Shinda za hii timu ndugu ni wachezaji kutumika kama ma robot huku timu ina ela za kutosha lakini wala hakuna kununua... Kitambo sana hiki kikosi kilitakiwa kiwe kime evolve kuanzia wachezaji mpaka mfumo..
Mkuu dirisha ngapi za usajili zimepita huyu Babu Klopp akipewa ushauri na pundits kwamba hiki kikosi kimefika mwisho ni wakati sahihi sasa aanze leta damu changa...
Nakumbuka wakati wa usajili ulioisha ma Pundits wa Skysport hua wanasema kila timu inahitaji kuimarisha eneo lipi ili iwe na ushindani.. Kwa Liverpool walisema tunahitaji
Beki wawili(RB n CB)
MF wawili (AM n HAM)
Strika mmoja
Pia wakashauri ni wakati safi Klopp kuwaachie Milner, Kieta na Ox kwa sababu ni failed project ili payroll ipumue na kupisha nafasi kwa wengine especially damu changa below 27yrs...lakini Klopp hakua tayari kusilikiliza hilo suala na Carragher alikomaa sana ishu ya MF.. Dakika za mwisho akaumia Henderson hapo sasa Klopp ndio kwanza akawa mkali hakutaka ataulizwe tena ishu ya usajili MF akisema yeye sio mtu sahihi kujibu swali hilo, matokeo yake wakaanza kutapatapa wakatua Aston Villa kumtaka Luiz haha Steve akakomaa hauzi, wakatua Brighton kwa Caicedo ishu ikawa bei £50m wakasepa, wakatua kwa Tellimans pale Leicester bei ikawa £30m.. Mwishowe haooo Juventus kwa Melo mkopo.. Kimsingi utaona namna gani kulikua na poor planning... Na ukukumbuke Klopp alishajua weakness ya hii timu ni MF ndio maana alitua mapema kwa Tchouameni mazima kabla dogo hajaamua kwenda zake Real Madrid sasa unajiuliza alitegemea muujiza upi kwa hii MF yake isiyoweza kupoza mashambulizi ama kupeleka mashambulizi yaaani ipo ipo matokeo yake defence inakua over worked outrun out muscled tunaishia kuchapika...
Haya ya sasa sio kwa bahati mbaya yapo well documented. Net spend ya Liverpool dirisha hili haikufika hata £60m lakini kwa vile ni timu ya sell to buy hakukua na mchezaji wa kuuza ela kubwa ili Klopp aingie sokoni mazima zaidi ya kusaka mchezaji wa mkopo.
Imagine being Melo unaona gaffer huyooo kwa Milner 🤔🤔🤔....
YNWA