kwenye hizi mbio za Big 4...
Kwa hali ya wachezaji wetu wapo kama gari ya dizeli ikitegwa kwa kustua mlamani kwenye mteremko inaweza ikawaka na jino moja ama jino la 2 au 3...kwa hizi gemu 2 wameanza tulipoonzia Ligi. Kwa ufupi ili tuingie Big 4 lazima aidha Manchester United, Chelsea, Tottenham, Newcastle wapoteane zaidi yetu ili tuweze kusogea sogea lakini kwa hali hii ya leo hakika nasimama na Klopp kudai 250m kujenga upya kikosi hiki. Kama sio beki kupoteana basi MF ama wote kwa pamoja kama leo na vs Leicester...
Ifike mahala wachezaji wengine wasisubiri kuonyeshwa njia ya kuodokea wenyewe wajitadhimini.
Konate ni Kieta mpya huyu ajiangalie sana kwa kweli.
Tumepoteza pointi 3 muhimu sana.
YNWA
Umezunguka kwotee kasoro tuu kwa klopp, sioni tena kama ile passion na motivation ipo, timu imeoza beki, viungo na foward na mbinu za klopp,Una roho ngumu fellow kop yaaani una imani kabisa na Keita kwenye hizi mbio za Big 4...
Kwa hali ya wachezaji wetu wapo kama gari ya dizeli ikitegwa kwa kustua mlamani kwenye mteremko inaweza ikawaka na jino moja ama jino la 2 au 3...kwa hizi gemu 2 wameanza tulipoonzia Ligi. Kwa ufupi ili tuingie Big 4 lazima aidha Manchester United, Chelsea, Tottenham, Newcastle wapoteane zaidi yetu ili tuweze kusogea sogea lakini kwa hali hii ya leo hakika nasimama na Klopp kudai 250m kujenga upya kikosi hiki. Kama sio beki kupoteana basi MF ama wote kwa pamoja kama leo na vs Leicester...
Ifike mahala wachezaji wengine wasisubiri kuonyeshwa njia ya kuodokea wenyewe wajitadhimini.
Konate ni Kieta mpya huyu ajiangalie sana kwa kweli.
Tumepoteza pointi 3 muhimu sana.
YNWA
Anashangaa kaa vile anakata gogo 😂😂😂😂
Nyie Thursday mtapapaswa hadi mfukuze Kocha…. Niko paleeeeeMatakataka mumelambwa 😂😂😂