Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Unazingua 😁
Njoo tu na shingo hiyohiyo hata kama ipo kama kuku wa kideri😂
Kikubwa si nishakuadmire

Ila TAA ni mchezaji wa Kawaida sana
😂😂😂😂😂😂😂Ngoja wakusikia huko kwa Malkia wana bana atoe ma assit waanze ohh what a boy 🙃🙃🙃🙃

Sizingui bhana will saparizi u

YNWA
 
😂😂😂😂😂😂😂Ngoja wakusikia huko kwa Malkia wana bana atoe ma assit waanze ohh what a boy 🙃🙃🙃🙃

Sizingui bhana will saparizi u

YNWA
Kidogo tu sijui Trent hivi, yaani wanakapamba Kweli wakati hata kukaba hakawezi, hata le capten Hendo amemuacha dogo mbali kwenye kukaba.



Mambo ya sapraiz sitaki Mimi 😁
Mwishowe nipate presha nikufwe.
Do the needful please.
 
Kidogo tu sijui Trent hivi, yaani wanakapamba Kweli wakati hata kukaba hakawezi, hata le capten Hendo amemuacha dogo mbali kwenye kukaba.



Mambo ya sapraiz sitaki Mimi 😁
Mwishowe nipate presha nikufwe.
Do the needful please.
VVD, Matip, Konate wakiwa kwenye ubora na Fabinho akiwa back to his best hutaona haya mapungufu ya Trent lakini kwa kua kuanzia kati ni dhaifu lazima ndio maana anakua vile.

YNWA
 
Kama Werner na babu kibegi aka Lukaku hahaha hivi ile pesa £/💶/usd 97m mtaweza kweli kupata hata nusu yake mkimuuza Lukaku Inter. Sasa tazama dogo Nunez ndio kwanza ana 23 ana muda wa kutosha wa kujiweka sawa na kuanzia kufumania nyavu.

Huyu Cody uwe na utulivu tuna gemu 2 na wewe Epl majibu utayaona siku hio.

Nafasi ya Uefa ndogo inakuhusu.

YNWA
Miaka 23 kwa muchezaji kama Nunez alipaswa awe amekwisha impruvu, Werner hajafinikiwa kivile pale darajani lakini atleast kabeba uefa.
#CFC💙💙💙
 
VVD, Matip, Konate wakiwa kwenye ubora na Fabinho akiwa back to his best hutaona haya mapungufu ya Trent lakini kwa kua kuanzia kati ni dhaifu lazima ndio maana anakua vile.

YNWA
Hawezi kabisa kuzuia yule mtoto.
Ila sasa utasikia wakimpamba,
Trent at the age of 24
Mara 10 assist
Best defender
Na marupurupu kibao
 
Kweli pale ni hela.
Hata ningekuwa mm ningeingia kuvuna Hela kwanza Halafu naondoka.
Wana mishahara ya ajabu sana pale katoto eti 350k kwa wiki huku Ronaldo babu akipata zaidi ya 400k kwa wiki yaaani ni aibu huku Jota, Diaz, Nunez hata 170 hawapati na vijana wenye amsha amsha ya kutosha.

Ni kijiwe cha kupiga ela hamna namna labda huyu Kipara wao sasa wamsikilize ana kibarua kigumu sana pale.

Numbisa pole sana kwa kumkosa Cody 🤔🤔🤔

YNWA
 
Wana mishahara ya ajabu sana pale katoto eti 350k kwa wiki huku Ronaldo babu akipata zaidi ya 400k kwa wiki yaaani ni aibu huku Jota, Diaz, Nunez hata 170 hawapati na vijana wenye amsha amsha ya kutosha.

Ni kijiwe cha kupiga ela hamna namna labda huyu Kipara wao sasa wamsikilize ana kibarua kigumu sana pale.

Numbisa pole sana kwa kumkosa Cody 🤔🤔🤔

YNWA
Mimi nashangaa,
Hela zote hizi na wala hawajitumi.

Ningekuwa mm ningecheza kufa na kupona.
 
Uyu VVD kashindwa kuisaidia timu ake ya taifa kiwango chake kimeshuka tangu mulivopoteza ile fainal dhidi ya Madirid Hana jipya tena amekuwa wa hovyo sana
Una hakika ameshindwa kusaidia?
Mbona aliupiga mwingi tu, kasoro kwenye penalt
 
Uyu VVD kashindwa kuisaidia timu ake ya taifa kiwango chake kimeshuka tangu mulivopoteza ile fainal dhidi ya Madirid Hana jipya tena amekuwa wa hovyo sana
😂😂😂😂😂Thiago Silva hakucheza ama....

VVD ipo wazi wala simtetei kiwango sasa sio kile cha beki kisiki pazuri ni VVD yule yule anaweza kurudi ni kujituma mazoezini.

YNWA
 
Mimi nashangaa,
Hela zote hizi na wala hawajitumi.

Ningekuwa mm ningecheza kufa na kupona.
😂😂😂😂Why ujitume na upo timu kubwa duniani haha hivi unadhani mshahara anaolipwa Sancho, Degea, Martial wakitoka pale wataupata wapeeee tena. Wamejificha kimya wanakula ela Carabao, FA zinawashinda haha

YNWA
 
😂😂😂😂😂Thiago Silva hakucheza ama....

VVD ipo wazi wala simtetei kiwango sasa sio kile cha beki kisiki pazuri ni VVD yule yule anaweza kurudi ni kujituma mazoezini.

YNWA
Silva aliangushwa na hawa watoto mchele mchele wenzao wako ground na tizi la kutosha wao wako saloon wanapaka rangi nywele
 

Attachments

  • CA10C154-DFD6-4DA2-B1C8-CE8136BCDAA9.jpeg
    CA10C154-DFD6-4DA2-B1C8-CE8136BCDAA9.jpeg
    105.5 KB · Views: 9
😂😂😂😂😂Thiago Silva hakucheza ama....

VVD ipo wazi wala simtetei kiwango sasa sio kile cha beki kisiki pazuri ni VVD yule yule anaweza kurudi ni kujituma mazoezini.

YNWA
Limendy limechomesha timu mapema ikatokam
Angalau angeweza hata Manula angedaka vizuri kuliko lile jamaa lina pazia mikononi.
 
Limendy limechomesha timu mapema ikatokam
Angalau angeweza hata Manula angedaka vizuri kuliko lile jamaa lina pazia mikononi.
Angalia timu anayocheza mendy na timu anayocheza uyo VVD .. kwenye kombe la dunia huyu beki wenu kisiki kiwango kilikuwa hovyo sana. Pengine asingekuwepo uholanzi wangefika mbali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom