Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Magwaya in making
20221002_091737.jpg
 
Shinda za hii timu ndugu ni wachezaji kutumika kama ma robot huku timu ina ela za kutosha lakini wala hakuna kununua... Kitambo sana hiki kikosi kilitakiwa kiwe kime evolve kuanzia wachezaji mpaka mfumo..

Mkuu dirisha ngapi za usajili zimepita huyu Babu Klopp akipewa ushauri na pundits kwamba hiki kikosi kimefika mwisho ni wakati sahihi sasa aanze leta damu changa...
Nakumbuka wakati wa usajili ulioisha ma Pundits wa Skysport hua wanasema kila timu inahitaji kuimarisha eneo lipi ili iwe na ushindani.. Kwa Liverpool walisema tunahitaji
Beki wawili(RB n CB)
MF wawili (AM n HAM)
Strika mmoja
Pia wakashauri ni wakati safi Klopp kuwaachie Milner, Kieta na Ox kwa sababu ni failed project ili payroll ipumue na kupisha nafasi kwa wengine especially damu changa below 27yrs...lakini Klopp hakua tayari kusilikiliza hilo suala na Carragher alikomaa sana ishu ya MF.. Dakika za mwisho akaumia Henderson hapo sasa Klopp ndio kwanza akawa mkali hakutaka ataulizwe tena ishu ya usajili MF akisema yeye sio mtu sahihi kujibu swali hilo, matokeo yake wakaanza kutapatapa wakatua Aston Villa kumtaka Luiz haha Steve akakomaa hauzi, wakatua Brighton kwa Caicedo ishu ikawa bei £50m wakasepa, wakatua kwa Tellimans pale Leicester bei ikawa £30m.. Mwishowe haooo Juventus kwa Melo mkopo.. Kimsingi utaona namna gani kulikua na poor planning... Na ukukumbuke Klopp alishajua weakness ya hii timu ni MF ndio maana alitua mapema kwa Tchouameni mazima kabla dogo hajaamua kwenda zake Real Madrid sasa unajiuliza alitegemea muujiza upi kwa hii MF yake isiyoweza kupoza mashambulizi ama kupeleka mashambulizi yaaani ipo ipo matokeo yake defence inakua over worked outrun out muscled tunaishia kuchapika...

Haya ya sasa sio kwa bahati mbaya yapo well documented. Net spend ya Liverpool dirisha hili haikufika hata £60m lakini kwa vile ni timu ya sell to buy hakukua na mchezaji wa kuuza ela kubwa ili Klopp aingie sokoni mazima zaidi ya kusaka mchezaji wa mkopo.

Imagine being Melo unaona gaffer huyooo kwa Milner 🤔🤔🤔....

YNWA
Kaka mkubwa hapa shida ni nani?
A. Klopp
B. FSG
C. Wote wawili
Umekiri kuwa alimtaka Tchu kabla hajatimkia Madrid. Kwamba alitambua shida MF ya timu. Hata akina Jammie walipiga kelele bila mafanikio.
Sasa kama kote (ulikokutaja) alienda bila mafanikio na akaangukia Arthur huku akizidi kuongeza idadi ya vitanda. Sidhani kama shida ni yeye. Hao wagonjwa hawauziki naye hawezi kununua kwa vile policy ya timu inambana.
Dawa ni kuwatimua hawa Wamarekani basi.
 
What if klopp is trying to sabotage us on purpose? What if he's trying to send a clear message to FSG without opening his mouth? Kwa maana haingii akilini umtoe a full fit Tsimikas umuinguze babu Milner, goal zote zimeingia kupitia upande wa TAA lakini hakumtoa, Klopp is a top notch manager, there is something, mi siamini eti ameshindwa ku rectify hii issue hao wachezaji wamepumzika week 3 wengi wao hawajacheza international games, game ya jana no tactics kabisa, no football identity, hakuna attitude wala rhythm yoyote.
 
Hviii ndugu zangu nyie nd mlikua faras wa pili ukiachana na ss man city imekiwaje timu iLokua tishio imekua hv
 
Kaka mkubwa hapa shida ni nani?
A. Klopp
B. FSG
C. Wote wawili
Umekiri kuwa alimtaka Tchu kabla hajatimkia Madrid. Kwamba alitambua shida MF ya timu. Hata akina Jammie walipiga kelele bila mafanikio.
Sasa kama kote (ulikokutaja) alienda bila mafanikio na akaangukia Arthur huku akizidi kuongeza idadi ya vitanda. Sidhani kama shida ni yeye. Hao wagonjwa hawauziki naye hawezi kununua kwa vile policy ya timu inambana.
Dawa ni kuwatimua hawa Wamarekani basi.
Umesema vyema mkuu kwangu naona tatizo ni wote kwa mfano Henderson alikua atemwe na FSG lakini Klopp akasema anamhitaji abakie na same ishu na Milner akasema nae apewe mkataba mpya na FSG obliged, lakini Klopp huyu huyu aliingia mitini kukomaa kwa wanyamwezi wetu vijana wa Gini na Mane yaaani hata hakuonekana kusema angalau mmoja wao abakie Liverpool sasa kama Klopp alitegemea Henderson akizeeka atakua Pirlo atajijua mwenyewe haya ya sasa anayataka mwenyewe hana wa kumlaumu kabisa....
Kwa sasa hata watetezi wake akina Pearce wanampa makavu...
Gini na Mane ni workhorse hivyo impact yao kwa kutosajili like for like ndio inaonekana sasa.. Wakati mwingine ni ngumu kuelewa pengo la mchezaji fulani mpaka mambo yawe kama yalivyo sasa...
Kumbuka Real Madrid walivyomtoa dukia Makelele ni pale pale wakaanza kupigika, kumbuka Arsenal baada ya Viera kusepa zake nk ama kumbuka vyema alivyoodoka Alonso Liverpool tulivyohangaika mpaka akaja Fabinho ndio angalau tukasema tuna World class HM kikosini...

Soon FSG out na Klopp out haha maisha yanakwenda kasi sana.

YNWA
 
"Net spend ya Liverpool dirisha hili haikufika hata £60m"

Darwin Nunez mlimnunua kwa €75m
Fabio Carvalho €5.9m
Calvin Ramsay €4.9
Jumla mlitumia €85.8

Mliowauza
Sadio Mane €32
Neco Williams €20
Minamino €15
Marco Grujic €9
Ben Devies €4.7
Total €80.7

Kwenye usajili wenu msimu huu FSG walitoa €5.1


"Eras come to an end"
Yaaani era is ending us winning just a single EPL Trophy duuh ngumu kumeza lakini ndio ukweli...
We are just fantastic losers, overrated 😊😊😊😊😊😊😊😊😊6 years 1 EPL ni ajabu mpaka sasa Klopp yupo kazini.

Kama Klopp anaona FSG ni super glue alitakiwa asepe zake Bayern Munich awaachia wengine kazi ambao watasema hiki kikosi kimechoka lakini kuedelea kujificha kivuli cha majeruhi wala hakumsaidia Klopp wala Liverpool.

YNWA
 
Siamini kisingizio chochote zaidi ya kusema hii Timu msimu huu ni Mbovu.

Kuna anguko kubwa la Wachezaji 3
1) Salah
2) VVD
3) Trent

Hawa Wachezaji Msimu huu mpaka kufikia muda huu wa game ya jana tarehe 01/10/2022 wamepoteza uwezo kabisa tutafungwa magoli mpaka tujute.

#TIMUMBOVU
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom