Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,582
- 235,437
Huyu mtoto TAA kukaba bado haweziYule scout aliemtupia jicho Allison popote alipo abarikiwa sana maana huyu bwana ni sweeper keeper pale mabeki wameshapitwa basi jamaa hua anavimba balaa na mara nyingi anaokoa... Hua nikikumbuka ile sevu yake vs Napoli Champions League mpaka tukachukua ule ubingwa yaaani he is just exceptional....
High line ni janga tazama Fulham walivyotuadhibu na sasa Eagles nao wamechukua pointi kwetu, ipo shinda especially kwa Trent kwenye kuzuia yaani dogo hana instinct kabisa kumstua hata kuangalia nyuma yake kama kuna mchezaji hua anaangalia tu mpira unapotoka.
Tuwe na subira mpaka lini mhmhmh itajulikana tu.
YNWA
Ngoja mwaka huu tuwasindikize tena Madrid Uefa.Sifa moja ya Klopp ni kwamba hapangiwi yaaani piga kelele vipi yeye tuliiii mpaka alikose kombe ndio utamuona anakimbia huku hasara tayari..
Aliambiwa mapema sana miaka hio kwa Karius na Simon kama makipa wake hata shinda kombe hata moja lakini ubishi wake akasema wapo sana Liverpool haha kilichofuata ni kipigo kutoka kwa Real Madrid haha hakusubiri tena chap akatua Allison, hivyo huyu Klopp hua anaelewa kwa kukosa kombe haraka utamuona ana react sokoni...
Dirisha bado lipo wazi ngoja tuone.
YNWA
Hawa Ndugu zetu,tofauti na timu nyingine zote..wao mashindano yanapoanza wanakimbia kwenda nyuma🤣Asante ndugu. Kutesa kwa zamu.
Mpira bhana sare tu inatutoa maneno hayooo... Kazi ipo.
Sipati picha kwa jamaa zetu Manchester United wana hali gani na hivi vipigo duuh...
YNWA
🤣🤣🤣Poleni Sana wakuu kwa draw mnazopata ndio ukubwa huo
Ataingia tukichapwa chapwa kidogo.Akubali kuingia sokoni tu, hana namna. Anajipa matumaini mfu.
Atakuwa alituchanganya na Yanga 😂💔Itakua ngao ya jamii🙆🏿🙆🏿🤣🤣🤣🤣
YNWA
Kwa namna hii bora man u watufunge tu next game ili klopp achukue uamuzi wa kusajili kwa manufaa ya badae.Sifa moja ya Klopp ni kwamba hapangiwi yaaani piga kelele vipi yeye tuliiii mpaka alikose kombe ndio utamuona anakimbia huku hasara tayari..
Aliambiwa mapema sana miaka hio kwa Karius na Simon kama makipa wake hata shinda kombe hata moja lakini ubishi wake akasema wapo sana Liverpool haha kilichofuata ni kipigo kutoka kwa Real Madrid haha hakusubiri tena chap akatua Allison, hivyo huyu Klopp hua anaelewa kwa kukosa kombe haraka utamuona ana react sokoni...
Dirisha bado lipo wazi ngoja tuone.
YNWA
Utashangaa tunadraw na manure hawahawa ambao tuliwachapa bao tisa kwa nunge msimu uliopita.Kwa namna hii bora man u watufunge tu next game ili klopp achukue uamuzi wa kusajili kwa manufaa ya badae.
Mkuu mhurumie anafanya kazi kubwa sana,akabe na kutengeneza nafasi halafu kuna middle zipo pale zinakula hela za bure.Hata ingekuwa wewe,ufanye kazi 2 kwa wakati mmoja upande utengeneze nafasi kisha urudi kukaba,kiufupi Lkatika team yetu Robertson & TAA wanafanya kazi kubwa sana kuliko wachezaji wote-ni basi tu dunia haiko fair.Huyu mtoto TAA kukaba bado hawezi
Mie unataka watufunge ili Klopp aende sokoni.Utashangaa tunadraw na manure hawahawa ambao tuliwachapa bao tisa kwa nunge msimu uliopita.
Na bado kila mechi anapangwa kama roboti hivi huyu dogo na anacheza dakika zote mwanzo mwisho.Mkuu mhurumie anafanya kazi kubwa sana,akabe na kutengeneza nafasi halafu kuna middle zipo pale zinakula hela za bure.Hata ingekuwa wewe,ufanye kazi 2 kwa wakati mmoja upande utengeneze nafasi kisha urudi kukaba,kiufupi Lkatika team yetu Robertson & TAA wanafanya kazi kubwa sana kuliko wachezaji wote-ni basi tu dunia haiko fair.
Nitalia sana Man u wakituchapa.Mie unataka watufunge ili Klopp aende sokoni.
Itakua jambo njema sana. Otherwise akishinda ugenini Trafford ndio msahau usajili mpaka June 2023... Aafu kinachonishangaza ni huyo Bellingham anaemkomalia kiasi wengine hawaoni tena maana hua dogo namuona kama Hendo mwenye umri mdogo 🤣🤣😅😅😅😅haya ngoja tuone.Kwa namna hii bora man u watufunge tu next game ili klopp achukue uamuzi wa kusajili kwa manufaa ya badae.
Kila mmoja apambane na hali yake hakuna kutegemea kubebwa na yoyote yule.Lazima ukweli usemwe..
Jamaa tutammiss sana tu.
Haijalishi tumeanza lini kushangilia ila lazima tuseme.
Draw ,tena tumecheza na timu mbovu !
Aisee Ndio tunadrop hivyo!
Halafu tuanze kuwatuma akina Gerrard wakamfunge kipara Kwa uzembe wetu wa draw kizembe na kupoteza points.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Made from Indian biscuits[emoji23][emoji23][emoji23][emoji91][emoji91][emoji91] This made my noon[emoji23][emoji23]Kila mmoja apambane na hali yake hakuna kutegemea kubebwa na yoyote yule.
Klopp ni kama ni mgeni wa Ligi... Yaaani kawajaza watoto kikosini ili tuonekane tuna kikosi kipana kumbe kikosi wingi ila ubora hatuna...
Magoli ya Origi nani analeta...
Magoli ya Takumi nani analeta..
Thiago ni yule yule misuri ataumwa kila kukicha....
Keita huyu babu alidanganya umri sio bure yeye tu kuumia...
Ox huyu mwili wake is made from Indian Biscuits...
Milner hahaha just hahaha...
Henderson same old Hendo no clue nini anatakiwa na kwa wakati gani...
Fabinho used too much...
Jones slow learner...
Elliot slow learner...
Fabio raw potential..
YNWA
Mchezaji alitaka kuondoka mwenyewe ili apate malipo mazuri ambayo Liverpool hawana uwezo wa kulipa,muelewe.Mimi mwenyewe nilitamani abaki..
Ni heri angeondoka hata Salah ila siyo Mane.
Mane alikuwa consistent..tofauti na wengine wote pale mbele.
Ila timu ilivyo na maajabu,imemtoa Mane imewaacha akina Milner..
Wajinga hawa wanatucost sasa.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Timu imejaa wagonjwa na bado tunaambiwa ma good times are coming kwa mwendo wa 4G 🤓🤓🤓Made from Indian biscuits[emoji23][emoji23][emoji23][emoji91][emoji91][emoji91] This made my noon[emoji23][emoji23]
Fabinho mwisho aje apasuke upara wake maana hapumziki jamaa[emoji1787]
I miss Origi[emoji3064]
Keita tulipigwa
Thiago kagonjwa kila muda.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Mkuu mhurumie anafanya kazi kubwa sana,akabe na kutengeneza nafasi halafu kuna middle zipo pale zinakula hela za bure.Hata ingekuwa wewe,ufanye kazi 2 kwa wakati mmoja upande utengeneze nafasi kisha urudi kukaba,kiufupi Lkatika team yetu Robertson & TAA wanafanya kazi kubwa sana kuliko wachezaji wote-ni basi tu dunia haiko fair.
Ataingia tukichapwa chapwa kidogo.