Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hata msimu uliopita mlisema hivyo hivyo,tukawafunga mechi zote nne na hamkutufunga hata goli moja kwenye mechi tulizokutana narudia tena hata goli moja hamkutufunga na wakati mlikuwa kwenye form.

Hamjawahi kusema tunawafunga.hata kwa Man U mlisema hivyo hivyo na mkafungwa tena kwa aibu goli 3.
Tumia akili, Arsenal ya sasa sio ya msimu uliyopita, Arsenal tunaevolve, kocha na wachezaji wanakua kila leo, Pep & Klopp wanajua wazi kati ya mechi Man city & Liverpool walitengeneza nafasi chache ni dhidi ya Arsenal at the Emirates second half of last season. So we are coming for you now.
 
Ladder49 10.png
 
Tukiacha yote mimi kuna mambo bado yananishangaza
1. January 2020, klop alipoona Minamino ni zaidi ya halaand ( wakati huo bei ya halaand ni chee kabisa

2. Usajili wa Keita tena hadi kusubiriwa msimu mmoja( utadhani alikua na kiwango cha iniesta au KDB)

3. Nunez

4. Nunez

5. Nunez

6. Nunez

7. Nunez

8. Nunez

9. Nunez

Ni usajili wa hovyo wa bei kubwa kuwahi kufanywa na klopp, ni heri angemsajili lewandowsk mzee kuziba viraka huku akifanya scouting ya maana.


Huyu Nunez ana first touch mbovu Lukaku ana nafuu

Sio mnyumbulifu kabisa, magoli ni ya touch moja ama vichwa kama Carrol

Ndio maana mpaka sasa hawezi hata kumnyima namba Firmino aliyejichokea


10. kuuzwa kwa Mane na Gini sina lawama nae sana maana ili urefresh kikosi lazima watu baadhi watoke ila wakutoka ilitakiwa aanze na Milner, hendeson, Ox, Keita, ndio wengine wafuate
Msianze kumlaum Nunez aisee, Nunez angeenda man city saiv nako angufunga tu ni kulingana na nafasi anazo tengenezewa, Haaland anatengenezewa nafasi nyingi tofauti na Nunez mkuu.
 
Tumia akili, Arsenal ya sasa sio ya msimu uliyopita, Arsenal tunaevolve, kocha na wachezaji wanakua kila leo, Pep & Klopp wanajua wazi kati ya mechi Man city & Liverpool walitengeneza nafasi chache ni dhidi ya Arsenal at the Emirates second half of last season. So we are coming for you now.
Anajitoa ufahamu, hajui Arsenal imekuwa ikipitia phase tofauti kuanzia aje Arteta katika kutengeneza timu, katika kuweka style of play, had ku recruit wachezaji wanaoingia kwenye huo mfumo.

Ni kweli Liverpool na city walitufunga mech zote msimu uliopita ,ila Kama aliangalia hizo game hasa za round ya 2 angeelewa Arsenal inaelekea wapi , Mancity pale Emirates alikutana na arsenal tofaut kabisa na ya round ya 1, bila red card, arsenal kunyimwa penalty ,had 2nd half mancity muda mwingi alikuwa forced kukaa nyuma

Mech ya Liverpool pia asilimia 90 ilikuwa balance kabla 2nd half magoli ya fitminho na jota ,but performance ilikuwa tofaut na Liverpool aliyoizoea akikutana na Arsenal , na Baada ya mech ikafichuka GK aliumia akaendelea kudaka rejea goli la jota,

Na hiyo mech ndio Arnod Trent alisumbuliwa Sana na Gab Martinell

But for me Zile performance mbili dhidi ya city na Liverpool zilinipa mwanga ,Arteta anaipeleka hii timu wapi .Hata performance ya msimu huu sijawa surprised ,niliiona zaman .

Kwahiyo hata mechi ya jumapili ,Ni mech ambayo Liverpool ajiandae kukutana na Arsenal ambayo sio ile aliyoizoea ya kucheza kaunta au kuogopa ,itakuwa mech ya kupishana

For me Tukipata matokeo hi mechi nitatangaza Rasmi Sasa tunaenda kubattle epl na Huyo city , maana Hizi middle teams hazitusumbui Tena .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom