Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 19,149
- 43,098
🤣🤣🤣🤣
Hivi hamjakazoea kaputin tu🤣🤣🤣
Kazi yake ni kukorofusha kila jukwaa
Halafu timu itakayopeeform vizuri hiyohiyo ndio anashabikia🤣🤣🤣🤣
Nina experience na watu wenye tabia za kuandika matusi au kutukana mitandaoni, matatizo yao huwa yana vyanzo vyake. ikiwemo
1. enzi za utoto alikuwa anageuzwa kichekesho labda alikuwa mnene au mwembamba sana, alikuwa na muonekano mbaya Meno, masikio pua au mdomo hivyo watu walikuwa wamemfanya kichekesho
2. wazazi wakali sana na wenye upendeleo kwa watoto
3. kutopata upendo au zawadi kutoka kwa mzazi hii huleta tabia kama hizi za kutukana
4. malezi ya mzazi mmoja n.k hizo zote ni sababu huwa zinapelekea hata mtu akiwa mtu mzima huwa na tabia za ajabu ikiwemo ukorofi, kutukana sana mitaani au mitandaoni









