Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,930
- 27,179
Laana FCNinachojua wiki iliyopita tumewatandika
Ndio maana zama za Liver zimeisha huku liver akiwa ameshinda mataji machache.yaah mkuu na leo haachi point... sasa liver anatafuta point kwa city anakuja kugawa kwa notgharm fwakenii kabisaa
Tena inagawa kubwa na ndogo.Hii Liverpool ya Msimu huu Inasikitisha sana, yaani imekuwa kama Malaya anayemvulia chupi Kila mwanaume!....
@OllaChuga Oc njoo umfariji dada yako huku na wewe ukisubiria zamu yako ya kuchezea kipigo ifike.Nyie mnalo lipi?
Sasa hivi hilo Kopo (Klopp) halina tofauti yoyote na Jamhuri Kiwelu.HIVI KWANINI KLOPP HUWA AKIFUNGWA HAKOSI VISINGIZIO PIA HUWA HAKUBALI KUWA ALIZIDIWA UJANJA?
Klopp when asked to praise Forest:
“Giving a team 6 clear cut chances after a set piece, I’m not sure where I should put the praise on to be honest. Steve is a great manger but we have to win here today.”
Ndio ukome siku nyingineNmewap dc
nkawapa over
nkawap direct win mikek yte hyodah kachan
Nikifungwa na nyumbu mniite.... Niko paleeee@OllaChuga Oc njoo umfariji dada yako huku na wewe ukisubiria zamu yako ya kuchezea kipigo ifike.
Yale mateke tumewatandika juzi yamepoa?Shimoni hawajambo
Jaman inatosha tumekosa sieEti mtu na akili yako unashabikia kideri fc duh.......ndo hasara ya kutumia kichwa kama kifuniko cha shingo


Hawana tofauti wote vichwa transfoma...Magwaya alikua anafanya mashambulizi hadi kwenye boksi lake mwenyewe
Van dayiki yeye anafanya clearance mpaka kwenye boksi LA wapinzani
Mlitukamia tu cheki mnavyopakatwa mpaka na vitoto vya chekecheaYale mateke tumewatandika juzi yamepoa?
Mbona na nyie tuliwapakataMlitukamia tu cheki mnavyopakatwa mpaka na vitoto vya chekechea
Mkuu ulifikiri kideri kimewaisha hawa makukupori.......kwa sababu ya mechi ya city?.....kideri forever