Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,255
Hili la kuligawa bure,tena likimbizwe na fimboView attachment 2407704
DullyJr huyu chukueni awape uzoefu namna ya kumalizia ligi mpate ubingwa
YNWA
Hili la kuligawa bure,tena likimbizwe na fimboView attachment 2407704
DullyJr huyu chukueni awape uzoefu namna ya kumalizia ligi mpate ubingwa
YNWA
AlibahatishaView attachment 2407706
Hahaha ile goli ya Allison ni classic all time hata uangalie mara ngapi huboreki.
YNWA
Khaaa hii timu ishakua ya ma babu balaa. Tazama 👇Kama libabu Milner na Handerson hawataondoka basi naye abaki.
Haiwezekani tumuondoe baba Halafu mibabu ipo inadunda tu.
Anakuja Mbeya City😂😂😂😂Hili la kuligawa bure,tena likimbizwe na fimbo
Kuna uhaba wa makocha sokoni maana unavyosoma eti Arteta awe kocha Barcelona ndio utaona tulipofikia maana ndio kwanza Arteta project inaelekea anakotaka sasa itakua sapraizi ya mwaka kuacha utulivu wa Gunners na kwenda kwneye siasa za Catalan nwa kwenye mpira kuna mambo hutokea ambayo hayana majibu...Bora adhalilike tu. Stevie G tunampenda sana ila bado hajakwiva kabsaaa
Na utateseka sanaHivi manshity mnashirikigi uefa ili iwaje sasa
,maana unajipa stress za bure kuichukia cityMbona tutambonda kichwa na maparachichiAnakuja Mbeya City😂😂😂😂
YNWA
Kazi yao ni kutusindikizaHivi manshity mnashirikigi uefa ili iwaje sasa
Mwaka jana ulikuwa unacheza Europa wanaume tunacheza CL ,ukafika final uliona ulichofanywaKazi yao ni kutusindikiza

jifanye Tena this time ...Labda akila super mbeya na ma parachichi atakua huamii hovyo kama sasa maana dogo ni hasara kwa klabu amecheza mechi 160 hivi na kukosa mechi zaidi ya 70 katika misimu mi nne pale Liverpool. Hapo akilipwa £120k kwa wiki.Mbona tutambonda kichwa na maparachichi
View attachment 2408487
Kwamba kila msimu hawa Manchester City wanabebwa na VAR. Last season game ya Everton wananyimwa paneti na sasa jana Citizens wamepewa penati...
YNWA